JF party kesho, mambo iko kule. Usingoje kuhathiisiwa

JF party kesho, mambo iko kule. Usingoje kuhathiisiwa

hahahahahahahahaha dont be disappointed best

nani akose kuja kwenye party, lazima nije hapooooo escape 1 yaaaaani uhondo unipite hivi hivi weeeeeee haitatokea hiyooooo

daaaaaaaah kusema kweli maji yako shingoni nahahaje kutafuta wakopeshaji wa bila riba na mimi

AVERAGE JOE wangu nae kafulia mnooooooooo yaaani ananitia aibu anasema mshahara haujatoka na booom sina

anyway nitapambana mpaka kieleweke nipate hiyo 30k yaaani mpaka saaa sita usiku siku ndo inaisha lazima nitakuwa nishadunduliza imetimia
tuko pamoja sanaaaaaaa

lakini best mambo gani ya kuniaibisha mbele ya HADHIRA tenaaaaaaaaaa ahaaaaaa kila mtu anajua sijalipa niko broke NOT FAIR
 
Weeeeeee! Mpaka tuitwe, are u kidding me!? You cant be serious! Labda Heaven on Earth ambae hataki KUWINDA mpaka bahati limdondokeeeeeee! Kwa sie wawindaji hapa naoa mkuki, na kutest upinde!

Gooosh!!!
Ntahitaji kutegesha camera....no matter what it takes! Umbea sunaaaaaaaaah! teh
 
Last edited by a moderator:
Maelekezo kuhusu venue, mimi nataka kufika angalau nipate general view ya wanaJF, hata kama sitamjua Lara1 ni huyu au watu8. Kabla ya kutoa fwedha mdada.
 
JARIBU UONEEEEEEEE! Thubutu cc Vene uone!!!!!!!! Kama ustaarabu huuwezi USIJE!!!!!!!!

Hii mikwara kampige mbuzi,nisije wewe ndiye umenilipia?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Lara 1 utajuaje sura zetu wakati tumelipia anonyms??? Ticket wapi mrembo. Mimi zee lao bado sijajua kama mtanipa ruhusa ya kuja na dada yenu maana kwenye chit chat nitapata tabu sana wakati vijana mko chemba!!! Ha ha ha!!
 
Back
Top Bottom