JF Freestyle battle special thread

JF Freestyle battle special thread

Lizzy, kumbe u dnt know how to do it, and this iz how we do it, mistari yako imekonda, so sina budi kuiponda, samahan kama nakutonesha kidonda, kweny HipHop me ni founder, kwanza hapa jilete, kwenye game nikufunde, uliukirudi kitaa kwenu udunde, Mimi ndo MC mtata matata, ambae cjawahi soma xul ya kata, nikilianzisha huna budi kunifuta, kwanza ww bado mshamba, ni bora urudi za shamba, ukalime karanga...
Awwww....Kusema mistari yangu imekonda ni kama vile unajiponda ..maana yangu inaubora ambao yako haina imedorora...imelala imesinzia hata kibaka hawezi pora.Kwanza wewe ni kilaza na garasha utalamba kwa kukaa home umejitanda kama mtoto wa kitanga...ushamba..unamba cheo nakutunukia.Ulianza na JF darasani kupitia mpaka mwalimu akagundua ukaja hapa unalia ..bimkubwa vipi atatulia huna hata namna ya kumshawishi ticha mpaka akapotezea.Mtoto wa mama nakwita ...au labda mshamba wa kitaa kila saa unang‘aa badala ya kupambana uwe shujaa...kwa sifa za kijinga umepumbaa eti mi sio wakata chamaa....Khaaa usishangae nashangaa unavyojiona unapaa bila hata ya chapaa maana umezoea kila saa kuomba mkwanja kwa mamaa
 
nilikuwa sijaifungua hii
nitarudi bdae kuwapa hi
kwani mida hii nipo hai
1,2 mic cheki,jani sio chai
afro d ndio miss
jf fj jf one mic, one mic.
oyoo ,namwaga nyuki kama rev masa
lazima muwe na hamasa
nipo kwenye kamati ya wamasa
jf fj jf one mic, one mic
nikisema paw,paw paw
ujue mtu ashakula ban
jibaba imetulia iyooo
kamanda nakuaminiaaa, majani sio biaaa......... aisee!!
tunafumuka midnaiti
mfukoni tuko tight
Lizzy ametoa sait
ameloose kwenye fight

mzembe niko hewaniiii
nina taito zamaniiii
enzi za marijaniiii
mi napeta unyamweziniiii

ha ah ha ah kulalalalekiiiii!
karanga sio kekii
mwanangu zungusha dekii
mchovu nashika chakiii
nabukusha wanafikiiii

naomba makooofi! naombaa noiziii
natambaaa na machizi
pembeni ni fulu manziiii
kama hauna zoeziiiiii
sikatize anga iziiii, tutakukwenziiii
hapa ni extra saiziiiii
namba tisa kwenye jeziii
mzembe sikompromaizii

daka mic jibaba ivuga
 
jibaba imetulia iyoookamanda nakuaminiaaa, majani sio biaaa......... aisee!!tunafumuka midnaitimfukoni tuko tightLizzy ametoa saitameloose kwenye fightmzembe niko hewaniiiinina taito zamaniiiienzi za marijaniiiimi napeta unyamweziniiiiha ah ha ah kulalalalekiiiii!karanga sio kekiimwanangu zungusha dekiimchovu nashika chakiiinabukusha wanafikiiiinaomba makooofi! naombaa noiziiinatambaaa na machizipembeni ni fulu manziiiikama hauna zoeziiiiiisikatize anga iziiii, tutakukwenziiiihapa ni extra saiziiiiinamba tisa kwenye jeziiimzembe sikompromaiziidaka mic jibaba ivuga
Mwone...mwone anavyong‘ang‘ania micWakati unajua hatudanganyiki...Kwa mistari ya ajabu haki hatununulikiEti usogezewe deki wakati nyumba hujapiga deki..Kisa tu uonekane nawe mwanaume kwa walio nje ya hilo geti..Kijana rudi ndani fasta ukaongee na maza Akupe ruhusa ya kutoka kabla nje ajakulaza..Alafu njoo kwetu nikutoe ulimbukeni...Vipi mtoto wa kiume kiuoni umebana cheni..
 
klorokwini hii game kamwe huwezi wini, ndo maana Aspirin, kashindwa himili, nakuchana mpaka unamlilia jibaba Nguli, akutoe from janga hili, ukitaka fika level hizi, ni lazma ukaze msuli, vinginevyo ntakuchinjia baharini, kwenye Game we ndo kwanza bado mtoto, so dont play with Pat The mtema moto, kunishinda mm ni ndoto,cheki unatiririka vijotro,this iz just intro, full michano ipo kwa jiko...

