Shukrani mtoa wazo.Na wazo linaweza kuzaa wazo kulingana na response ya wadau.Kwa sababu lengo ni kuelimisha na kumkomboa mwananchi hata wa kule mwakaleli,basi sisi kama wamoja ndani ya jf tunachoweza kufanya na bila kuathiri majina yetu tunayoyatumia ,na bila kuathiri maana ya jf kama chombo cha kupashana habari kwa watz wote ulimwenguni,lakini habari hizi hizi halimfikii na kumwelimisha mlengwa ambaye ni mwananchi wa chini na ambaye ni mpiga kura,basi tupanue wigo wa jf bila kubadili maana yake kama chombo cha kuelimisha jamii tuanzishe magazeti,radio na tv ambazo waajiriwa wake watatumia majina yao na cv zao kama wafanyakazi wengine,na sisi kila mmoja kwa nia moja tutoe mchango wetu katika magazeti hayo,redio hiyo na tv hizo kama mwananchi wa kawaida bila kutumia jina la humu jf.Elimu hiyo itamfikia mwananchi kote nchini maana at least radio na magazeti yanafika kila kona ya nchi.Na tukiendelea kutumia majina yetu ya jf tuweze kuzisaidia hizi media tutakazozianzisha kwa msaada wa kifedha ambao tutalipa kwenye account ya media .kama ni Rev kishoka kalipa ,atabaki kujulikana kama Rev kishoka na msaada wake utazifia media hizo.
Lakini kuwa na chama cha siasa na kuchagua viongozi humu humu wengine hawako tz!na ni nani atakuwa tayari kuexpose jina lake halisi?
Lakini kuwa na chama cha siasa na kuchagua viongozi humu humu wengine hawako tz!na ni nani atakuwa tayari kuexpose jina lake halisi?