JF ilipotaka kuchukuliwa msukule kisha igeuke zombie

JF ilipotaka kuchukuliwa msukule kisha igeuke zombie

Tawire mganga.....tamba tambati ya sengo ya sese miungu kagone nhong'o.

Haikua kazi rahisi kuurudisha huu msukule, uliochukuliwa na mchawi mkuu wa anga. Angalau siku mbili hizi hali ya msukule imeimarika sio tia maji tia maji tena, anakunywa Uji kwa uzuri tu na anawatambua hadi ndugu zake kama mshana Jr, Da Vinci, baba swalehe Kiranga Demiss Bujibuji Ambiele Kiviele

Tawire baba! Mgonjwa hana zohari tena.
Tawireeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom