Uchaguzi 2020 Jicho la Tatu: Mgombea Urais CHADEMA ni Freeman Mbowe! Tundu Lissu Pacemaker! Nyalandu ni Serious Contender, Msigwa anatania, Dkt. Mayrose Majinge...

Ndugu P anayefaa kuchuwana na Rais Magufuli ni Mhe Tundu Lisso, atapata kura chache sana za ‘sympathy’ kwa kuepuka na kifo wakati aliposhambuliwa kwa bunduki(AK47) ila kwa sababu ya kazi nzuri ya Rais aliyepo madarakani, ni ndoto za mchana kumshinda Rais Magufuli! Rais Magufuli atashinda kwa kishindo 90% ya kura zote! I am ready to bet!! - ni Mwl Nyerere II. Ushauri ni kuwa this period mishahara na promotions za wafanyakazi zitekelezwa(annual salary increments and promotions), marupurupu kama meal allowance, house allowance, transport allowance yaendelee kila mwaka kwani uchumi wa nchi ni mzuri. Motivating workers matters very much.
Unaota eee
 
Asante sana Mkuu Everest Chahali,
Nimeusoma uchambuzi wako,
Kwanza hukumtendea haki yule mgombea No. 3 wa Chadema ni Dr. Mayrose Majinge, amechukua fomu kabla ya Mbowe na Nyalandu, why?.

Nimeupenda uchambuzi wako wa candidature ya Mbowe, kumbe kwako Mbowe ni just a Pacemaker, kwangu Tundu Lissu ndio Pacemaker.

Lazarus is good in terms of strategies, but has no impact!.

Chadema wa team up na ACT-WAZALENDO wamsimamishe Zitto ana good impact.

P

Mkuu P, nimechelea kufanya uchambuzi wa nafasi za waliotia nia ya kugombea Urais tiketi ya CHADEMA, kwa sababu zifuatazo:-
√ Chama kukosa mwelekeo hadi sasa. Viongozi wake wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kujadili na kuzungumzia matukio badala ya Agenda zitakazobeba Ilani ya Uchaguzi Mkuu, 2020;
√ Hata Sera za chama zilizozinduliwa kwa mbwembwe, zimeyeyuka midomoni mwao na kwenye mitandao ya kijamii; na
√ Muda umebaki mfupi wa kuandaa Ilani yenye ushawishi mkubwa kwa sababu viongozi wa CHADEMA wanarejea majimboni kujijengea ushawashi kwa wapiga kura ambao wengi wao wanaonesha kukubali yaliyofanywa na Serikali ya CCM, inayongozwa na Dr Magufuli.
 
"Sangara wameongezeka urefu kutoka sentimita 8 hadi sentimita 16" - John Magufuli.

"Inafikirisha pale mmoja wa wagombea anapowahakikishia wagombea wenzake kuwa uchaguzi utakuwa huru na wa haki. Pia Mwenyekiti wa chama kimojawapo kishiriki cha uchaguzi mkuu, anapovionya vyama vingine kuwa hatavumilia matusi na kejeli" Askofu Benson Bagonza.

Mbowe anarushiwa mawe hadi yanalundikana juu ya mwili wake. Waapi buana, Haongei,Hana habari. Watu wanaongea hadi wanajiona wapumbavu.

MwanaSIASA mwingine wa aina hii ni Mzee Lowassa.
Angalizo: Hoja hapa sio ku discuss watu, ni tuna discuss ideas hivyo kama wewe sii miongoni mwa watu wenye uwezo wa kusoma in between the lines na kubaini the motive behind!, nakushauri tuu jipitie zako tuu usipoteze muda wako, na wale wachangiaji simple minds ambao hao kazi yao ni kujadili watu kama kumjadili mtoa mada, karibuni kule MMU etc.
 
chama Cha CCM tuna bilions za ruzuku na miradi hatujafuja zinasubiri uchaguzi nyie ruzuku na michango ya wafadhili mumelamba zote ndio maana mnategemea mgombea mwenyewe apambane na hali yake
Kulinganisha ccm na vyama vingine katika masuala ya fedha ni kosa la kiufundi kabisa.
CCM ina vyanzo vingi sana vilivyotokana na uporaji wa rasilimali za umma. Haina tofauti na jambazi anayejisifia ukwasi kutokana na kupora na kuiba Mali za jirani zake.
 
Kiukweli mwaka huu sioni nafasi ya Chadema katika uchaguzi huu sema tu Watanzania tumezoea kuishi kwa matumaini fake na kujipa moyo hata pale uharisia unapoonekana wazi.

Kwa vile ni haki ya Chadema kusimamisha mgombea Mimi naona wampe Nyalandu, Tundu Lissu Watanzania wengi wameshampuuza na kumuona ni mpiga porojo tu.
Naomi yako
 
Mkuu P, nimechelea kufanya uchambuzi wa nafasi za waliotia nia ya kugombea Urais tiketi ya CHADEMA, kwa sababu zifuatazo:-
√ Chama kukosa mwelekeo hadi sasa. Viongozi wake wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kujadili na kuzungumzia matukio badala ya Agenda zitakazobeba Ilani ya Uchaguzi Mkuu, 2020;
√ Hata Sera za chama zilizozinduliwa kwa mbwembwe, zimeyeyuka midomoni mwao na kwenye mitandao ya kijamii; na
√ Muda umebaki mfupi wa kuandaa Ilani yenye ushawishi mkubwa kwa sababu viongozi wa CHADEMA wanarejea majimboni kujijengea ushawashi kwa wapiga kura ambao wengi wao wanaonesha kukubali yaliyofanywa na Serikali ya CCM, inayongozwa na Dr Magufuli.
Inawauma sana kuona cdm bado imara sana
 
Wanabodi,

Leo natoa somo linaliutwa Logical Progression kwenye kufanya analysis kwa Kuangalia kitu kwa Jicho la Tatu, ni kuliangalia jambo kwa critical angle kwa kutumia predictions based on logical thinking kwa kutumia critical thinking na kufanya logical progression kwa kupima the motive behind, the causative agents and the underlying factors ya jambo fulani ili kujua kitakacho fuata kabla hakijatokea.

Wakati nikiwa mshauri wa siasa wa ubalozi fulani hapa nchini ile 2010 baada tuu ya uchaguzi mkuu kumalizika, wenzetu Wazungu wanafanya kitu kinachoitwa Stakeholders Mapping ya Who is Who kwenye serikali mpya na hiyo inafanywa na political advisor wao.

Nikawafanyia kuanzia juu kwenye viongozi wa mihimili. Samwel Sitta akiwa ndiye alikuwa Spika wa Bunge lililotangulia na amesifika sana kwa kuzitumia zile Initial za jina lake Samwe Sitta -SS kuzigeuza neno Speed & Standards, yaani Spika wa Kasi na Viwango. Hivyo kwenye Stakeholders Mapping yangu nikaonyesha nafasi ya Spika ni Samwel Sitta anaendelea.

Kweli kwenye uspika Samwel Sitta akawa ndio mtu wa kwanza kuchukua fomu na mimi nikajua kwa kazi nzuri ya Spika wa viwango, hata pingwa ndani ya CCM!.

Mara paa!, aliyekuwa deputy wake Anna Makinda, naye kachukua fomu kumchange bosi wake!. Mfano baada ya uchaguzi Job Ndugai achukue fomu kugombea uspika, na Tulia nae achukue fomu kumchallenge Ndugai!.

Kwenye work station yangu nikaona alert ya priority 1 toka kwa balozi anauliza kama Spika ni Sitta ataendelea, what does it mean kwa deputy wake kuchukua fomu kugombea?.

Nikaijibu pale pale tena with confidence without hata thinking, kuwa Spika ni Sitta, nikasema Anne Makinda anajaza fomu kugombea uspika ili kujifurahisha tuu kwa kujionyeshea na yeye ni Speaker material!. Balozi akanijibu "you are wrong Mr.Pascal!" kisha akasuggest a meeting to discuss this.

Kwenye kikao nikaulizwa kwanini bado ninafikiri Sitta ndio ataendelea kuwa Spika? Nikajibu with confidence kuwa huo ndio utaratibu wa CCM kwa nafasi za juu kushikwa angalau kwa vipindi viwili, Sitta amemaliza kipindi kimoja tuu, hivyo ataendelea!.

Balozi akasema hebu think more critically, wewe ni speaker umefanya kazi nzuri, umekaa just one term, umechukua form kuomba kuendelea, halafu mara deputy wako anachukua form kuku challenge!, nikaulizwa doesn't it ring a bell in your head that is a bit awkward?!.

Mimi nikang'ang'ana Anne Makinda amechukua fomu kujifurahisha!. Ndipo mzugu akanipiga somo la logical progression kuwa Sitta anapigwa chini, Anna Makinda kaambiwa achukue fomu, hivyo sasa tusubiri sababu za kumpiga chini Sitta!.

Duh...!, na kweli kwenye CC ya CCM, jina la Sitta likikatwa kwa hoja kuwa tunatoa nafasi ya uspika kwa gender!.

Katika yale mazungumzo yetu na balozi, balozi alionyesha dalili zote kuwa tayari yuko tipped long ago kuwa Sitta atapigwa chini, masikini mimi political advisor wao naulizwa kupimwa tuu!

Hivyo hii ni a quick assessment yangu yangu kwa watia nia 5 wa urais wa JMT kwa tiketi ya Chadema kwa kutumia logical progression.

