JF Kifungo Countdown

JF Kifungo Countdown

Turbo VPN on the air..
Kitambo sana hiyo, sema msi zitaje majina wasije fanya haya
Screenshot_20250906-205931_1.jpg
 
Ya kizimkazi au umesahau Zenji tunaingia kwa passport 😹😹😹

Najuta ss hivi sikujibu vizuri pm nilipotongozwa na diaspora. Si ningekua mambele saa hii dadako..!! 😥😹
😂😂😂😂😂
Usinikumbushee machungu, nilikataa kuzamia upoponi, kuogopwa kuuzwa figo.
Si ningekua Abuja sahivi napiga story na udugu Bob risky.
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂
Usinikumbushee machungu, nilikataa kuzamia upoponi, kuogopwa kuuzwa figo.
Si ningekua Abuja sahivi napiga story na udugu Bob risky.
😂😂😂😂😂😂😂😂
😹😹😹 Kwa yanayoendelea kuna umuhimu wa kukagua Pm, tatizo na nyodo zangu sijui nitaanzaje kujichekesha..!!

Hali mbaya udugu tufanye tutorokee hata kasulu tuzamie Burundi au Kongo tukasikize migoma ya Fally live..!! 😹😹🤣
Then tusepe Pariiii
 
😹😹😹 Kwa yanayoendelea kuna umuhimu wa kukagua Pm, tatizo na nyodo zangu sijui nitaanzaje kujichekesha..!!

Hali mbaya udugu tufanye tutorokee hata kasulu tuzamie Burundi au Kongo tukasikize migoma ya Fally live..!! 😹😹🤣
Then tusepe Pariiii
😂😂😂😂😂😂
Nikisikia Paris, nakumbuka vin, yaan sina mbavu.
Em niache uduguu, 😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂😂
Nikisikia Paris, nakumbuka vin, yaan sina mbavu.
Em niache uduguu, 😂😂😂😂😂
😹😹😹 Vee money angekua na pesa angetusumbua sana humu..!!

Ss hivi katulia kwenye sevanti kota kwa boss km sio yeye aliyesema yupo Pariii 😹😹

Na kinavyopenda kuripoti kitakua kimenywea mods hawapo ofisini..!!
 
Back
Top Bottom