JF Houseparty

JF Houseparty

Dah, nilileta Uzi hapa majuzi kua nimekutana na mademu wa bichi wa jf Kwa bahati mbaya sijakutana na Mzee, nikaanza kupigwa vita nilisemwa sana sasa na swali dogo tu mleta mada kama humu wamo wazee tu hao madada wa jf mnao waalika wanatoka wapi ilihali humu ni wazee? Muwe mnatumia akili basi siku Moja moja
Kwahiyo hamtaki wazee tuhudhurie?
 
Back
Top Bottom