JF Freestyle battle special thread

nha! nha! u said nipo shallow, but we upo slow,na kwenye gemu bado una still grow, kiakili bado upo narrow kama kiuno cha mrembo, kijana unaishi bila malengo, njoo kwangu nikupe mafunzo, kimtindo, me nakula bingo, we utabaki hivyohivyohapa unadeal na kichwa next level, mwabaluhi, kwa maudhi, nakuudhi, ME NDO KING, WE NDO Wangu mfuasi njoo tena!

Hahahahaha sauti ya kicheko,
Eti nawe next levo, ebooo!
Arachuga wameishiwa hadi gucci uwemo?
Tupa mic huna vigezo,
Wee si mc wa demo?
Freestyle zako dirt zataka omo,
Hapa michano no kikomo,
Natisha zaidi ya wana sumo,
Be tha man nipe mkono,
Ama just kiri kwa mdomo,
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Yo yo! Pass da mic kachaa MWABULAHI,
kwa vina tata umenifanya NIFURAHI/kwa PM soon mwana NTAKUSABAHI/Kwa Joint hii "sharoGUCC" twamnyonga kwa TAI /si n legend km ndege we kunguru si TAI/twakubonyeze kzenji km nahodha vwai, hizi ni pure FACT than Pure MATH/ na spit sense frm da Brain thru da MOUTH/ AM doubt hata GS hutopata PASS/ Kwa mistar Mbuzi kamwe hutonipunguza KASI...

Niaje Dj!! Dah Umeme umekatika! Nipige akapela? Ha ha ha ha
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Yo yo! Pass da mic kachaa MWABULAHI, kwa vina tata umenifanya NIFURAHI/kwa PM soon mwana NTAKUSABAHI/Kwa Joint hii "sharoGUCC" twamnyonga kwa TAI /si n legend km ndege we kunguru si TAI/twakubonyeze kzenji km nahodha vwai, hizi ni pure FACT than Pure MATH/ na spit sense frm da Brain thru da MOUTH/ AM doubt hata GS hutopata PASS/ Kwa mistar Mbuzi kamwe hutonipunguza KASI...Niaje Dj!! Dah Umeme umekatika! Nipige akapela? Ha ha ha ha
ah! Eshacky kama hapo ndo umejiona umechana, kijana unajidanganya, na ulitambui unalo lifanya, coz u r still younger,mm ndio runner, na ninajua unazkubali zangu stanza, I wonder why mnaniita sharobaro, wakati cjawahi hata kuvaa urembo, Dogo naona unatajataja Pure Maths, while ume'score F ya Mathematics, Am the dynamics na statics kama kwa physics, u beta keep quate, sabab naona unamake noisy...
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Hahahahaha sauti ya kicheko,Eti nawe next levo, ebooo!Arachuga wameishiwa hadi gucci uwemo?Tupa mic huna vigezo,Wee si mc wa demo?Freestyle zako dirt zataka omo,Hapa michano no kikomo,Natisha zaidi ya wana sumo,Be tha man nipe mkono,Ama just kiri kwa mdomo,
kweli mwabaluhi we ni hamnazo, mtoto swaggaless , thats why unaishi kwa Sadness, bila ya happiness, yaan hata ukinidis, mbona tu ni peace, eti mistari bila kikomo, bwana mdogo acha uongo, tangu lini Pat akawa MC wa demo? Mm ni MC origino, jiheshimu ntaku2pia kipondo...
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Dogo zingatia masomo
acha ukalumekenge,
Unaonekana unashoboea ndumu,
Acha kuvuta ndumu watakubonyeza,
Life bila elimu lazima wakuoe,
Mtoto mdogo machepele kazi kutega shule
JF ni kwa greta thinker si kwa wavuta unga
Shauri yako dogo, zingatia masomo usijeuza t.a.k.o
 
Dogo zingatia masomoacha ukalumekenge,Unaonekana unashoboea ndumu,Acha kuvuta ndumu watakubonyeza,Life bila elimu lazima wakuoe,Mtoto mdogo machepele kazi kutega shuleJF ni kwa greta thinker si kwa wavuta ungaShauri yako dogo, zingatia masomo usijeuza t.a.k.o
...na ww angalia ucjevulia suruali, ukavishwa sketi, Coz am stil under eightteen, lugha ya matusi kwangu haina nafac, Michano sio matusi, sasa jua kama ulikua hujui, nakubali men JF ni kwa great thinkers, lakin we chali angu ni less thinker, kwenye gem naku'sink'isha bila ya kuku'float'isha, kama una cha kuchana, ni heri mbele yangu ukanipisha, mm ndo NINAETISHA!
 