NB. Hii sio mara yangu ya kwanza kuleta hoja za namna hii, hata kwa mgombea wa CCM uchaguzi Mkuu wa 2015, mimi nilimtaja mwezi August 2014! Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Hivyo kama haujui critical thinking, na mambo haya ya logical progression, wewe usinibishie, just sit and watch as time will tell.

Angalizo: Hoja hapa sio ku discuss watu, ni tuna discuss ideas hivyo kama wewe sii miongoni mwa watu wenye uwezo wa kusoma in between the lines na kubaini the motive behind!, nakushauri tuu jipitie zako tuu usipoteze muda wako, na wale wachangiaji simple minds ambao hao kazi yao ni kujadili watu kama kumjadili mtoa mada, karibuni kule MMU etc.

The most serious contender ni Tundu Lissu!. Sababu ni hii
Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Lakini kufuatia hoja hii
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Na hata baada ya kumbembeleza Lissu hapa
Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Kuna uwezekano ugombea wa Lissu ni just a "Pacemaker" tuu, ndio maana Freeman nae kagombea, hivyo sasa mgombea wa ukweli wa urais wa Chadema could be ni Freeman Mbowe!.

Kitendo cha Lissu ambaye ndie the one and only ndani ya Chadema mwenye guts, ability na capabilities za kumkabili rais Magufuli akapata angalau ka joto joto ka uchaguzi, kitendo Freeman Mbowe kutangaza nia, jicho la tatu linaelekeza Lissu ni Pacemaker tuu!.

Sababu za ugombea wa Freeman Mbowe ni huu niliouzungumza hapa
Elections 2020 - Je, kuna uwezekano kutangaza nia kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa baadhi, kunatumika kama kichaka cha kujifichia aibu ya kushindwa ubunge?.

Lazarus Nyalandu ni very serious contender, ila he is too gentlemanly kwa kushindana na Magufuli.
Mchungaji Msigwa anatania tuu!.

Dr. Mayrose Majinge nimemzungumzia hapa
Elections 2020 - Mwanamke ajitokeza kuwania Urais kupitia CHADEMA. Ni Msomi, Mwanamke wa Shoka, Ana uwezo na Jembe Kweli, ila...

NB. Sio lazima kila kitu kwenye critical thinking na logical progression za any predictions kama hii ya Jicho la Tatu ni lazima kitokee au litimie!, hivyo ikitokea other wise msije kunishukia!

Nawatakia mchakato mwema.

Paskali.
p
Paskali umemwogopa STAR GWAJI mbona sikuoni KAWE
 
Wanabodi,

Leo natoa somo linaliutwa Logical Progression kwenye kufanya analysis kwa Kuangalia kitu kwa Jicho la Tatu, ni kuliangalia jambo kwa critical angle kwa kutumia predictions based on logical thinking kwa kutumia critical thinking na kufanya logical progression kwa kupima the motive behind, the causative agents and the underlying factors ya jambo fulani ili kujua kitakacho fuata kabla hakijatokea.

Wakati nikiwa mshauri wa siasa wa ubalozi fulani hapa nchini ile 2010 baada tuu ya uchaguzi mkuu kumalizika, wenzetu Wazungu wanafanya kitu kinachoitwa Stakeholders Mapping ya Who is Who kwenye serikali mpya na hiyo inafanywa na political advisor wao.

Nikawafanyia kuanzia juu kwenye viongozi wa mihimili. Samwel Sitta akiwa ndiye alikuwa Spika wa Bunge lililotangulia na amesifika sana kwa kuzitumia zile Initial za jina lake Samwe Sitta -SS kuzigeuza neno Speed & Standards, yaani Spika wa Kasi na Viwango. Hivyo kwenye Stakeholders Mapping yangu nikaonyesha nafasi ya Spika ni Samwel Sitta anaendelea.

Kweli kwenye uspika Samwel Sitta akawa ndio mtu wa kwanza kuchukua fomu na mimi nikajua kwa kazi nzuri ya Spika wa viwango, hata pingwa ndani ya CCM!.

Mara paa!, aliyekuwa deputy wake Anna Makinda, naye kachukua fomu kumchange bosi wake!. Mfano baada ya uchaguzi Job Ndugai achukue fomu kugombea uspika, na Tulia nae achukue fomu kumchallenge Ndugai!.

Kwenye work station yangu nikaona alert ya priority 1 toka kwa balozi anauliza kama Spika ni Sitta ataendelea, what does it mean kwa deputy wake kuchukua fomu kugombea?.

Nikaijibu pale pale tena with confidence without hata thinking, kuwa Spika ni Sitta, nikasema Anne Makinda anajaza fomu kugombea uspika ili kujifurahisha tuu kwa kujionyeshea na yeye ni Speaker material!. Balozi akanijibu "you are wrong Mr.Pascal!" kisha akasuggest a meeting to discuss this.

