JF Kuwa Chama Tishio Cha Siasa?

Jamiiforums Kugeuzwa Chama?

  • Yawezekana

    Votes: 44 71.0%
  • Haiwezekani

    Votes: 19 30.6%

  • Total voters
    62
  • Poll closed .
Tujikumbushe . . . .

Nyerere alikuwa Mwanachama wa TAA

Baada ya TAA kuonekana haina meno ya kutosha, wakaibadilisha TAA kuwa TANU

Akaacha kazi ili kuiimarisha TANU.

I am assuming the messgae is clear!

mkuu,
binafsi sina tatizo na wazo la kuanzisha chama cha siasa.

tatizo langu liko kwenye namna ya kukianzisha, kuchagua viongozi,kukiendesha(vikao,mikutano n.k) huku tukiwa hatufahamiani.Kwa mfano nitawezaje kumchagua Rev.Kishoka wakati simfahamu?Je tukisema kwamba wagombea watume resume zao kwa ajili ya maombi ya uongozi wa chama, tutajuaje kuwa Rev.Kishoka ndiye Simon Petro?(kwamfano, sio jina lake halisi).
Na kwa nature ya shughuli za kisiasa inahitajika chama kiweze kuwepo kwenye uwanja wa mapambano, kutangaza sera na mikakati majukwaani na kwingineko, na watakao kuwa mstari wa mbele ni viongozi, je wale mlioko ugaibuni mtashiriki vipi katika harakati hizo, maana ni muhimu mkawepo live jukwaani kuliko kunadi sera kwenye mtandao kwakuwa ukweli ni kuwa wananchi wanaohitaji kukombolewa wengi hawawezi kukaa mbele ya screen kama sisi hapa.Sina nia ya kumbagua mtu yeyote ila najaribu kuangalia ushiriki wa wote katika kujenga chama imara na kikacholeta matumaini ya kweli kwa wananchi wa Tanzania.
naomba kuwasilisha.
 
Nyerere huyohuyo inayenukuu maandishi yake alisema ilituendelee tunahitaji mambo manne... chama cha siasa si moja kati ya mambo hayo

Thanks.

Did he also said tunahitaji uongozi Bora? Na unafikiri Chama cha Siasa kazi yake si Kushika uongozi wa nchi?

Suprisingly he also said Kiongozi Bora atatoka CCM . . .
 
mkuu,
binafsi sina tatizo na wazo la kuanzisha chama cha siasa.

tatizo langu liko kwenye namna ya kukianzisha, kuchagua viongozi,kukiendesha(vikao,mikutano n.k) huku tukiwa hatufahamiani.Kwa mfano nitawezaje kumchagua Rev.Kishoka wakati simfahamu?Je tukisema kwamba wagombea watume resume zao kwa ajili ya maombi ya uongozi wa chama, tutajuaje kuwa Rev.Kishoka ndiye Simon Petro?(kwamfano, sio jina lake halisi).
Na kwa nature ya shughuli za kisiasa inahitajika chama kiweze kuwepo kwenye uwanja wa mapambano, kutangaza sera na mikakati majukwaani na kwingineko, na watakao kuwa mstari wa mbele ni viongozi, je wale mlioko ugaibuni mtashiriki vipi katika harakati hizo, maana ni muhimu mkawepo live jukwaani kuliko kunadi sera kwenye mtandao kwakuwa ukweli ni kuwa wananchi wanaohitaji kukombolewa wengi hawawezi kukaa mbele ya screen kama sisi hapa.Sina nia ya kumbagua mtu yeyote ila najaribu kuangalia ushiriki wa wote katika kujenga chama imara na kikacholeta matumaini ya kweli kwa wananchi wa Tanzania.
naomba kuwasilisha.

Mkuu, hizo ndo Changamoto zenyewe . . . Ngoja kwanza tusemezane . . . majibu yako njiani yatapatikana tu . . . .
 
911, Calnde, Dar Es Salaam, Hofstede, Jasusi, Kamuzu, KatuleJ, Mahindi, C, Malunde-malundi, Mbassa, Mwita Maranya, Mzuzu, Waberoya . . . . Mnasemaje Wakuu?
 
Silazimishi wala sina haja ya kufafanuwa, unajuwa nini kasema unajidai kukacha, vipi chadema imewakifu? si nyinyi ndio mlikuwa mkiishabikia sana chadema, vipi tena unakuja na wazo la chama kipya? chadema imewakifu?
 