Pat heheh don lemme flow more!

naleta za getto unaleta za kwayaa
am sorry to say umefuliaaa,
ngazi achiyaaa
niko chimbo napasukaaa, machizi wamestukaa, verse zako zinanukaa
uko zaidi kirusha rohooo!
nipo zaidi kifloo,
si unanicheck kwenye kiooo
nyota tano begani,
msela niko makiiini,
award fulll kabatiniii

heheheeh whats ur name again? never heard it in the game
u gonna loose this battle, and am out of blame
can u handle this?, prepare 4 the shame

imekutouch?
usimaindiii, nikiuwa namaliza bendiii
fani yako kilimo cha mahindiii,
kama sio nyimbo za kihindiii
a.k.a mimi fundiiiii ,
nikitambaa na hizi saundiii

kamata mic! songa twende jibaba
 
Awwww....Kusema mistari yangu imekonda ni kama vile unajiponda ..maana yangu inaubora ambao yako haina imedorora...imelala imesinzia hata kibaka hawezi pora.Kwanza wewe ni kilaza na garasha utalamba kwa kukaa home umejitanda kama mtoto wa kitanga...ushamba..unamba cheo nakutunukia.Ulianza na JF darasani kupitia mpaka mwalimu akagundua ukaja hapa unalia ..bimkubwa vipi atatulia huna hata namna ya kumshawishi ticha mpaka akapotezea.Mtoto wa mama nakwita ...au labda mshamba wa kitaa kila saa unang'aa badala ya kupambana uwe shujaa...kwa sifa za kijinga umepumbaa eti mi sio wakata chamaa....Khaaa usishangae nashangaa unavyojiona unapaa bila hata ya chapaa maana umezoea kila saa kuomba mkwanja kwa mamaa
Lizzy let give you ukweli, nanijua lazma ubaki bubu, hapa ni thread ya wanaHipHopu, na sio waambaji taarabu, Mtoto wa kiume nakupa tabu, ona huna hamu, unatamani 2mia ndumu, hapa ndumu zimepigwa marufuku, yeah its true ntazidi kung'aa coz nyie wengine tayari mshachakaa, pande hizi ha2taki watu laini, so jiangalie ucje ukapigwa faini, me ndo The Gangsta, ninae shine zaid ya starz, ww kama huna kazi, ni bora ukauze maandazi, sabab hizi ni anga za wakali, tusijenge bifu, kisa nimekufanya ujione na mapungufu, Ntazidi kusimama maradufu kwa kusaka umaarufu....
 
Mwone...mwone anavyong‘ang‘ania micWakati unajua hatudanganyiki...Kwa mistari ya ajabu haki hatununulikiEti usogezewe deki wakati nyumba hujapiga deki..Kisa tu uonekane nawe mwanaume kwa walio nje ya hilo geti..Kijana rudi ndani fasta ukaongee na maza Akupe ruhusa ya kutoka kabla nje ajakulaza..Alafu njoo kwetu nikutoe ulimbukeni...Vipi mtoto wa kiume kiuoni umebana cheni..

unabeep!

mimi ndio wa ukweliii
idara ziko kamiliii
unataka kutest zaliii, tinga getto usijaliii
level yangu niko bill gate
achana na wasanii fakeee
njoo mtoto nikulisheee cakeee, utawezaaa? utaimezaaa?

niko sita za mchanaaa
five star najichanaaa
mfukoni nimeshonaaa, si unanionaaa?

katiza kitaaa nikung'arishe
full pamba nikutwishee
mtoto nikumechisheee
wazembe uwatetemesheee, unabishaaa?
utakufa njaa, watakuhadaa! tunaelewa unaishi nyumba haina paa!

