pachachiza
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,869
- 2,764
Asante mkuu mshana piga nyanga mpk alietenda awe zombie nae.
Hili jambo najiuliza usiku na mchanaVipi usalama upo
Ni mbinu ya kisayansi inayohusu ufundi wa vifaa hasa vitumiavyo umeme mfano mashine n.k ili kurahisisha kazi za binadamu.Teknolojia ninini?
Ningeendelea kukuuliza sayansi ninini....ila baada ya kuona umezungumzia umeme nimeacha kuendelea kwakuwa umeme ni segment ndogo tu kwenye ulimwengu wa nishati...kuna point muhimu umeziachaNi mbinu ya kisayansi inayohusu ufundi wa vifaa hasa vitumiavyo umeme mfano mashine n.k ili kurahisisha kazi za binadamu.
hahah usisalale mkuu""....hawa watesi wetu " "wana laana ya Mungu "" walaaniwe daimaLeo silali
Ningeendelea kukuuliza sayansi ninini....ila baada ya kuona umezungumzia umeme nimeacha kuendelea kwakuwa umeme ni segment ndogo tu kwenye ulimwengu wa nishati...kuna point muhimu umeziacha
najua unajua ndio maana sijadadavua yote maana we si mtoto wa upili mpaka utembezwe na visoda shingoni.Ningeendelea kukuuliza sayansi ninini....ila baada ya kuona umezungumzia umeme nimeacha kuendelea kwakuwa umeme ni segment ndogo tu kwenye ulimwengu wa nishati...kuna point muhimu umeziacha
Heshima yako mkuuTeknolojia ninini?
KabisaaNawaza mshana ningekuona wapi ebu weka namba ya sm hapa ili tukipotea tena tuwasiliane