kisiwa

Mombasa ( mom-BASS-ə, also US: -⁠BAH-sə) is a coastal city in southeast Kenya along the Indian Ocean. The city is known as the white and blue city in Kenya. It is the country's oldest (circa 900 AD) and second-largest city (after the capital Nairobi), with a population of about 1,208,333 people according to the 2019 census. Its metropolitan region is the second-largest in the country, and has a population of 3,528,940 people.Mombasa is a tourism-based city; it has an extra-large port and an international airport, and is an important regional tourism centre. Located on the east coast of Kenya, it also is the home of one of the state houses, and is considered by some as a second capital in all but name.
In an effort to increase tourism, in June 2018 Mombasa County Governor Hassan Joho issued a directive requiring that all buildings in the Old Town and the Central Business District be painted white with Egyptian blue trim and banning all signs from their walls or canopies. "This allows tourists to take photos," explained Transport, Infrastructure and Public Works County Executive Tawfiq Balala. "We want to be the most photographed city in Africa." The order was challenged by the Commission For Human Rights and Justice, but Judge Erick Ogolla upheld the requirement.In Mombasa County and the former Coast Province, Mombasa's situation on the Indian Ocean made it a historical trading centre, and it has been controlled by many countries because of its strategic location.

View More On Wikipedia.org
  1. Kalaga baho

    Kisiwa cha Changuu, Zanzibar: Sehemu nzuri ya kutalii na kubarizi

    Habari ya muda huu wakuu.. Leo nitatoa dodoso dogo linalozungumzia histori,na maelezo ya vivutio mbalimbali vinavyopatikana kisiwa kidogo kilivhopo maili 4 kutoka unguja. Kisiwa hiki kinaitwa Changuu au Prisona au kisiwa Cha Kobe. Kisiwa Cha prisona kilianza kujulikana hivyo, kuanzia mwanzoni...
  2. Nigrastratatract nerve

    Historia ya Mkata utepe wa kisiwa cha kusadikika aliyepotea ghafla alikuwa akikabidhiwa majukumu mazito ya kushika usukani mwanzoni mwa kalenda mpya

    Alikuwepo Mkata utepe mmoja aliyetokea Magharibi mwa kisiwa cha Kusadikika alikuwa mpole, mnyenyekevu na asiye na makuu yeye alijua tu kufanya kazi katika wafalme mbali mbali wa kisiwa hicho kilichoko mashariki mwa bara la giza Umaarufu wa Mkata utepe ulivuma Sana alipopewa kazi ya kutunza...
  3. Stephano Mgendanyi

    Ujenzi wa Sekondari Mpya Unaendelea Musoma Vijijini: Kisiwa cha Rukuba Kimeanza Ujenzi wa Sekondari Yake

    UJENZI WA SEKONDARI MPYA UNAENDELEA MUSOMA VIJIJINI: KISIWA CHA RUKUBA KIMEANZA UJENZI WA SEKONDARI YAKE Jimbo la Musoma Vijijini lina Kata 21 zenye Vijiji 68 na Vitongoji 374. Jimbo hili lina jumla ya Sekondari: *25 za Kata (Serikali) *2 za Binafsi (Katoliki & SDA) Sekondari mpya tano (5)...
  4. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    Kisiwa cha Patmo kipo nchi gani?

    Kisiwa cha Patmo kipo nchi ya Ugiriki kwa sasa…Kisiwa hicho kipo mashariki mwa Taifa la Ugiriki na magharibi mwa nchi ya Uturuki, kama vile Zanzibar ilivyo mshahariki mwa nchi ya Tanzania ndivyo kilivyo hichi kisiwa cha Patmo kwa Ugiriki. Kisiwa hicho ndicho Mtume Yohana, ambaye alikuwa...
  5. Stephano Mgendanyi

