Uchaguzi 2020 Jicho la Tatu: Mgombea Urais CHADEMA ni Freeman Mbowe! Tundu Lissu Pacemaker! Nyalandu ni Serious Contender, Msigwa anatania, Dkt. Mayrose Majinge...

Kiukweli mwaka huu sioni nafasi ya chadema katika uchaguzi huu sema tu watanzania tumezoea kuishi kwa matumaini fake na kujipa moyo hata pale uharisia unapoonekana wazi.

Kwa vile ni haki ya chadema kusimamisha mgombea Mimi naona wampe nyalandu, tundu lissu watanzania wengi wameshampuuza na kumuona ni mpiga porojo tu.

Mbona mnapata tabu sana, mchakato wa kupata mgombea ni jukumu lao Chadema wenyewe na kinachofanyika ni mipango mkakati ya Chama sasa hizi kelele za nini? Kama wasingeweka mgombea mngesema wanatia mpira kwapani, hivi mnajua nani atapitishwa kugombea? Ya ngoswe muachieni ngoswe mwenyewe? Mbona wao hawawasemi nyie kuminya Demokrasia kwa kotoa form moja tu ya mgombea Urais?
 
Kama wewe hakunyimi usingizi basi wenye chama chao wanamuugua kabisa. Wiki nzima kwenye Bunge la bajeti anazungumziwa yeye, msemaji wa polisi anakubali kulinajisi jeshi kwa uongo wa kitoto kabisa kumchafua Mbowe,huku mitandaoni hasa JF wote mnamshambulia Mbowe. Mwanzoni Pasi alikuwa anatoa miichango fikirishi na elimishi lakini siku hizi ameshaamua kuchua upande na yeye mwenyewe alikiri hivyo hapa wewe unataka kusema nini?
Mbowe hachafuliwi bila kujichafua mwenyewe. Muwache kuvaa miwani za jua usiku, na muache kutembea mchana huku mumefumba macho.

Chadema kina viongozi wengi wazuri, chadema sio mbowe pekee, wacheni kujiambukiza maradhi ya upendeleo, alafu mnawasingizia watu, kuwa wanamifitini.

Hebu fuatili historia ya siasa zaa Mbowe ndani ya chadema , kuanzia enzi za Chacha wangwe, Zitto, Slaa, Lowassa, Sumaye, na sasa Lissu.
 
Mbowe ni usalama wa taifa, anafanya kazi vizuri sana na serikali. Tundu Lissu ni homa ya taifa kwahivyo lazima itumike nguvu ya nje na ndani kumkabili TL.

Mchezo umeanzia mbali kwa kweli na mpaka sasa ameshadhibitika, ndani ya chama hakuna atampigia kura TL kumuacha Mbowe.
usalama wa taifa anavunjwa mguu na akina musukuma na lijua likali????hebu fikiria tena uje!!!!
 
Mbowe hachafuliwi bila kujichafua mwenyewe. Muwache kuvaa miwani za jua usiku, na muache kutembea mchana huku mumefumba macho.

Chadema kina viongozi wengi wazuri, chadema sio mbowe pekee, wacheni kujiambukiza maradhi ya upendeleo, alafu mnawasingizia watu, kuwa wanamifitini.

Hebu fuatili historia ya siasa zaa Mbowe ndani ya chadema , kuanzia enzi za Chacha wangwe, Zitto, Slaa, Lowassa, Sumaye, na sasa Lissu.
Ishu ya Chacha Wangwe mnavoiimba kama ni kweli Mbowe huyu angeshafungwa kifungo cha maisha au kunyongwa kabisa.

CCM kupitia 'manyigu' ndiyo walimchochea Chacha na yeye bila kujua kuwa anatumika akajaa na ugomvi ulipofikia kwenye kilele wakafanya yao wakijua jumba bovu litaiangukia Chadema.

