JF Kifungo Countdown

JF Kifungo Countdown

Eeeh karibu mjomba uje ucheze na wajukuu zako..!! 😊😹
Ntakuja nije niwafundishe ule wimbo, pendwa wa kule nyumbani
1. Tazama ramani utaona nchi nzuri
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,
Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,
Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzania
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2.

2. Chemchem ya furaha amani nipe tumaini,
Kila mara niwe kwako nikiburudika,
Nakupenda sana hata nikakusitiri,
Nitalalamika kukuacha Tanzania.
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

3. Nchi yenye azimio lenye tumaini,
Ndiwe peke yako mwanga wa Watanzania,
Ninakuthamini hadharani na moyoni,
Unilinde name nikulinde hata kufa.
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2
 
Ntakuja nije niwafundishe ule wimbo, pendwa wa kule nyumbani
1. Tazama ramani utaona nchi nzuri
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,
Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,
Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzania
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2.

2. Chemchem ya furaha amani nipe tumaini,
Kila mara niwe kwako nikiburudika,
Nakupenda sana hata nikakusitiri,
Nitalalamika kukuacha Tanzania.
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

3. Nchi yenye azimio lenye tumaini,
Ndiwe peke yako mwanga wa Watanzania,
Ninakuthamini hadharani na moyoni,
Unilinde name nikulinde hata kufa.
Majira yetu haya, yangekuwaje sasa
Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2
Ni muda huu wimbo ufanyiwe remix uncle, kuna sehemu wametupiga kwa haya yanayoendelea..!!

Sasa wajukuu zako si wataona unawaletea hadithi za sungura na fisi??😹😹

Hawa wajukuu zako sio km sisi mama zao mjomba ukijamba tunakausha kama hakuna kilichotokea. Lakini hawa wanakwambia babu umejamba ushuzi unanuka vibaya utakuwa umevimbiwa au una infection tumboni kapime amiba..!!
 
Ni muda huu wimbo ufanyiwe remix uncle, kuna sehemu wametupiga kwa haya yanayoendelea..!!

Sasa wajukuu zako si wataona unawaletea hadithi za sungura na fisi??😹😹

Hawa wajukuu zako sio km sisi mama zao mjomba ukijamba tunakausha kama hakuna kilichotokea. Lakini hawa wanakwambia babu umejamba ushuzi unanuka vibaya utakuwa umevimbiwa au una infection tumboni kapime amiba..!!
Nawaombea wakue yes hao ndo wanafaa waje wafanye mapinduzi maana sisi tushafeli, tunaishia kuongea tu chini chini, 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom