Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
jana tulikuwa kanisani kanisa kuu Arusha lutheran,wakati kwaya inaimba nilimwona mtu amekaa benchi la mbele yetu anasoma kitu kwenye simu yake,kutoa macho vizuri kumbe yupo Jamiiforum,kuangalia upande wangu wa kulia nikamwona mwingine naye yupo jamiiforum,kuangalia nyuma yangu nikamwona mwingine tena,,hehehe nilishangaa nikajiuliza Jf inatupeleka wapi???Kazi tunayo!
Wewe ni muongo kwani hata kama ni kujisahau na kufanya mambo siyo kanisani hawawezi wakawa wengi hivyo!