Jicho ndo habari ya mjini

Jicho ndo habari ya mjini

Sa mbona hujaweka wenye macho mazuri! Hao wote wamechora macho. Kioa mwanamke akichora macho yanapendeza.
 
kwng nasali na kupeleka sadaka kwa Mungu anipe mrembo mwenye mkia wa kutosha,chuchu zimejaa na hips kiaina.Then awe amebinuka kidogo.Masuala ya tabia nzuri nitamnyoosha tu!!
 
mimi navutiwa na hawa
1. mwenye vichunusi vifuani au mgongoni
2. mwenye meno mawili ya juu yaliyo mbele yawe makubwa na yameshikana
3. vidole virefu na mikono laini
4. mweupe
5. miguu minene kiasi
6. chura mdogo
7. urefu wa washani
Aisee wewe weka oda Mungu akuumbie.
 
Eti macho?
b89abfa827dc484fd218eae0791c3572.jpg
 
Watu wengi wamekua wakija au kuleta falsafa mbalimbali hasa kwenye kumnadi na kunakshi nakshi mwanamke wengi wao wakisema Mwanamke "TABIA"....Mi kwangu hyo ziada tu kama riba bank!!

Na kasumba ya wanaume wengine kupenda CHURA mkubwa Mi kwangu bado!!
"Sasa kinachonitia kichaa ni jicho la mwanamke"

Daahh yaan hapa nikikutana na mwanamke mwenye macho mazuri huwa nasisimka na kuwa na hamu naye isiyo na kipimo!!

Hayo mengine kwangu n kama nyongeza...Jaman wenye macho mazuri wanatia hamasa yaan! na ndo wachache daahh hawa viumbe
Allah jalia viumbe wa hivi wapitie niliko!!

View attachment 400452View attachment 400454View attachment 400455View attachment 400456View attachment 400457
Tatizo vijana wengi wa karne ya 21 wamekua Addicted saaana na Ponography kiasi ya kwamba wako na attractions ambazo sio natural bali ni za kubadilishwa akili zao. Vitu kama macho, urefu, ufupi, rangi ya mwili wake, sauti ni vitu Natural mwanaume kamili akiviona anakua attracted. Kwanza asiwe na kitu chochote kizuri still mwanaume you will be tempted Na Huyo mwanamke.
 
Back
Top Bottom