Edson, angeonekana kama waziri wa kawaida ingekuwa afadhali, maana hata wizara angekuwa nayo, yeye ni waziri asiye na wizara maalum, just ceremonial ili aingie BM, hana ofisi, hana wizara wala mamlaka yoyote nje ya kikao cha cabinet, he is just nobody here ila vingora vyake anasafiri navyo!.ni uweli usiopingika ku yule mzee kuapa kwake kule kumemshushia hadhi sana...anaonekana kama waziri wa kawaida tu
Edson, angeonekana kama waziri wa kawaida ingekuwa afadhali, maana hata wizara angekuwa nayo, yeye ni waziri asiye na wizara maalum, just ceremonial ili aingie BM, hana ofisi, hana wizara wala mamlaka yoyote nje ya kikao cha cabinet, he is just nobody here ila vingora vyake anasafiri navyo!.
reinforced concrete grade 25
Huku Tanganyika ni waziri,kule Zenji ni waziri pia ni rais.Zenji pia wana marais wengine zaidi ie JK.Kwa hiyo Zanzibar ni wizara?
Lunyungu tutendee haki tuiso karibu na tv kwa kusamaraiz alichosema...
Engineer mambo vipi? Hebu tupe characteristics strength ya hii kitu. Kumbe watu mpo ila mnajifanya TIMBUNDO, walawala too much!!!!!!!!!!!!!!!
Ni mkoaKwa hiyo Zanzibar ni wizara?
kwa sasa mimi namchukulia kama waziri yeyote hapa tanzania..