Watu wengi wamekua wakija au kuleta falsafa mbalimbali hasa kwenye kumnadi na kunakshi nakshi mwanamke wengi wao wakisema Mwanamke "TABIA"....Mi kwangu hyo ziada tu kama riba bank!!
Na kasumba ya wanaume wengine kupenda CHURA mkubwa Mi kwangu bado!!
"Sasa kinachonitia kichaa ni jicho la mwanamke"
Daahh yaan hapa nikikutana na mwanamke mwenye macho mazuri huwa nasisimka na kuwa na hamu naye isiyo na kipimo!!
Hayo mengine kwangu n kama nyongeza...Jaman wenye macho mazuri wanatia hamasa yaan! na ndo wachache daahh hawa viumbe
Allah jalia viumbe wa hivi wapitie niliko!!
View attachment 400452View attachment 400454View attachment 400455View attachment 400456View attachment 400457