Ninawashauri muwache malumbano,
Matukano, bado nchi iko chini mno.
Jazeni mistari, stanza na vina vinono,
Tuwaseme, tuwaimbe kwa maneno
Tuwambie wamefika mbali mno

Toweni mawazo, sio mchezo
Tuna vingapi vikwazo?
Wala rushwa mzo mzo.
Huduma uozo, ajira kupata mizozo.

Barabara hatuzipiti,
Shuleni hakuna meza wala viti
Matibabu hatupati.
Tumesoma kukusanya vyeti


JK, Nape, Pengo, Makinda
Wanatwambia tukaze mikanda
Ijapokuwa tayari tumekonda.
Lakini tupigane, tutashinda.

Dei waka wanatukwaza,
Wanatufanya vilaza
Wao matumbo wamejaza.
Sisi tunalala njaa, ndani ya giza

Dhahabu, gesi, almasi
Wanachota bila wasiwasi
Wanaiba kadamnasi.
Sasa tuwambie basi.
.............................
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Ninawashauri muwache malumbano,Matukano, bado nchi iko chini mno.Jazeni mistari, stanza na vina vinono,Tuwaseme, tuwaimbe kwa manenoTuwambie wamefika mbali mnoToweni mawazo, sio mchezoTuna vingapi vikwazo?Wala rushwa mzo mzo.Huduma uozo, ajira kupata mizozo.Barabara hatuzipiti,Shuleni hakuna meza wala vitiMatibabu hatupati.Tumesoma kukusanya vyetiJK, Nape, Pengo, MakindaWanatwambia tukaze mikandaIjapokuwa tayari tumekonda.Lakini tupigane, tutashinda.Dei waka wanatukwaza,Wanatufanya vilazaWao matumbo wamejaza.Sisi tunalala njaa, ndani ya gizaDhahabu, gesi, almasiWanachota bila wasiwasiWanaiba kadamnasi.Sasa tuwambie basi..............................
mammamia, nimekukubalia kwa maneno uliowapatia, hao walikua ni baadhi ya vijana ambao fani wameivamia, hawana nia ya kuijenga Tanzania......
 
Yo yo! Pass da mic kachaa MWABULAHI,
kwa vina tata umenifanya NIFURAHI/kwa PM soon mwana NTAKUSABAHI/Kwa Joint hii "sharoGUCC" twamnyonga kwa TAI /si n legend km ndege we kunguru si TAI/twakubonyeze kzenji km nahodha vwai, hizi ni pure FACT than Pure MATH/ na spit sense frm da Brain thru da MOUTH/ AM doubt hata GS hutopata PASS/ Kwa mistar Mbuzi kamwe hutonipunguza KASI...

Niaje Dj!! Dah Umeme umekatika! Nipige akapela? Ha ha ha ha


Eshacky sisi maguru mikosi,
Dogo Gucci bado tu novice,
Verse zake haziconvince,
Rhyme Contest kwake hot sauce,
Ana cite bila kutoa source,
Kwenye academics hiyo ni case,
Kachoka tumpe eviction notice,
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Eshacky sisi maguru mikosi,Dogo Gucci bado tu novice,Verse zake haziconvince,Rhyme Contest kwake hot sauce,Ana cite bila kutoa source,Kwenye academics hiyo ni case,Kachoka tumpe eviction notice,
ngoja niku-convert, kutoka kwa wabana pua hadi kuwa Hiphop artist, na hizi ndio facts, zenye positive impacts, i wanna make u to be my product, kama vp chukua my contact, mm nawafunika the rest, coz am the bestest, niko juu zaidi ya crest, nahapa hakuna kurest, FOREvER PAT AM THE FIRST but you, you are the LAST!
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
ngoja niku-convert, kutoka kwa wabana pua hadi kuwa Hiphop artist, na hizi ndio facts, zenye positive impacts, i wanna make u to be my product, kama vp chukua my contact, mm nawafunika the rest, coz am the bestest, niko juu zaidi ya crest, nahapa hakuna kurest, FOREvER PAT AM THE FIRST but you, you are the LAST!
Mwone kijana mapepe na mistari ya chekechea....sio tu haina maana bali hata vina vimepelea...lugha yenyewe ya kumendea...alafu unajifanya kimelea!Rudi darasani ukasome fizikia..usije feli ukaumia...rudi hapa siku umetulia na kipaji umejifunza maana huna asilia!
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Mwone kijana mapepe na mistari ya chekechea....sio tu haina maana bali hata vina vimepelea...lugha yenyewe ya kumendea...alafu unajifanya kimelea!Rudi darasani ukasome fizikia..usije feli ukaumia...rudi hapa siku umetulia na kipaji umejifunza maana huna asilia!

