ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,555
- 39,209
Haya sawa niweke kwenye list✔️Vyakula vya viwango, vinywaji, kikubwa utakutana na wandewa wa mji connection nnje nje
Haya sawa niweke kwenye list✔️Vyakula vya viwango, vinywaji, kikubwa utakutana na wandewa wa mji connection nnje nje
Hatari sana 🤣🤣🤣Asubuhi yake watakuta utelezi tuu hapo na vipande vya sabuni!
Sawa tajiriCount me in ila ntalipia kiingilio
Alafu kanishangaza sana eti kiingilio laki tano hivi bro unaejielewa kweli, Nina uzoefu wa kuandaa hafla kibao ukitumia neno Bure una mana kuwa asilimia zote mademu watakao ingia humo sio member wa jf ni wale zoazoa karibu kupangilia mambo kisimi ili kuwatoa watu hofu, Kuna mashaka ata ya usalama pia kiingilio cha Bure una mana hata wale mademu wanywa viroba ruksa sababu I'd za jf ni tofauti na za insta au fb ambapo ingekuwa unawafahamu walengwa, bro hapo usha feli wazo zuri tena zuri sana ila limekosa mipango mizuri na ya kisomii umechukilia kama wahuni bila kujua humu Kuna waheshimiwa, Kuna watu na familia zao, celebrity nk bro panga upya urudi tena, samahan kama nmekukosea broKwenye ulimwengu huu ambao kuna wanawake matajiri, wakurugenzi, Marais, mawaziri, na wenye viator.
Huo mtazamo wa wanawake kuingia burebure kumbe bado upo katika akili za Great Thinkers wa JF? Hili linashangaza sana.
Ni kwamba umewadharau?
Au humu wanawake ni maskini sana?
Au wamekaa kizamani kama pombe za jadi au kitu gani?
Kwako muandaa party
Hiyo ni nmna Yako ya kuandaa umeisema wewe, sisi tuna ya kwetu, kiufupi umekua msemaji wa waaandaji wakati hujui kinachoendeleaAlafu kanishangaza sana eti kiingilio laki tano hivi bro unaejielewa kweli, Nina uzoefu wa kuandaa hafla kibao ukitumia neno Bure una mana kuwa asilimia zote mademu watakao ingia humo sio member wa jf ni wale zoazoa karibu kupangilia mambo kisimi ili kuwatoa watu hofu, Kuna mashaka ata ya usalama pia kiingilio cha Bure una mana hata wale mademu wanywa viroba ruksa sababu I'd za jf ni tofauti na za insta au fb ambapo ingekuwa unawafahamu walengwa, bro hapo usha feli wazo zuri tena zuri sana ila limekosa mipango mizuri na ya kisomii umechukilia kama wahuni bila kujua humu Kuna waheshimiwa, Kuna watu na familia zao, celebrity nk bro panga upya urudi tena, samahan kama nmekukosea bro
Tafuta jina lingine sasa, ukisha TUMIA neno house party ndo hii tunayo jua kua lazima kulombana free, na mambo mengine, kama una mfumo mwingine badili Hilo jina house partyYetu itakua ya kiofsa, siunajua tena jf mtandao wa wasomi
Hii inaitwa hivyo, nawewe utaandaa Yako utaipa Majina unayoyatakaTafuta jina lingine sasa, ukisha TUMIA neno house party ndo hii tunayo jua kua lazima kulombana free, na mambo mengine, kama una mfumo mwingine badili Hilo jina house party
Wapi nimejitambulisha kuwa msemaji? Umelet. Humu tuchangie mada nachangia unaanza visababu, unge ni fafanulia shida inge toka wapi mkuu? mi ni star mkubwa hapa bongo unaposema watu waingie Bure nime ogopa kaka, hakutakia na usalama na mpangilioHiyo ni nmna Yako ya kuandaa umeisema wewe, sisi tuna ya kwetu, kiufupi umekua msemaji wa waaandaji wakati hujui kinachoendelea
😂😂😂😂 Hata Mimi ni WAZIRI wa wizara nyeti hapa nchini, unaweza kua yoyote nyuma ya keyboardmi ni star mkubwa hapa bongo
Mbona kama umemaindi kaka, si tunaeleweshana tu, alafu Huwa unaponda sana viongoz, we mwenyewe hutaki kukosolewa, ila unataka wao wakubali kukosolewaHii inaitwa hivyo, nawewe utaandaa Yako utaipa Majina unayoyataka
Duh, sasa mbona hii hafla nishaichukia mapema sana, mambo ya kumuelewesha mtu una paniki, Nini sasa😂😂😂😂 Hata Mimi ni WAZIRI wa wizara nyeti hapa nchini, unaweza kua yoyote nyuma ya keyboard
Wewe usije km umeichukiaDuh, sasa mbona hii hafla nishaichukia mapema sana, mambo ya kumuelewesha mtu una paniki, Nini sasa
Umemaliza, usha ni kata stimu mkuu, maandalizi mema kaka🙏🙏🙏 nimeuliza Kwa wema nimejibiwa Kwa SHARI yote kheri mkuuWewe usije km umeichukia
uje kudinywaCount me in ila ntalipia kiingilio
Lamomy ,Binti wa zamani ,cocastic ,Aaliyyah ,Khantwe Madame B,Dr. Mariposa mh, sipati picha baada ya wine kuchanganya...............Weka tarehe niweke kwenye ratiba. nitakuwepo
UtajitahidiHayo mambo nianzie uzeeni si itakuwa aibu hii😅
Uwiii nilikuwa sijui 😅😅Unajua huko wanawekana live lakini?😅😅