JF Houseparty

JF Houseparty

file_000000009b2c8243b9b1494478c6a886.png


#wasomiwanchi
 
Nitakuwa DJ ngoma zote mfanye request mapema..
Pia kama una parody lako,

kama una confession kwa mtu uliyemmendea kwa miaka leta kwangu Nita announce siku hiyoo

Pia wale wenye wanataka special treatment kama kuvishana Pete na kadhalika napokea recomendation
Mapema sana 🔥 🔥 🔥 🔥
 
Kwenye ulimwengu huu ambao kuna wanawake matajiri, wakurugenzi, Marais, mawaziri, na wenye viator.
Huo mtazamo wa wanawake kuingia burebure kumbe bado upo katika akili za Great Thinkers wa JF? Hili linashangaza sana.

Ni kwamba umewadharau?
Au humu wanawake ni maskini sana?
Au wamekaa kizamani kama pombe za jadi au kitu gani?

Kwako muandaa party
 
Kwenye ulimwengu huu ambao kuna wanawake matajiri, wakurugenzi, Marais, mawaziri, na wenye viator.
Huo mtazamo wa wanawake kuingia burebure kumbe bado upo katika akili za Great Thinkers wa JF? Hili linashangaza sana.

Ni kwamba umewadharau?
Au humu wanawake ni maskini sana?
Au wamekaa kizamani kama pombe za jadi au kitu gani?

Kwako muandaa party
Mtazamo wa ki buza buza bwashee, maeneo ya buza na bar za uchochoroni ndio kuna pigo za hivyo
 
Kwenye ulimwengu huu ambao kuna wanawake matajiri, wakurugenzi, Marais, mawaziri, na wenye viator.
Huo mtazamo wa wanawake kuingia burebure kumbe bado upo katika akili za Great Thinkers wa JF? Hili linashangaza sana.

Ni kwamba umewadharau?
Au humu wanawake ni maskini sana?
Au wamekaa kizamani kama pombe za jadi au kitu gani?

Kwako muandaa party
Kama huna mvuto tunaoutaka tutatumia kigezo cha kuingia na 500k
 
Back
Top Bottom