Mimi naona labda sisi wana JF tungechagua chama kimoja au nyama tunavyoona vinafaa nn kuvi"endorse".....vikishaungana ili kuweza kukabiliana na CCM. Lakini endorsement iwe na "strings attached"......Ufisadi na Ubadhirifu ni mwiko na tamaa za kijinga jinga hazitokuwa na nafasi.
My Opinion.

Mpaka leo hujui JF Ime-indorse chama gani?, I mean majority wapo chama gani?. Fanya home work tena mkuu.
 
Silazimishi wala sina haja ya kufafanuwa, unajuwa nini kasema unajidai kukacha, vipi chadema imewakifu? si nyinyi ndio mlikuwa mkiishabikia sana chadema, vipi tena unakuja na wazo la chama kipya? chadema imewakifu?

Kazi kweli kweli . . . . .

Nimeona na thread zako zote ulizozanzisha . . . . Sishangai arguments zako.

Unaulizwa swali unajibu swali . . . . Haya, toa maoni yako basi.
 
Wazo zuri mkuu.Wanasema all things are difficult before they are easy.Kwa waliowengi it sounds so strange and impossible.However with good will and good organisation still it can be made! Good start!
 
Wazo zuri mkuu.Wanasema all things are difficult before they are easy.Kwa waliowengi it sounds so strange and impossible.However with good will and good organisation still it can be made! Good start!

Unanikumbusha habri za Gallileo Gallileo hapo kale alopowaambia viongozi wa Dini kuwa dunia ni Duara na wala si Flat, hakuna aliyemkubalia . . . . Leo je? Bado dunia ni flat?
 
Unanikumbusha habri za Gallileo Gallileo hapo kale alopowaambia viongozi wa Dini kuwa dunia ni Duara na wala si Flat, hakuna aliyemkubalia . . . . Leo je? Bado dunia ni flat?

Sio tuu walimkatalia bali pia alihukumiwa kifo kwa kukatwa kichwa kwa kitendo cha kupingana na Mungu. Na huo ndio ukawa mwisho wa Galileo Galilei.
 
Ni wazo jema lakini pia linahitaji tafakuri jadidi, kutoka kwenye uzi hadi tete-a-tete, seems a bit complecated. Hata hivyo, penye nia pana njia. Tuendelee kulifanyia kazi.
 
Sio tuu walimkatalia bali pia alihukumiwa kifo kwa kukatwa kichwa kwa kitendo cha kupingana na Mungu. Na huo ndio ukawa mwisho wa Galileo Galilei.

Ni kweli Mkuu . . . .

Lakini leo hii inaeleweka kuwa Dunia ni Duara kama tufe.

The idea ni kuwa . . . watu wasikatishwe tamaa kwa kuwa kuna baadhi ya watu hawataki mambo mapya au hawaamini katika mabadiliko ya kweli.
 
911, ganesh, Hofstede, Jasusi, Kamuzu, Malunde-malundi, Mbassa, Mpita Njia, Mr. Zero, Mwita Maranya, Mzuzu, Ngorunde, Pasco, Sikonge, Susuviri, Waberoya . . . Naona bado mpo jamvini bado mnapitia posts . . . .

Ni nini mawazo yenu?
 
Ni wazo jema lakini pia linahitaji tafakuri jadidi, kutoka kwenye uzi hadi tete-a-tete, seems a bit complecated. Hata hivyo, penye nia pana njia. Tuendelee kulifanyia kazi.

Ni kweli Mkuu,

Hiki ni kibarua kizito, mimi nimechokoza maada tu . . . .
 
My two Cents!
Kwa namna watu(members) walivyo na mitazamo tofauti humu ndani(nadhani inatokana na kuwa wanachama wa vyama tofauti vya siasa!).Huwa inafika mahali panakuwa na kurushiana maneno makali hadi wengine kuwa banned.Sasa je,itawezekana kwa watu hao kuja kuwekwa chini ya mwamvuli mmoja kweli??Na wengine kwa wanayoandika katika thread mbalimbali ni wazi kuwa their TOO LOYAL to certain existing political parties!!Changamoto ni je kweli inawezekana kuwa_detach huko walikoegemea??Au tutawaacha wawe na double-affiliation?
Simply it reminds me of some old tales where lion,hare,leopard,hippo etc used to live and work together happily in the village!!Kwangu mimi wazo la JF kujikita katika media naliona kuwa feasible zaidi.
 
