Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
JF ni zaidi ya Msosi au kilaji
Siwezi kulala bila kuja kuwasabahi Mamember
maana ukikorofishana na huyu lazima utacheka na yule
ukikoswakoswa BAN utaambulia LIKE au REPUTATION
hiyo ndio JF
exactly!
Nilijaribu kuiepuka nikashindwa now ni full burdaaaani.
Nikinuna na huyu nitacheka na yule hii ndio raha ya jf haina ubaguzi