Nikitupia hiyo cm yako itakumbwa na tetemekoTupia picha yako mbona kwa mbali unaonekana mtamu
Ah we mi hela ya kukununulia cm nyingine sinaWe Fanya tu hivo hayo majanga mengine nimeyaandalia ''preventive measure"
Mkuu suti ndo sehemu gani hiyo ya mwiliKwa ujumla mwili wote wa mwanamke unavutia, macho,mziwa, uso, midomo, mashavu, shingo,nywele, kiuno, hipsi, miguu, kucha, mpangilio wa meno mdomoni, vidole vya miguu, suti nk, nk.
Lakini mimi nafsi yangu hasa inapenda mwanamke mwenye mkia.
Akuu hushindwi kunigeuka badae weweMi nagharamia
Mi mwanamke hata awe mzuri kama malaika halafu hanuki makwapa, kwa kweli bora nilale na mnyama tu.

Hata mimi aisee! Nilifikiri hivyo.Mh, ulivyoweka kichwa cha Habari hapo juu nilifikiri jicho la 0713...Imooooooo
Kama yamengangamala kama mjeshi yalie kunguumanga yatazunguka yenye.My wii kwenye hili hakuna kubaki nyuma... Nimeshaanza zoezi la kuzungusha macho mwenzio
Eti ee... Basi kesho naenda kuitafuta hiyoKama yamengangamala kama mjeshi yalie kunguumanga yatazunguka yenye.
Ha hahahahah mkuu hebu m pm miss chaggaMiss chagga namsikia tu !; ebu picha yake tafadhari
hahahaha jitahidi usiharibu mkuuDaah kama hapa jirani kuna dem anajicho LA hivo duuuhh ni hatari akikuangalia unaweza kuharibu
ha ha hahahaHa hahahahah mkuu hebu m pm miss chagga
Ila uangalie usije mpa atm yotee