JF Houseparty

JF Houseparty

Alafu kanishangaza sana eti kiingilio laki tano hivi bro unaejielewa kweli, Nina uzoefu wa kuandaa hafla kibao ukitumia neno Bure una mana kuwa asilimia zote mademu watakao ingia humo sio member wa jf ni wale zoazoa karibu kupangilia mambo kisimi ili kuwatoa watu hofu, Kuna mashaka ata ya usalama pia kiingilio cha Bure una mana hata wale mademu wanywa viroba ruksa sababu I'd za jf ni tofauti na za insta au fb ambapo ingekuwa unawafahamu walengwa, bro hapo usha feli wazo zuri tena zuri sana ila limekosa mipango mizuri na ya kisomii umechukilia kama wahuni bila kujua humu Kuna waheshimiwa, Kuna watu na familia zao, celebrity nk bro panga upya urudi tena, samahan kama nmekukosea bro

😀😀😆😆

Wanywa viroba wakisikia tumekwisha
 
Kama huna mvuto tunaoutaka tutatumia kigezo cha kuingia na 500k

Mawazo ya kuwaona wanawake kama second class kwenye ulimwengu huu hayavutii hasa kwa mtu anayetumia JF.

Hujasoma na wanawake shuleni, vyuoni, huko makazini huoni wanawake wanalipwa mishahara sawa na wanaume tena wengine ni maboss.
Huko barabarani huoni wanawake wanasukuma mipira mikali.

Huoni Rais ni mwanamke, wabunge kibao wanawake.
Alafu useme waingie Bure. Umetumia kigezo gani mkuu?
 
Back
Top Bottom