Lizzy naomba mic!

mimi ndio wa ukweli
a.k.a wa mazali
wapi mwanangu nguliiiiiiiiiii
mzee wa majabali

one, two, one two.
wangapi mko kamili
niwakamatishe dili , baharia ninachilll
silete za kiswahili, weweeeee unabwenga na soksi ,mguuni kanda mbili....

niko gado mwanajeshi ah ah ah!
acheni za kizushiiiiii, mzeee wa matapishii
mchizi nimekwatuka
niko bomba, unastuka?
mashabiki nimedakaaaa, mahaterz wamesambaratikaaaa!

mjengoni nimetinga iyoooo! verse ziko mwake mwake
msilete za machinga kama bingwa mic daka
kama wewe wa kiduku fasta timua kakaaa

acheni niuwe soo ninatisha hewaniii
aha aha ahaaaaa, msiige si utani, hili jeshi la porini
kama toto la mezani, vua jezi mjengoni
hatutumiii mtoto jikoooooniiiiii.

jibaba nguli wape chorus, tuwanyongeeee!
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Lizzy naomba mic!mimi ndio wa ukwelia.k.a wa mazaliwapi mwanangu nguliiiiiiiiiiimzee wa majabalione, two, one two. wangapi mko kamiliniwakamatishe dili , baharia ninachilllsilete za kiswahili, weweeeee unabwenga na soksi ,mguuni kanda mbili....niko gado mwanajeshi ah ah ah! acheni za kizushiiiiii, mzeee wa matapishiimchizi nimekwatukaniko bomba, unastuka?mashabiki nimedakaaaa, mahaterz wamesambaratikaaaa!mjengoni nimetinga iyoooo! verse ziko mwake mwakemsilete za machinga kama bingwa mic dakakama wewe wa kiduku fasta timua kakaaaacheni niuwe soo ninatisha hewaniiiaha aha ahaaaaa, msiige si utani, hili jeshi la porinikama toto la mezani, vua jezi mjengonihatutumiii mtoto jikoooooniiiiii.jibaba nguli wape chorus, tuwanyongeeee!
Klorokwini umefulia kama dodoki la kuogea..Unajifanya unajua eti vina umevumbua kumbe huna jipya kijana fani unavamia...mic unalilia...kilemba umetupia uonekane wa hapahapa kumbe mtaani ulishakimbia.Kama masharobaro walojaa mjini Dah Si Lamu...kazi kujifagilia na kumaliza wino wa kalamu...
 
Klorokwini umefulia kama dodoki la kuogea..Unajifanya unajua eti vina umevumbua kumbe huna jipya kijana fani unavamia...mic unalilia...kilemba umetupia uonekane wa hapahapa kumbe mtaani ulishakimbia.Kama masharobaro walojaa mjini Dah Si Lamu...kazi kujifagilia na kumaliza wino wa kalamu...
Lizzy, kumbe u dnt know how to do it, and this iz how we do it, mistari yako imekonda, so sina budi kuiponda, samahan kama nakutonesha kidonda, kweny HipHop me ni founder, kwanza hapa jilete, kwenye game nikufunde, uliukirudi kitaa kwenu udunde, Mimi ndo MC mtata matata, ambae cjawahi soma xul ya kata, nikilianzisha huna budi kunifuta, kwanza ww bado mshamba, ni bora urudi za shamba, ukalime karanga...
 
