jf udaku:remix

Huyo mwandishi wa heading namba nane lazima atakuwa anaandikia gazet la sani,ngoja mwenyewe amsikie huko aliko ataomba fidia na kuombwa radhi front page kwa wiki nzima
 
Dearest, let me do my work at the end its for you to decide....am doing my analysis....!!
Well, the least I can do is wait for the analysis report so, fire away dearest.
 
Well, the least I can do is wait for the analysis report so, fire away dearest.

Thats my girl...am giving it my best... Bishanga yuko wapi tena? hasira za wewe kumkataa pengine yuko uswazi kwake guest..smh!
 
Thats my girl...am giving it my best... Bishanga yuko wapi tena? hasira za wewe kumkataa pengine yuko uswazi kwake guest..smh!

Hahahaha. . . huko guest unadhani atakua kajifungia analia au wamejifungia analiwazwa?
 
Thats my girl...am giving it my best... Bishanga yuko wapi tena? hasira za wewe kumkataa pengine yuko uswazi kwake guest..smh!
hamna lolote saiz atakuwa anammendea kongosho yule! anamsubiria njia pandaaaa.
 
Niseme nini tena hapo, maana mzee mwenzangu Bishanga kamaliza yote..............
Ngoja niendelee kuperuzi kurasa za ndani za hili gazeti ili nipate udaku kamili
yathibitishwa:Cantalisia kumbe ndo 1st born wa Mzee mzima Mtambuzi.
 
Lizzy avimba kama puto la harusi!
Kwa uhondo zaidi, soma uk. wa 3.
 
Hahahaha. . . huko guest unadhani atakua kajifungia analia au wamejifungia analiwazwa?

Analiwazwa na Kongosho according to source...sijui Kongosho yukoje yule??
 
Dearest, let me do my work at the end its for you to decide....am doing my analysis....!!

wakati unaendelea na analysis mi nasali na kuomba nipitishwe na kamati!
 
hamna lolote saiz atakuwa anammendea kongosho yule! anamsubiria njia pandaaaa.

Bishanga sijui vipi nae? hawezi hata kupitiliza siku moja....mi najitoa..Lizzy endelea tu na shem wetu yule japo ni mchokozi!
 
Thats my girl...am giving it my best... Bishanga yuko wapi tena? hasira za wewe kumkataa pengine yuko uswazi kwake guest..smh!
nimejaa tele,nasubiria tu report card ili nikanunue suti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…