hehehehehe kamata mic kama unaelewa inashikwaje! adhawaizi toa saiti
 
jibaba imetulia iyooo
kamanda nakuaminiaaa, majani sio biaaa......... aisee!!
tunafumuka midnaiti
mfukoni tuko tight
Lizzy ametoa sait
ameloose kwenye fight

mzembe niko hewaniiii
nina taito zamaniiii
enzi za marijaniiii
mi napeta unyamweziniiii

ha ah ha ah kulalalalekiiiii!
karanga sio kekii
mwanangu zungusha dekii
mchovu nashika chakiii
nabukusha wanafikiiii

naomba makooofi! naombaa noiziii
natambaaa na machizi
pembeni ni fulu manziiii
kama hauna zoeziiiiii
sikatize anga iziiii, tutakukwenziiii
hapa ni extra saiziiiii
namba tisa kwenye jeziii
mzembe sikompromaizii

daka mic jibaba ivuga
yo, yeaah ,yo, one two one two
dah, hawa tanesco vipi tena
naona washafanya mambo
i wll be bck
 
Lizzy let give you ukweli, nanijua lazma ubaki bubu, hapa ni thread ya wanaHipHopu, na sio waambaji taarabu, Mtoto wa kiume nakupa tabu, ona huna hamu, unatamani 2mia ndumu, hapa ndumu zimepigwa marufuku, yeah its true ntazidi kung'aa coz nyie wengine tayari mshachakaa, pande hizi ha2taki watu laini, so jiangalie ucje ukapigwa faini, me ndo The Gangsta, ninae shine zaid ya starz, ww kama huna kazi, ni bora ukauze maandazi, sabab hizi ni anga za wakali, tusijenge bifu, kisa nimekufanya ujione na mapungufu, Ntazidi kusimama maradufu kwa kusaka umaarufu....
Hhahha we unasaka umaarufu...wengine tunasakwa na umaarufu!!Mtoto wa mama laini alafu wajifanya gangsta...kwa mashairi ya mgogoro unalazimisha usupa staa!Hustler wa ukweli haangaikii kung‘aa...yuko busy kusaka chapaa hata sura ikichakaa bado jamii haita mkataa.We fani yako usharobaro kazi kusaka mng‘aro....hata siku huwezi pambana na wana wa mapambano...kwenye mashindano yenye ujazo....hivyo nakupa likizo kama ticha mwanaizo ukatafute mawazo!
 
hehehe kwenye hii sredi unaruhusiwa kuwachana mods? kama inaruhusiwa tuambizane ili tujilipize!
mods msiniban nauliza tu
 
unabeep!mimi ndio wa ukweliiiidara ziko kamiliiiunataka kutest zaliii, tinga getto usijaliiilevel yangu niko bill gateachana na wasanii fakeeenjoo mtoto nikulisheee cakeee, utawezaaa? utaimezaaa? niko sita za mchanaaafive star najichanaaamfukoni nimeshonaaa, si unanionaaa? katiza kitaaa nikung'arishefull pamba nikutwisheemtoto nikumechisheeewazembe uwatetemesheee, unabishaaa?utakufa njaa, watakuhadaa! tunaelewa unaishi nyumba haina paa!hehehehehe kamata mic kama unaelewa inashikwaje! adhawaizi toa saiti
Siwezi beep msela mwenye vocha ya kukopa...wala siwezi ingia sehemu ambayo ntatoka kapa!!Wanidanganya kwa chips kama mi wakuja...hujui hili darasa zaidi ya mtakuja!!Nimechishe niwafiche kwamba mi SI sistaa duu....ulozoea kuwapata kwa kuwapa story za majuu?!Uhh uhh narudia tena hapana....hapa sio saizi yako utaambulia mchanga kiatu ukisoma namba!!Hollaaaaaaaaa...dollaaa ballaa embu niongezee kinanda!
 
Pat heheh don lemme flow more!naleta za getto unaleta za kwayaaam sorry to say umefuliaaa, ngazi achiyaaaniko chimbo napasukaaa, machizi wamestukaa, verse zako zinanukaauko zaidi kirusha rohooo! nipo zaidi kifloo, si unanicheck kwenye kiooonyota tano begani, msela niko makiiini, award fulll kabatiniiiheheheeh whats ur name again? never heard it in the gameu gonna loose this battle, and am out of blamecan u handle this, prepare 4 the shameimekutouch? usimaindiii, nikiuwa namaliza bendiiifani yako kilimo cha mahindiii, kama sio nyimbo za kihindiiia.k.a mimi fundiiiii , nikitambaa na hizi saundiiikamata mic! songa twende jibaba
mm ndo MC nloizoea M.I.C,ncheki navokuja mwendo kasi, nikuacha ukitoa kamasi, huku mdomo ukiwa wazi, ww student na mm ndo wako ticha.....hahaha! Mbona unajificha, ucnigope japo kuwa mm ninatisha, uwepo wangu kwenye Game nakupa motisha, ni mwendo wa kukesha, kukuonesha kuwa kuna MCs wanaojua komesha, Pat, leo si log out, mpaka ni-make sure nimekupiga knockout, next reply nakuja kitofauti, lakini thats isnt my fault, moyo ndo unaforce, nakuona katoto kenye mkosi, na lazma niwashow mi ndo BIG BOSS.....take da mic, kama unaubav!
 