Kwenye kikao nikaulizwa kwanini bado ninafikiri Sitta ndio ataendelea kuwa Spika? Nikajibu with confidence kuwa huo ndio utaratibu wa CCM kwa nafasi za juu kushikwa angalau kwa vipindi viwili, Sitta amemaliza kipindi kimoja tuu, hivyo ataendelea!.

Balozi akasema hebu think more critically, wewe ni speaker umefanya kazi nzuri, umekaa just one term, umechukua form kuomba kuendelea, halafu mara deputy wako anachukua form kuku challenge!, nikaulizwa doesn't it ring a bell in your head that is a bit awkward?!.

Mimi nikang'ang'ana Anne Makinda amechukua fomu kujifurahisha!. Ndipo mzugu akanipiga somo la logical progression kuwa Sitta anapigwa chini, Anna Makinda kaambiwa achukue fomu, hivyo sasa tusubiri sababu za kumpiga chini Sitta!.

Duh...!, na kweli kwenye CC ya CCM, jina la Sitta likikatwa kwa hoja kuwa tunatoa nafasi ya uspika kwa gender!.

Katika yale mazungumzo yetu na balozi, balozi alionyesha dalili zote kuwa tayari yuko tipped long ago kuwa Sitta atapigwa chini, masikini mimi political advisor wao naulizwa kupimwa tuu!

Hivyo hii ni a quick assessment yangu yangu kwa watia nia 5 wa urais wa JMT kwa tiketi ya Chadema kwa kutumia logical progression.

NB. Hii sio mara yangu ya kwanza kuleta hoja za namna hii, hata kwa mgombea wa CCM uchaguzi Mkuu wa 2015, mimi nilimtaja mwezi August 2014! Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Hivyo kama haujui critical thinking, na mambo haya ya logical progression, wewe usinibishie, just sit and watch as time will tell.

Angalizo: Hoja hapa sio ku discuss watu, ni tuna discuss ideas hivyo kama wewe sii miongoni mwa watu wenye uwezo wa kusoma in between the lines na kubaini the motive behind!, nakushauri tuu jipitie zako tuu usipoteze muda wako, na wale wachangiaji simple minds ambao hao kazi yao ni kujadili watu kama kumjadili mtoa mada, karibuni kule MMU etc.

The most serious contender ni Tundu Lissu!. Sababu ni hii
Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Lakini kufuatia hoja hii
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Na hata baada ya kumbembeleza Lissu hapa
Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Kuna uwezekano ugombea wa Lissu ni just a "Pacemaker" tuu, ndio maana Freeman nae kagombea, hivyo sasa mgombea wa ukweli wa urais wa Chadema could be ni Freeman Mbowe!.

Kitendo cha Lissu ambaye ndie the one and only ndani ya Chadema mwenye guts, ability na capabilities za kumkabili rais Magufuli akapata angalau ka joto joto ka uchaguzi, kitendo Freeman Mbowe kutangaza nia, jicho la tatu linaelekeza Lissu ni Pacemaker tuu!.

Sababu za ugombea wa Freeman Mbowe ni huu niliouzungumza hapa
Elections 2020 - Je, kuna uwezekano kutangaza nia kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa baadhi, kunatumika kama kichaka cha kujifichia aibu ya kushindwa ubunge?.

Lazarus Nyalandu ni very serious contender, ila he is too gentlemanly kwa kushindana na Magufuli.
Mchungaji Msigwa anatania tuu!.

Dr. Mayrose Majinge nimemzungumzia hapa
Elections 2020 - Mwanamke ajitokeza kuwania Urais kupitia CHADEMA. Ni Msomi, Mwanamke wa Shoka, Ana uwezo na Jembe Kweli, ila...

NB. Sio lazima kila kitu kwenye critical thinking na logical progression za any predictions kama hii ya Jicho la Tatu ni lazima kitokee au litimie!, hivyo ikitokea other wise msije kunishukia!

Nawatakia mchakato mwema.

Paskali.

Mkuu hili bandiko lako la ramli mfu liliishia wapi?
 
You're very wrong kum-grade Tundu Lissu kama Pacemaker. Kwa Taarifa yako Lissu hajaanza kuutaka Urais leo nazani na wewe unalijua hilo. Pengine ishu kwake imekuwa ni kuhusu usalama wake kama akirudi kuuwania huo Urais.

Lakini all in all kama Chadema wanataka walau ku-breakthrough mtu sahihi kwao ni TL. Second to him labda Nyalandu. Mbowe ni strong leader ila kisiasa i think sio proper season kwake kwenye urais.
Uko makini sana, respect...
 
Back
Top Bottom