Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Taarifa ya habari usiku huu wote mtakuwa mmeona Shein anaongea kwa hasira jinsi mlivyomsema juu ya yeye kula kiapo Dar na kuingia katika baraza la Mawaziri .Jamani mmemkaba koo sana huyu ndugu hadi kaamua kusema na si msemaji kwa kawaida , punguzeni kasi lakini msiache kuchambua maana ujumbe kumbe wanaupata unawaingia vilivyo .
Au unasemaje kuhusu kauli yake ?Si umemisikia ?
Au unasemaje kuhusu kauli yake ?Si umemisikia ?