hehehe kwenye hii sredi unaruhusiwa kuwachana mods? kama inaruhusiwa tuambizane ili tujilipize! mods msiniban nauliza tu
Klorokwini acha kubehave ka Queen, ww ni wa kiume mbna ujiamini?sio siri inaonesha mistari yako, niyakukariri, nakuchana laivu japo kuwa me sio JF's mhariri, unaogopa ban? kweli we huwezi ushindani...
 
Siwezi beep msela mwenye vocha ya kukopa...wala siwezi ingia sehemu ambayo ntatoka kapa!!Wanidanganya kwa chips kama mi wakuja...hujui hili darasa zaidi ya mtakuja!!Nimechishe niwafiche kwamba mi SI sistaa duu....ulozoea kuwapata kwa kuwapa story za majuu?!Uhh uhh narudia tena hapana....hapa sio saizi yako utaambulia mchanga kiatu ukisoma namba!!Hollaaaaaaaaa...dollaaa ballaa embu niongezee kinanda!

hehehe umeimprove!

of koz nimekuchengua! unajifanya kudenguaaa!
baby gal acha kunisumbuaa, nitakufyatuaa

nimeweka green light, unasua suaa
masista duu zali kwangu wanalinyatiaa
unaduwaaa unazembeaaa
watakuchekaa?

lemme rub u with ice, zis love iz not tit for tat
take ma words, u wont regret
am commando in bed without a cadet
gonna giv u sweet, gonna be my pet
woooow, cum on gal, bring on the sweat
can we get them wet
guaranteed to be hot
better say it not
weweeeeeeeeeee!

nafunga chapter, nalong for fiesta
tutapiga matuta
tukivuka extra.

will u pop? daka mic
 
mm ndo MC nloizoea M.I.C,ncheki navokuja mwendo kasi, nikuacha ukitoa kamasi, huku mdomo ukiwa wazi, ww student na mm ndo wako ticha.....hahaha! Mbona unajificha, ucnigope japo kuwa mm ninatisha, uwepo wangu kwenye Game nakupa motisha, ni mwendo wa kukesha, kukuonesha kuwa kuna MCs wanaojua komesha, Pat, leo si log out, mpaka ni-make sure nimekupiga knockout, next reply nakuja kitofauti, lakini thats isnt my fault, moyo ndo unaforce, nakuona katoto kenye mkosi, na lazma niwashow mi ndo BIG BOSS.....take da mic, kama unaubav!


kidding me?

uko chini kinoooma, nashindwa kukusomaa
i know nakupa homaa
just try kukomaa
niko bomba kwenye gomaa
gerentii utazima

tulia tukubamizee, tukumalizeee
mistari yako ya kizeee
gado niko usichezeee

tunamwaga za fleva unaleta za pepeta
imekuchotaaa?
limetotaa?
unasotaaa?
achana na mastaa, utakufa njaa
wakuu tuko juu balaa
tunakushangaaa
tunakubutwaa
angalia tutakufutaa.

hehehhee daka mic
 
yo, yeaah ,yo, one two one twodah, hawa tanesco vipi tenanaona washafanya mamboi wll be bck
we dogo, saint ivuga, acha kuvunga, kwenye gem imevunda, na mistari yako ya kuungaunga, utabaki semaga "yeah ya na one two", hujui freestyle jinsi inavyopigwa...
 