My two Cents!
Kwa namna watu(members) walivyo na mitazamo tofauti humu ndani(nadhani inatokana na kuwa wanachama wa vyama tofauti vya siasa!).Huwa inafika mahali panakuwa na kurushiana maneno makali hadi wengine kuwa banned.Sasa je,itawezekana kwa watu hao kuja kuwekwa chini ya mwamvuli mmoja kweli??Na wengine kwa wanayoandika katika thread mbalimbali ni wazi kuwa their TOO LOYAL to certain existing political parties!!Changamoto ni je kweli inawezekana kuwa_detach huko walikoegemea??Au tutawaacha wawe na double-affiliation?
Simply it reminds me of some old tales where lion,hare,leopard,hippo etc used to live and work together happily in the village!!Kwangu mimi wazo la JF kujikita katika media naliona kuwa feasible zaidi.



Na iwapo kila mtu akiamua kutumia jina lake halisi hapa JF ndipo utapatwa na mshangao wa aina ya watu waliopo humu!!
 
Kama chama cha siasa,ni dhahiri kuwa tutakuwa tunapata criticism&challenges kutoka kwa wafuasi wa vyama vingine na kutoka kwa wasio wafuasi wa chama chochote.Katika mazingira hayo,itabidi kama chama kuwe na mshikamano wa ndani katika kuyakabili hayo.Sasa je,pamoja na vijembe vyote ambavyo members&leaders(to be) wamekuwa wakitupiana itafika siku wakawa na nia moja?Au ndo itakuwa ni suala la "wanamtandao" na wasio "wanamtandao"!!
Naomba nitumie mfano wa members ambao wameamua kutumia majina xao halisi humu ndani eg Zitto,Mnyika na wengineo.Leo hii utakapowapa wazo la kuwa JF inakuwa chama cha siasa hapawezi kujitokeza conflict of interest kweli?
Ni hayo tu kwa sasa...
 
JF kuwa chama cha siasa hiki kitakuwa kiroja cha mwaka.

Mimi nadhani huu ni ukumbi ulio huru kwa watu kutoa maoni yao kwa yale wanayoyaamini. Ndio mahali pekee ambapo yeyote anaweza kukimbilia kutoa habari na kuwa na uhakikika kuwa itapata nafasi ya kusikika na umma wa watanzania. JF imekuwa chimbuko la habari nyingi ambazo baadae zinafanyiwa uchunguzi na kutoka kwenye vyombo mbalimbali vya habari kama magazeti n.k.

Naamini hili jukumu mama la JF ni kubwa kuliko chama cha siasa. Chama cha siasa kina taratibu zake na katiba na uhuru wenye mipaka. Daima humu kuna kila aina ya watu wenye uelewa mbali mbali na wenye kufungamana au kutofungamana na pande mbalimbali! Hao unaodhani kuwa wanaweza kuwa washika dau wa chama unachokiota, wengi wao ni wenye nafasi mbali mbali katika vyama mbali mbali vyenye itikadi zao. Wengine ni wanausalama n.k

Mimi naona ni busara kuiendeleza JF katika jukumu mama la kutoa na kupeana habari, haya mengine yatafanyika na taasisi zinazohusika. Nini kinachokufanya wewe uamini kuwa utakuwa bora kuliko vyama vyote vilivyopo wakati nyote nyie ndio wanachama wa vyama hivyo? itakuwa ni kurukaruka tu kama kuku wa kienyeji! tulioeni kwenye vyama vyenu mvijenge!

Mtoa mada naona kwenye post moja anaonekana kukereka na kitendo cha kutolewa kwenye kinyang´anyiro cha ubunge kwa chadema kama kipimo, huo ndio ulemavu wenyewe. Mkono wako ukishika kinyesi huwezi tu kuukata eti ili usiwe najisi!!

Ni maoni yangu kuwa tofauti na hapo basi ni kuidhoofisha JF kama sio kuiua!
 
Woga ni symptom ya immaturity!

Kama JF itasema tu na haitendi, basi ni simba asiyekuwa na meno, there are no failures but mere experiences...!

Hicho chama hata kikishindwa hakutakuwa na shida mbona ccm, chadema, cuf na nk vimeshindwa? it is possible... or better said, Yes we can!

Hivyo vizee vya ccm vijue watz sio kuku tena!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom