jf udaku:remix


hah hah hah hah...hao wahusika wapo kweli hapa?
 
ndugu yangu usitake nifungwe,publisher na copyright owner ni mdau Tanmo,bishanga ni ripota tu!
 
confirmed:
Ashadii,Nyumbakubwa,King'asti,Fidel,Mr Rocky na Maty waonekana ofisi za DSTV maeneo ya st Peter wakifanya interview ya kuingia next edition ya jumba la Bigbrother.Rushwa inatembea ni hatari.
 
Dena and Mama Tullly to contest for Miss TZ 2012?stay tuned.
 
which button have i touched?
 
Utakua panga kabisa ehhh?
ndo naelekea st josef kutubu zambi zangu zote,as of today am gonna be a new man,no cheating,just a one woman man,najua ni kazi kweli kweli lakini nitajaribu,i am bracing myself for all the trials!
 
mwaga razi bana,umbea wa nani umemiss,mbona wantia hamu ya kujua?
 
AshaDii akutwa akinyata toka rumuni kwake ili tu akpost salamu kwa Bishanga wa Bashaija. Na kafanikiwa kabisa. lol


Morning B'
 
ndo naelekea st josef kutubu zambi zangu zote,as of today am gonna be a new man,no cheating,just a one woman man,najua ni kazi kweli kweli lakini nitajaribu,i am bracing myself for all the trials!
Ukifanikiwa ntakupa zawadi.
 
naelekea kilingeni kuwapa dili machizi wangu
 
Cantalisia Atembea na Baba Yake, Mzee Mtambuzi
Na Mwandishi Wetu:

Wawili hawa walionekana siku ya jumapili mwezi wa kwanza, ambapo binti mrembo Cantalisia alionekana mitaa ya Tabata akiongozana na Baba yake Mtambuzi kuelekea kanisani. Familia hiyo ilifuatiwa kwa mbali na majirani zao wawili ambao ni wahudumu wa kanisa ambao kwa macho ya haraka haraka ya mwandishi walionekana kuwa wakihofia kuchelewa ibada hiyo kwani tayari zilikwisha pita dakika tano tangu muda uliopangwa kwa ibada kuanza.
 
Inabdi mwandishi ulichunguze hili ili uje na habari kamili
mwandishi Asakuta Same atekwa na Rejao kwa ushirikiano na Alshababy alipokuwa anafuatilia kisa cha Rejao kumpa ujauzito Kongosho.
Aweza kuripoti haya katika mazingira hatarishi wakati mwandishi mwenzake Michelle akinegotiate kuachiliwa kwake.....
habari kamili ya uwezekano wa kuachiliwa kwake atawaletea Michelle.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…