Haahah shida ya Ndugai nitamwambia anielekeze atakubali tukiwa kwenye kuelekezana atahamia kwingine
Hiyohiyo hiyo unakutana nayo jf pekee watu mpo mapenzini mnagombana mnasameheana hata kuonana hamjawahi
HhaahhahSasa jimbo si lake, acha akague ujenzi wa madarasa mapya...
kwakweli inashangaza Sana.Hiyohiyo hiyo unakutana nayo jf pekee watu mpo mapenzini mnagombana manasameheana hata kuonana hamjawahi
Au mnatongozana mpaka mnaachana hamjawahi onana
Nilivyoona like yako tu nimesema kimeumana ngoja nisubiri kinachoandikwaKumbe aisee? Watu wanafaidi..
Tena hata picha yake hana hajui anafananaje au amependa tu vile mtu anavyoandikakwakweli inashangaza Sana.
Wengine Hadi usingiz wanakosa kwa mtu hata ambae hajawai muona
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu kama hao kitu IMANI nafsini mwao hawanaHabari wapendwa wana jamvi LA jf!
Kuna watu wanashangaa sana kuona MTU anatafuta mwenza jf!
Sijaju ni kwanini wanabeza kuwa mwenza wa jf ni mwenza kama wenza wengine tu unaoweza kukutananao kanisani, kisimani,sokoni nk.
Hivyo basi napenda kuwahusia wale wanaotukandia sisi tuliojipatia wenza hapa kuwa wanachama wa jf ndio haohao tunaokutananao mtaa tofauti ni kwamba hapa tunapata nafasi ya connection kwani ni vigumu kujua MTU anayetafuta mwenza kwa kumtazama tu huko njiani, kanisani, kisimani nk
So jf hutusogeza karibu na watu tofauti wenye mahitaji tofauti
Ila huyu Ndugai nuksi. Ndio maana hawaachi kina Halima Mdee japokuwa hawana chama...Yes ndio hiyo alielezea Max, hebu mwambie Ndugai afanye kukusaidia 🤭
Yes, sasa tunaongea lugha moja...
shunie kwani mi mkorofi?Nilivyoona like yako tu nimesema kimeumana ngoja nisubiri kinachoandikwa
Tatizo, wanafundishika? Hizi sabuni zinawaharibu vijana wetu... wamesababisha mabinti waanzishe mahaba na chupa za sodaHili tatizo linasumbua vijana Sana, itabidi lianzishwe somo kabisa humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahii kabisa.Tena hata picha yake hana hajui anafananaje au amependa tu vile mtu anavyoandika
Eeeenhshunie kwani mi mkorofi?
Hiki Kizazi cha vijana laini laini Ni tatizo Sana mkuuTatizo, wanafundishika? Hizi sabuni zinawaharibu vijana wetu... wamesababisha mabinti waanzishe mahaba na chupa za soda
Niachieni Ndugai wangu nyie wazeeIla huyu Ndugai nuksi. Ndio maana hawaachi kina Halima Mdee japokuwa hawana chama...
Najitahidi kuongeza siku za kuishi tu, nicheke wee kama hivi...sina ukorofi wowote.Eeeenh
Siku hizi una kaukorofi ukorofi buanaaa
Afu alivyo mtaalam sasa... anakagua madarasa yenye tiles na madirisha ya aluminiumSasa jimbo si lake, acha akague ujenzi wa madarasa mapya...