    Harambee Imefanikiwa Sana: Kisiwa cha Rukuba Chaanza Ujenzi wa Sekondari Yake

    HARAMBEE IMEFANIKIWA SANA: KISIWA CHA RUKUBA CHAANZA UJENZI WA SEKONDARI YAKE Kisiwa cha Rukuba ni moja ya vijiji vinne (4) vya Kata ya Etaro. Wanafunzi wa sekondari kutoka Kisiwani humo wanasoma nchi kavu kwenye sekondari ya Kata yao (Etaro Sekondari). Wanafunzi hao wanakumbuna na matatizo...
  6. Jackal

    Urusi yahamisha mifumo ya ulinzi wa anga toka kisiwa inachogambania na Japan cha Kuril kupeleka kwenye mpaka na Ukraine

    My take: Baada ya mambo kuwa magumu kwenye vita vyake na Ukraine, kupoteza silaha nyingi,Urusi yaanza kuhamisha silaha toka maeneo mengine kupeleka frontline dhidi ya Ukraine.Njia rahisi ya kumaliza vita,ni Putin kuondoka Ukraine,ikiwemo Crimea 🤔 .... Russia has taken away anti-aircraft missile...
  7. Stephano Mgendanyi

    Kisiwa cha Rukuba Kimekamilisha Ujenzi wa Kituo cha Afya

    KISIWA CHA RUKUBA KIMEKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA AFYA Kisiwa cha Rukuba kiko ndani ya Kata ya Etaro yenye vijiji vinne (Busamba, Etaro, Mmahare na Kisiwa cha Rukuba). Kisiwa hiki cha Musoma Vijijini kina Shule ya Msingi yenye vyumba vya madarasa vya kutosha ikiwepo ziada ya vyumba viwili...
  8. K

    Watu mna siri sana. Kumbe Diamond Platnumz anamiliki Kisiwa na hamsemi?

    Mtandao wa Africa facts zone umeripoti kuwa Msanii Diamond Platnumz (Simba) kumiliki nyumba 11, hoteli, TV station pamoja na radio station pia kisiwa chenye thamani ya zaidi ya bilioni 1.8. Pia Afrika Face Zone wameripoti kuwa Diamond Platnumz huwa analipwa zaidi ya milioni 236 kwa show...
  9. DR SANTOS

    Simulizi: Jinsi matatizo yalivonipeleka kwenye kisiwa kilichosahaulika

    Mwanzo “Huyu tumuue kwani bosi amemleta huku lengo lake afe tu”. “Hapana nafikiri kumuua sio jambo jema, kiubinadamu pia huyu ni mwanaume mwenzetu” “Kibarua kitaota nyasi shauri yako,sasa unashauri nini”. “Tumtupe kwenye maji tu akacheze na papa huko” Mabishano hayo niliweza kuyapata vyema...
  10. BigTall

    Balozi Karume amkosoa vikali Rais wa Zanzibar kwa sera ya kukodisha kisiwa, amuita ni "Bwana Mdogo"

    Balozi Karume amkosoa vikali Rais wa Zanzibar kwa sera ya kukodisha kisiwa, amuita ni "Bwana Mdogo", asema "Ni maamuzi mabovu kabisa haya" Chanzo: Jambo TV
  11. Venus Star

    Unakijua kisiwa chenye majoka Ziwa Victoria?

    Kuna kisiwa kilichojaa nyoka wenye sumu kali barani Afrika. The Most Venomous Snakes of Africa. Ni eneo la hifadhi ya msitu mdogo na koloni la ndege wa ziwa wenye kelele nyingi na majoka aina ya @kobla Zaidi ya 2000 hivi Kinapatikana katika(Mkoa wa Kati, Wilaya ya @Rakai). Ndani ya ziwa...
  12. figganigga

    Tanzania sio Kisiwa cha amani tena, ni baada ya kufuga watu Wasiojulikana

    Baada ya Tanzania kulaumiwa na Jumuiya za kimataifa kwa kumiliki kikundi cha watu wasiojulikana ambao kazi yao ni kuteka, kuua kutesa, kubambikizia kesi, Tanzania imetoka kuwa nchi ya kwanza yenye amani Afrika na kuwa ya 16. Ila kuwaliwaza wanasema ni ya 7 Ifuatayo ni Orodha ya Nchi zenye...
  13. Rjb mbembe

    MSAADA: Safari ya kisiwa cha Reunion

    Nahitaji kufahamu kwa mtu anayejua bei za safari ya kwenda kisiwa cha Reunion kwa kutumia boti. Natamani nipitie Comoro, Madagascar mpaka Reunion Msaada wenu juu ya safari hiyo kuhusu bei za nauli mpaka nifike huko, ndege sitaki kutumia.
  14. S

    SoC02 Jaa la mjini

    Katika hali isiyo ya kawaida kumekuwa na wimbi kubwa la Imani potofu ambayo watu kutoka nje ya kisiwa Cha Pemba wanaifanya iendelee kuota mizizi siku hadi siku. Hiii ni kutokana na baadhi ya watu kuamini kuwa Pemba ndio kitovu au zizi la itikadi za matendo ya kishirikina hali ambayo imekuwa...
  15. Blue Marble

    SoC02 Kisiwa kikubwa cha Taka za plastic katika bahari ya Pasifiki

    Ukisikia kisiwa basi wote tunafahamu kuwa ni sehemu ya nchi kavu iliyozungukwa na maji. La hasha sio hivyo. Plastc Pacific Garbage Patch ni kisiwa kilichojitengeneza kutokana na kurundamana kwa Taka hasa za plastiki. Kisiwa hiki kinajumuisha taka nyingi za magharibi mwa pwani nchi ya Japani na...
  16. Gama

    Mafua ya ndege yatikisa kisiwa cha Farne Islands - UK

    Mlipuko wa ugonjwa wa Mafua ya ndege uliotokea uingereza umeelezwa kuwa unahatarisha ustawi wa maelfu ya ndege wanaoishi katika kisiwa cha FARNE ambacho ni kisiwa muhimu kwa utalii. Kisiwa hiki ni makazi ya aina mbalimbali za ndege pori. MY TAKE: Kwakuwa baadhi ya ndege husafiri maili nyingi ni...
  17. Natty Bongoman

    Wajiolojia wanatuambia mbeleni Tanzania itakuwa kisiwani

    Habari wanaJF. Majuzi wenzetu Kenya walikumbwa na janga pichani hapo chini. mjadala wa hili tukio wajiolojia wanatuambia ni ishara ya mgawanyiko utakaotokea mbeleni. Ukiangalia ramani, wanatuambia bonde la ufa ni kama mipaka ya mapande mawili ya ardhi yanayoonyesha kusogea, kila pande...
  18. L

    Uhusiano haramu kati ya kisiwa cha Taiwan na Jimbo la Somaliland ni hatari ya kidiplomasia

    Na Fadhili Mpunji Katika siku za hivi karibuni kiongozi wa Taiwan Bibi Tsai Ingwen na anayejitaja kuwa ni waziri wa mambo ya nje wa Jimbo la Somaliland Bw. Essa Kayd, walikutana huko Taipei katika ziara ambayo Bibi Tsai Ingwen ameitaja kuwa ina lengo la kuimarisha urafiki na ushirikiano kati ya...
  19. Kasomi

    Ufunguo wa seli ya Nelson Mandela katika gereza la kisiwa cha Robben warejeshwa Afrika Kusini-Waziri

    Ufunguo wa seli ya gereza ya Kisiwa cha Robben alikofungwa Nelson Mandela utarudishwa Afrika Kusini badala ya kupigwa mnada nchini Marekani, waziri mmoja anasema. Mnada huo ulikuwa ufanyike New York tarehe 28 Januari hadi Waziri wa Utamaduni wa Afrika Kusini Nathi Mthethwa alipopinga. "Ufunguo...
Back
Top Bottom