kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,550
- 2,381
Unaota eeeNdugu P anayefaa kuchuwana na Rais Magufuli ni Mhe Tundu Lisso, atapata kura chache sana za ‘sympathy’ kwa kuepuka na kifo wakati aliposhambuliwa kwa bunduki(AK47) ila kwa sababu ya kazi nzuri ya Rais aliyepo madarakani, ni ndoto za mchana kumshinda Rais Magufuli! Rais Magufuli atashinda kwa kishindo 90% ya kura zote! I am ready to bet!! - ni Mwl Nyerere II. Ushauri ni kuwa this period mishahara na promotions za wafanyakazi zitekelezwa(annual salary increments and promotions), marupurupu kama meal allowance, house allowance, transport allowance yaendelee kila mwaka kwani uchumi wa nchi ni mzuri. Motivating workers matters very much.