SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,766
Kiukweli mwaka huu sioni nafasi ya chadema katika uchaguzi huu sema tu watanzania tumezoea kuishi kwa matumaini fake na kujipa moyo hata pale uharisia unapoonekana wazi.
Kwa vile ni haki ya chadema kusimamisha mgombea Mimi naona wampe nyalandu, tundu lissu watanzania wengi wameshampuuza na kumuona ni mpiga porojo tu.
Mbona mnapata tabu sana, mchakato wa kupata mgombea ni jukumu lao Chadema wenyewe na kinachofanyika ni mipango mkakati ya Chama sasa hizi kelele za nini? Kama wasingeweka mgombea mngesema wanatia mpira kwapani, hivi mnajua nani atapitishwa kugombea? Ya ngoswe muachieni ngoswe mwenyewe? Mbona wao hawawasemi nyie kuminya Demokrasia kwa kotoa form moja tu ya mgombea Urais?