Klorokwini umefulia kama dodoki la kuogea..Unajifanya unajua eti vina umevumbua kumbe huna jipya kijana fani unavamia...mic unalilia...kilemba umetupia uonekane wa hapahapa kumbe mtaani ulishakimbia.Kama masharobaro walojaa mjini Dah Si Lamu...kazi kujifagilia na kumaliza wino wa kalamu...

heheheeeeeeeeeeee watakuchekaaa wee, watakubamizaaa

mjomba ninapettaaaa, ninasakataa , ninapakataaa weweee
anga zangu si ubungooo! nina seat holiwood
tulia dogo utajutaaa leo niko kwenye mooodiii
baharia bling bling ! unataka kunicatchhh? utaweza queueee? hapa sio Mr blueee
si unanicheki ninaswing swing! u dont even have a clueee!
dogo utauwawa bureee, nitakutupa kuleeee! mashabiki ninaomba hureeee

u wanna catch ma next album? gotta book it now
demand iz high, everybody say wooooooow
if u wanna squeeze a milk u better have a cow
still wanna flow? u better surrender b4 i release the bow.
thats me baby! jump in n lemme show u how
 
nilikuwa sijaifungua hii
nitarudi bdae kuwapa hi
kwani mida hii nipo hai
1,2 mic cheki,jani sio chai
afro d ndio miss
jf fj jf one mic, one mic.
oyoo ,namwaga nyuki kama rev masa
lazima muwe na hamasa
nipo kwenye kamati ya wamasa
jf fj jf one mic, one mic
nikisema paw,paw paw
ujue mtu ashakula ban
 
Lizzy naomba mic!

mimi ndio wa ukweli
a.k.a wa mazali
wapi mwanangu nguliiiiiiiiiii
mzee wa majabali

one, two, one two.
wangapi mko kamili
niwakamatishe dili , baharia ninachilll
silete za kiswahili, weweeeee unabwenga na soksi ,mguuni kanda mbili....

niko gado mwanajeshi ah ah ah!
acheni za kizushiiiiii, mzeee wa matapishii
mchizi nimekwatuka
niko bomba, unastuka?
mashabiki nimedakaaaa, mahaterz wamesambaratikaaaa!

mjengoni nimetinga iyoooo! verse ziko mwake mwake
msilete za machinga kama bingwa mic daka
kama wewe wa kiduku fasta timua kakaaa

acheni niuwe soo ninatisha hewaniii
aha aha ahaaaaa, msiige si utani, hili jeshi la porini
kama toto la mezani, vua jezi mjengoni
hatutumiii mtoto jikoooooniiiiii.

jibaba nguli wape chorus, tuwanyongeeee!

heheheeeeeeeeeeee watakuchekaaa wee, watakubamizaaa

mjomba ninapettaaaa, ninasakataa , ninapakataaa weweee
anga zangu si ubungooo! nina seat holiwood
tulia dogo utajutaaa leo niko kwenye mooodiii
baharia bling bling ! unataka kunicatchhh? utaweza queueee? hapa sio Mr blueee
si unanicheki ninaswing swing! u dont even have a clueee!
dogo utauwawa bureee, nitakutupa kuleeee! mashabiki ninaomba hureeee

u wanna catch ma next album? gotta book it now
demand iz high, everybody say wooooooow
if u wanna squeeze a milk u better have a cow
still wanna flow? u better surrender b4 i release the bow.
thats me baby! jump in n lemme show u how
we jamaa ni mkali
majani yuko wapi?
 
Lizzy naomba mic!mimi ndio wa ukwelia.k.a wa mazaliwapi mwanangu nguliiiiiiiiiiimzee wa majabalione, two, one two. wangapi mko kamiliniwakamatishe dili , baharia ninachilllsilete za kiswahili, weweeeee unabwenga na soksi ,mguuni kanda mbili....niko gado mwanajeshi ah ah ah! acheni za kizushiiiiii, mzeee wa matapishiimchizi nimekwatukaniko bomba, unastuka?mashabiki nimedakaaaa, mahaterz wamesambaratikaaaa!mjengoni nimetinga iyoooo! verse ziko mwake mwakemsilete za machinga kama bingwa mic dakakama wewe wa kiduku fasta timua kakaaaacheni niuwe soo ninatisha hewaniiiaha aha ahaaaaa, msiige si utani, hili jeshi la porinikama toto la mezani, vua jezi mjengonihatutumiii mtoto jikoooooniiiiii.jibaba nguli wape chorus, tuwanyongeeee!
klorokwini hii game kamwe huwezi wini, ndo maana Aspirin, kashindwa himili, nakuchana mpaka unamlilia jibaba Nguli, akutoe from janga hili, ukitaka fika level hizi, ni lazma ukaze msuli, vinginevyo ntakuchinjia baharini, kwenye Game we ndo kwanza bado mtoto, so dont play with Pat The mtema moto, kunishinda mm ni ndoto,cheki unatiririka vijotro,this iz just intro, full michano ipo kwa jiko...
 
Back
Top Bottom