comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,083
- 16,030
- Thread starter
- #261
Yoyote Ile ilimradi uwe mwanajfLabda nitengeneze ID mpya kwanza...
Yoyote Ile ilimradi uwe mwanajfLabda nitengeneze ID mpya kwanza...
Hapana mleta mada KASEMA watakuwepo watoto wazuri kutoka jf, mi nikashituka sasa kama wao wananamin jf ina watoto wazuri mbona walinipinga Mimi wakidai humu ni wazee mi ni muongo.Kwahiyo hamtaki wazee tuhudhurie?
Hawaniwezi kunifanya chochote tawachapa matusi hawato kaa wakanisahahu😀😀😆😆
Wanywa viroba wakisikia tumekwisha
Huenda walitaka wao ndio wawe watoto wazuri lol😀Hapana mleta mada KASEMA watakuwepo watoto wazuri kutoka jf, mi nikashituka sasa kama wao wananamin jf ina watoto wazuri mbona walinipinga Mimi wakidai humu ni wazee mi ni muongo.
Acha kutumia neno wasomi sio wote humu ni wasomi kijana mbona unakurupuka una Nini lakini au umepanga Nini? TUMIA neno members wa jf, poa kabisa neno wasomi ni la kibaguziKuna Costa mbili zitaleta maua kutoka Manyara,Singida na Kondoa, ili #wasomiwanchi wapate burudani ya kutosha
Ebhanaeeeeh 🤣🫵Huenda walitaka wao ndio wawe watoto wazuri lol😀
Naona umepanicAcha kutumia neno wasomi sio wote humu ni wasomi kijana mbona unakurupuka una Nini lakini au umepanga Nini? TUMIA neno members wa jf, poa kabisa neno wasomi ni la kibaguzi
Fight night millionaire, hii movie ilichezwa kutoka na tukio km hilo japo sio kwa asilimia 100,Naanda hili tukio, kabla mwaka haujaisha lazima tulifanye.
LOCATION itakua dar.
Kiingilio kwa wanawake itakua free, cha msingi uwe njema, wanaume kiingilio Bure ila cha msingi usikose 500k ya KUINGIA nayo ndani, (TUTAKAGUA KAMA UNAYO KABLA YA KUINGIA KWA AJILI YA KUTUMIA NA WAREMBO)
KWA WAREMBO WA JF KIINGILIO NI MVUTO WAKO, USAFIRI,KULA KUNYWA, JUU YETU SISI WAANDAAJI.
View attachment 3647799
Tutangalia tunasaidiana vipi kwa wadauMkuu kwahiyo sisi makapuku hiyo party haituhusu maana hiyo hela uliyosema mtakagua wengine tunaisikia tu hatujawahi kuishika
Za kumwaga
Skanka Zitakuwepo Za Kushanto..??
Au Ndio Tuandae Kabisa Stoku...
Za kumwaga
Pimbi na lodilofa watakuwepo, wale ma bon-town. We utakuja na ile gari yako. Ma GenZ sijui kama wanamjua lodilofa!Vibaya mno
Hiyo siku tutakula sana rahaPimbi na lodilofa watakuwepo, wale ma bon-town. We utakuja na ile gari yako. Ma GenZ sijui kama wanamjua lodilofa!
Ndogo?Kiingilio 500,000/ 😁
Hahahaaaaa🤣🫵🫵 kaka hivi unalalia kweli , mana house party Isha kurusha roho, hahaaaa 🤣Naona umepanic