Kama kawaida yenu haraka haraka mkaandaa statement na kuwapa wapambe waisambaze kumhusisha Mbowe na Chadema juu ya kifo cha Chacha, lakini Watanzania siyo wajinga na kilichotokea kule Tarime kila mtu anajua mlivuna aibu na Kaka yako Makamba Snr akaondoka Tarime usi usiku. Wacheni siasa za kishamba za maji taka na kutegemea dola kuwafanyia siasa.
IMG-20200403-WA0003.jpg
FB_IMG_1582080397242.jpg
 
Mayalla unaenda kuaibika kuhusu issue ya Lissu. Wagombea Wabash in danishes ndani ya chama tena kwa namna ya kipekee kupata kutokea Tanzania. Kuna mdahalo wa ndani utafanyika na Presidential material ataonekana dunia nzima sio kwa wanachadema pekee, atapita.

Je, akionekana baada ya mdahalo anayefaa mfano ni Msigwa na akapitishwa na Mbowe akajitokeza kuwa anaheshimu maamuzi nani mwingine kati ya watai nia anaweza kulalamika? Hakuna.

Na unadhani baada ya mdahalo huo Watanzania wangapi wanaweza kuona na kutambua ubora wa mgombea wa Chadema? Maana mdahalo sio kupiga pushups au kuruka mapanga shaa!
 
Ndugu Pascal, once again tunakushukuru kwa utabiri wako, wa busara na uliofanywa kwa utafiti. Wengi tunapenda sana kukusoma, lakini mabandiko yako ni mengi sana na yanachosha, you are well known and respected for your factual imput and political views, huhitaji maonyesho mengi.

Kwenye mada: Yote uliyoyatabiri hapa ni facts supported na scenario za ukweli, na kila kitu kiko wazi. Ila ningependa kukuongezea, kama chadema hawatafanya mipango ya umoja (UKAWA) na vyama vingine, basi mgombea mwenza wa Mbowe atakuwa Bi Mayrose..
Nimekuelewa kwenye para ya kwanza tu, jamaa ana mabandiko mengi humu mpaka yameanza kuboa, anakosa muda wa kutulia aandike kitu kinachoeleweka, ni kama vile analipwa kwa kupandisha uzi humu every hour, who knows!. Alishaonesha hampendi Mbowe toka wakati ule wa uchaguzi ndani ya chama, akapandisha uzi wake wa kipuuzi kutaka wapiga kura wasimchague Mbowe, akashindwa.

The rest kuhusu Chadema na Mbowe umeandika pumba, kama unaamini Chadema inaenda kupoteza nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani ungesema sababu sio kuimba tu, na wewe unajua, Chadema inalazimishwa kupotezwa but miongoni mwa watanzania bado ni favourite political party, hivyo hizi ndoto zenu mnajifurahisha tu.

Kuhusu Mbowe pia umeandika pumba, huwa anachaguliwa kwenye vikao halali kwa kupigiwa kura na walio wengi, hizi kelele zenu za dikteta sasa zinaonekana ni utoto tu.
 
Mbowe hachafuliwi bila kujichafua mwenyewe. Muwache kuvaa miwani za jua usiku, na muache kutembea mchana huku mumefumba macho.

Chadema kina viongozi wengi wazuri, chadema sio mbowe pekee, wacheni kujiambukiza maradhi ya upendeleo, alafu mnawasingizia watu, kuwa wanamifitini.

Hebu fuatili historia ya siasa zaa Mbowe ndani ya chadema , kuanzia enzi za Chacha wangwe, Zitto, Slaa, Lowassa, Sumaye, na sasa Lissu.
Ugonjwa wako ni mdogo sana.

Unataka Mbowe asijitokeze kugombea nafasi yoyote kwenye uchaguzi wa chama chake, wacha ushamba, hao unaowaita wagombea wazuri wajitokeze kushindana nae, usilete mawazo ya kitoto hapa.

Mbowe ana haki ya kugombea nafasi yoyote ndani ya chama chake na kama wapiga kura wanamkubali wataendelea kumchagua, una akili finyu sana, unataka asigombee ili hao uliowataja wapite bila ushindani ili wajinga nyie mfurahi!.

Una hoja za kitoto sana.
 
Angalizo: Hoja hapa sio ku discuss watu, ni tuna discuss ideas hivyo kama wewe sii miongoni mwa watu wenye uwezo wa kusoma in between the lines na kubaini the motive behind!, nakushauri tuu jipitie zako tuu usipoteze muda wako, na wale wachangiaji simple minds ambao hao kazi yao ni kujadili watu kama kumjadili mtoa mada, karibuni kule MMU etc.
Siku hizi ong'wise unanipa raha sana unavyoweka kinga! Unajua tu raia lazima wakupopoe ndiyo maana unatanguliza ngao ya mawe kama ukuta wa Berlin! Jichunguze na ujirekebishe tu mkuu!
 
