Duh, mkuu hapa nimekukubari. Kuna madam mmoja namsaka anakaharufu fulani amazing nahisi kanatoka kwapani. Nikimpata huyo nitafurahe je...!!!
Kwa hyo unapenda kikwapa
Kunuka kwa kwapa si ushauri usafi tu jamani
Teh teh teh kazi kweli kweli
Mi mwanamke hata awe mzuri kama malaika halafu hanuki makwapa, kwa kweli bora nilale na mnyama tu.
Hizo sifa zote sinaHizo lips mbona zinakufananisha na demu fulani hivi, je.....wanuka kwapa weye? Ni-beep basi tuonane kama wanuka, hata mdomo ukinuka poa tu.
Kwa ujumla mwili wote wa mwanamke unavutia, macho,mziwa, uso, midomo, mashavu, shingo,nywele, kiuno, hipsi, miguu, kucha, mpangilio wa meno mdomoni, vidole vya miguu, suti nk, nk.
Lakini mimi nafsi yangu hasa inapenda mwanamke mwenye mkia.
Ana Chura

Nimesha mjua, yaani hata mimi hoi kwake basi tu sina namnaKuna mwanamama mmoja kiongozi mkubwa yaani ana macho mazuri mlegezo flani hivi...Dah nampendaga sana ila tatizo uwezo na access tu.
LolJicho huwa lapendeza likiwa og bwana, sasa hilo makeup mpaka kulifungua taabu na nyusi za mchina juu, bora langu ka la kingwenduu