........tungo tata!!!!!!!
kwani uongo?...kuhusu Lizzy ulifanikiwa??umejuaje? kuna mwanga mmoja wa jf alinipeperushia ndege wangu Eliza wa T baada ya kumpa umbea eti mi natoka na mama T,wamjua weye mama T?
mmmmhhh umem miss nani?
sio Nitonye,maana jana nimekuona unajitia kuvuta fegi kwenye banda la mangi nje ya fence yangu.
nilikuwa kwenye asali mwenzi mwenzako!!!
halafu Husninyo....Kloro umempeleka wapi? sijamuona siku nyingi sana hapa! Au mambo ya mpwapwa?kwa raha zako bab'
Kumbe Eliza wa Tegeta ana kiwanda cha veseline!! Tupate habari kamili uk wa ....
Yagundulika nitonye ni mwarabu wa njombe.
Bora nipigwe risasi!!!Baada ya nitonye kuwala chabo baba na mama mwenye nyumba, afukuzwa mtaa huo.
Aanza kutanga tanga mitaani kama popo
Tanmo aripoti kwa Paw akiomba hati miliki za jf udaku magazine.
Rejao ahamia CDM, arudisha kadi zake zote za kuzaliwa RITA.
Lizzy mwelewa sana,,,,ukimwingia kiakili anaingilika! labda ulienda kichwa kichwa!! Au siku ya kwanza tu ulitangaza ndoa??Mkuu mi sakapoko nina ubavu wa kumwingia Lizzy? Lizzy matawi bana!
halafu Husninyo....Kloro umempeleka wapi? sijamuona siku nyingi sana hapa! Au mambo ya mpwapwa?
Mkuu mi sakapoko nina ubavu wa kumwingia Lizzy? Lizzy matawi bana!