Klorokwini acha kubehave ka Queen, ww ni wa kiume mbna ujiamini?sio siri inaonesha mistari yako, niyakukariri, nakuchana laivu japo kuwa me sio JF's mhariri, unaogopa ban? kweli we huwezi ushindani...

tunachangamshaa tu, mbona tuliwachana b4, si ndo maana nakwambia wewe wa juzi kwenye fani, hapa kuna vichaa wananipa upinzani lakini wewe na lizzy mnaimba tarabu tu.
 
hehehe umeimprove!of koz nimekuchengua! unajifanya kudenguaaa! baby gal acha kunisumbuaa, nitakufyatuaanimeweka green light, unasua suaamasista duu zali kwangu wanalinyatiaaunaduwaaa unazembeaaawatakuchekaa?lemme rub u with ice, zis love iz not tit for tattake ma words, u wont regretam commando in bed without a cadetgonna giv u sweet, gonna be my petwoooow, cum on gal, bring on the sweatcan we get them wetguaranteed to be hotbetter say it notweweeeeeeeeeee!nafunga chapter, nalong for fiestatutapiga matutatukivuka extra.will u pop? daka mic
Wanachozengea masista du hakika si hadhi yangu....sumaku yao kazini siwezi ifanya yangu!Hahaaha eti you can make me this and you can make me that...wakati huwezi toa hata mapenzi ya dhati!What i see here is a bwoi and not a man enuff....not a man enuff to take me on and play it rough!So go find yourself a toy that you can play around with...and stay away from me cause i‘m a true gunsmith!
 
we dogo, saint ivuga, acha kuvunga, kwenye gem imevunda, na mistari yako ya kuungaunga, utabaki semaga "yeah ya na one two", hujui freestyle jinsi inavyopigwa...
umeona jinsi nlivoidaka mic? Nimeidaka kidharau, na nikakudharau kama nyang'au, unaanza tamani kucopy zangu swaggz, haha ma meen u can not, especially watu kama nyie ambao hamna noti, mtabaki kuombaomba magetini, kanisani na misikitini, nakufanya u'spend u r cash kwenye internet, then nakuacha bila credit, walett empty na kwenye game nakuexempt, unabaki whats happenin? Nivumilie jombaa, coz nimekuja kukukomba na kukusomba, 2ngekua kwa futbol people zingexema nakupgia kitu cha samba, ninatisha zaidi ya simba na 20% anakwambia mbuzi hawezi pga marimba, ma men punguza kutema pumba, Mic here it iz buddy!GOES TO KLOROKWINI!
 
Wanachozengea masista du hakika si hadhi yangu....sumaku yao kazini siwezi ifanya yangu!Hahaaha eti you can make me this and you can make me that...wakati huwezi toa hata mapenzi ya dhati!What i see here is a bwoi and not a man enuff....not a man enuff to take me on and play it rough!So go find yourself a toy that you can play around with...and stay away from me cause i‘m a true gunsmith!

damn! u nailed me gal!

stop playing hard to get
gimme "what u c is what u get"
i know u like it, but u fake it, and trust me am gonna make it
u wanna bet? stop kidding and b my guest

am flowing foreignwise, will u equalize? cum on gimme buzz!
am a full package, wit a full gauge,
will ya?
will ya drop those garbage?

hold me tight,
i wanna bright ur light
am not gonna make it a cat fight
am gonna do it right, u wanna catch the flight?
jump in,
lets swim it, freak it and make it to the last digit

ooh yeah! count on me!
bring it on baby gal! i wanna hear it rough!
 
umeona jinsi nlivoidaka mic? Nimeidaka kidharau, na nikakudharau kama nyang'au, unaanza tamani kucopy zangu swaggz, haha ma meen u can not, especially watu kama nyie ambao hamna noti, mtabaki kuombaomba magetini, kanisani na misikitini, nakufanya u'spend u r cash kwenye internet, then nakuacha bila credit, walett empty na kwenye game nakuexempt, unabaki whats happenin? Nivumilie jombaa, coz nimekuja kukukomba na kukusomba, 2ngekua kwa futbol people zingexema nakupgia kitu cha samba, ninatisha zaidi ya simba na 20% anakwambia mbuzi hawezi pga marimba, ma men punguza kutema pumba, Mic here it iz buddy!GOES TO KLOROKWINI!

unachoshaaa halaf unaboaa

Cv iko chini, in short uko booom
mabigi tuko mjengoni, mdaku unarap hooom
hehehehe puliiiiiz nigga
hii fani unazuga, infakti unaigaaa
weka gia tukanyage, unauwekaa
silete za chipsi zegee, unabwekaa
acha zogo tukupage, utaumbukaa

uko laini kinomaa, verse ziko half kasti
resign fanya fasta wakuu tukombe kitii
jibaba niko na chata mpaka mashariki ya kati
usiige utadataa, hehe wakilisha chako cheti

umeuwawa! RIP .

daka mic
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom