Hee sitaki hayo mambo yanitokee na kwanini nijiungamanishe na mwakinyo kwenye haya maisha mafupi🤣Rahisi kutamka, utakula za mwakinyo mpk uombe kufunguliwa geti.
Ntakua radar sana.Nakosaje kwa mfano lazima niwepo
Kule regular ndio kwetu, masikini oyeeh🫡Miye Economy ndiyo kunanifaa watu weeeeee, watu oooohhhh
Unaona nina dalili zozote za kukosekana? Lazima niwepo😎Mpya zipo, huwezi kuona vyote dadake!
Njoo njoo kwenye pati ya Kipepe. 😊
Walishasema humu hakuna mabinti kwahiyo wajikaze😁Hapo kwenye swimming pool hapoo.....!🤔
Watoto Idd (wazee wa nyeto) watazua balaa
Kwahiyo hamtaki wazee tuhudhurie?Dah, nilileta Uzi hapa majuzi kua nimekutana na mademu wa bichi wa jf Kwa bahati mbaya sijakutana na Mzee, nikaanza kupigwa vita nilisemwa sana sasa na swali dogo tu mleta mada kama humu wamo wazee tu hao madada wa jf mnao waalika wanatoka wapi ilihali humu ni wazee? Muwe mnatumia akili basi siku Moja moja
Basi tutaenda mamtu, mimi na wewe tutakuwa pamoja, umtoe mzee uchovu😅😅Utajitahidi
Uwiii nilikuwa sijui 😅😅
Kaa nyumbani upumzike!Halafu situmii pombe na Madamu,sasa nafaifika nin
Niunge kwenye praise team yenu hiyo sikuSwala labburudani mniachie, Ntakuja na praise and worship team yangu.
Inapendeza zaidi ianze jioni saa 12 hadi kuchee asubuhi make up za walimbwende zitayeyuka mapemaShughuli itaanza sa4 asubuhi mpaka kucheee siku ya pili
Seran umesajiliwa kikamilifu, utapokea maelekezo kuhusu ratiba na eneo la mazoezi.Niunge kwenye praise team yenu hiyo siku
Mimi nataka nifike nipumzike sitaki hekaheka jamani☺️Umeona umeanza kuruka, kwanini lakini pokea mamlaka mamtu bwana.
Kipepe atanipa pesa☺️Unataka vipya? Kipepe atakuwa na vipya😅😅