Chadema wagombea wanaochuana Ni wawili tu Mbowe na Nyalandu.Lisu na Msigwa Ni out of the equation
Duniani kote huwa Kuna vyama vya maskini na matajiri.Tanzania Chadema ni chama Cha matajiri toka kuanzishwa kwake Ni capitalist party chenye mlengo wa kibwanyenye .Hivyo nafasi Kama ya mwenyekiti wa chama taifa au mgombea uraisi lazima awe na uwezo kifedha au na uwezo mkubwa wa kuzalisha pesa za ndani au za nje awe money magnet

Nyalandu pesa anazo za ndani na nje na ana connection za pesa za nje na Mbowe pesa anazo na hukaa katikati ya matajiri wa chadema he belongs to Chadema elites wenye pesa.Hawa wawili wanakubalika na wenye pesa ambao ndio injini ya uendeshaji chama kwa pesa na Mali zao na ndio wagharimiaji chaguzi...
Kwani Dr slaa wakati anagombea 2010 alikua ni tajiri? Chadema ni watu wa tafiti katika kuwapata wagombea na ndo maana kila wakati kimekua kikiongezea madiwani na wabunge
 
baada ya mdahalo anayefaa mfano ni Msigwa na akapitishwa na Mbowe akajitokeza kuwa anaheshimu maamuzi nani mwingine kati ya watai nia anaweza kulalamika? Hakuna.
Na unadhani baada ya mdahalo huo Watanzania wangapi wanaweza kuona na kutambua ubora wa mgombea wa Chadema? Maana mdahalo sio kupiga pushups au kuruka mapanga shaa!.
Aisee kweli chadema Ni CHADOMO yaani chama Cha DOMOCRASIA yaani Raisi Bora anapatikana kwa namna anavyochonga mdomo kwenye mdahalo.

Mchonga mdomo Sana ndio anapewa ugombea uraisi chadema .Aiseee very sad.Kuna vigezo vizito vya kumpima mgombea uraisi hicho Cha domokaya hakimo kwa Chadema mfano Ni uwezo dhibitika binafsi wa kifedha au wa wafadhili wenye track record pia uwezo wa eneo la ubunge ulilokuwa nalo ulilifanyia nini? hapo watu Kama Mbowe Hai kaitendea haki kupeleleka maendeleo,Msigwa pia Jimbo la Iringa kafanya vizuri mno , Nyalandu pia kafanya vizuri alipkuwa Mbunge.

Lisu kwenye hiki kipengele anatolewa knock out hata na Msigwa.Kama akishindwa kuhudumia eneo bunge lake tu kuliletea maendeleo uraisi wa kuhudumia nchi nzima hawezi .Hao watatu Mbowe, Nyalandu na Msigwa waweza graduate kwenda next level sababu kwenye eneo bunge lao wamefanya vizuri

Lisu Ni mpiga Domo tu ndio maana anataka mdahalo sababu he has nothing to show kwenye jimbo lake!!! Anataka tu kuongea Kama kameza album

Raisi anayetafutwa ni mjenga Jimbo lake na mjenga nchi sio mjenga hoja .Wajenga majimbo ndio wagombee.

Hakuna haja ya mdahalo wa kubishana maneno ya kingereza kuonyesha Nani anajua kingereza kuliko mwingine maisha sio mdahalo ni vitu real !!! jimboni umefanya nini Hadi utake uraisi?

Chadema msiendekeze vitu vya kitoto kama midahalo kwenye uteuzi wa mgombea uraisi.Uraisi Ni serious issue is more than a secondary school debate
 
Aisee kweli chadema Ni CHADOMO yaani chama Cha DOMOCRASIA yaani Raisi Bora anapatikana kwa namna anavyochonga mdomo kwenye mdahalo.

Mchonga mdomo Sana ndio anapewa ugombea uraisi chadema .Aiseee very sad.Kuna vigezo vizito vya kumpima mgombea uraisi hicho Cha domokaya hakimo kwa Chadema mfano Ni uwezo dhibitika binafsi wa kifedha au wa wafadhili wenye track record pia uwezo wa eneo la ubunge ulilokuwa nalo ulilifanyia nini? hapo watu Kama Mbowe Hai kaitendea haki kupeleleka maendeleo,Msigwa pia Jimbo la Iringa kafanya vizuri mno , Nyalandu pia kafanya vizuri alipkuwa Mbunge...
Lumumba magufuri inaonekana atachukua fomu tena ndani ya ccm, swali ni je, Kuna ruhusa na mwingine kuchukua fomu ya urais ili kumshindanisha na magufuri? ccm hiyo kwenu mko tayari??
 
Ndugu Pascal, once again tunakushukuru kwa utabiri wako, wa busara na uliofanywa kwa utafiti. Wengi tunapenda sana kukusoma, lakini mabandiko yako ni mengi sana na yanachosha, you are well known and respected for your factual imput and political views, huhitaji maonyesho mengi.

Kwenye mada: Yote uliyoyatabiri hapa ni facts supported na scenario za ukweli, na kila kitu kiko wazi. Ila ningependa kukuongezea, kama chadema hawatafanya mipango ya umoja (UKAWA) na vyama vingine, basi mgombea mwenza wa Mbowe atakuwa Bi Mayrose...
Mtani rudi darasani kidooogo hapo kwenye mgombea mwenza wa Mbowe kuwa Mayrose umechapia, mgombea mwenza lazima atoke upande wa pili wa Muungano.
 
Kwani Dr slaa wakati anagombea 2010 alikua ni tajiri? Chadema ni watu wa tafiti katika kuwapata wagombea na ndo maana kila wakati kimekua kikiongezea madiwani na wabunge
Wafadhili wa nje wa chadema Dr slaa ndie alikuwa mtafutaji mkubwa .Na alikuwa ndie contact person wa wafadhili wa chadema was nje ya Nchi.Ndio maana uliona akizinguka ulaya na Marekani akipokelewa Kama Raisi kwenye Kila eneo aliloenda kutembelea ulaya marekani kwa donors. Wafadhili wa nje ndio kuliwafanya chadema wampe ugombea uraisi kwani wafadhili wake walikisaidia Sana Chadema kifedha ,semina,nk .Kipindi chake viongozi Chadema walikuwa kutwa ulaya na Marekani kwa gharama za wafadhili wa Slaa ambao wengi alifahamiana nao akiwa katibu was Baraza la maaskofu Tanzania

Slaa kuwekwa ugombea uraisi ilikuwa Asante kwake kwa mchango mkubwa wa pesa za kigeni kwa Chadema toka kwa wafadhili wake..Tundu lisu je? Anategemea tu kuchonga mdomo!!! Kampeni zinahitaji pesa sio kupepeta mdomo!!!

Yes utafiti ulifanyika kuwa Nani apewe ugombea uraisi mwenye pesa zenye ushahidi kuwa zipo Dr Slaa akapewa na wafadhili hawakumwangusha walimpa pesa za kampeni sema tatizo tu kura haziikuenea .Lakini hakuwa na shida ya pesa zilikuwa pesa za wafadhili zinatiririka Kuingia akaunti za Chadema kabla ya kugombea na ziliendelea kutiririka alipogombea

Swali wafadhili wa Tundu Lisu wanatiririsha pesa akaunti za Chadema jibi Ni la .Hana hata alizotoa tangazo kuwa achangiwe anataka ziende kwenye namba za simu za mtu binafsi.Ni mtangaza Nia pekee ambaye pesa Hana keshaanza kusumbua watu wamchangie yeye binafsi badala ya chama hata kabla uteuzi haujafanyika!!!

Wenzie pesa wanazo Nyalandu kurusha helikopta angani nchi nzimai kwenye kampeni kwake Ni kitu kidogo Sana ,Mbowe ndio usiseme

Hao malofa wawili Msigwa na Lisu Ni mizigo ya gunia la misumari kwa Chadema na wanachadema kwenye kampeni .Ulofa mwingi na chadema pesa hakina anatakiwa mgombea anayejibeba
 
Back
Top Bottom