JF Focus: Interview with Maxence Melo

JF Focus: Interview with Maxence Melo

nawaombea msamaha malaria sugu na faiza foxy(Jf contrevesial iconic figures).Je max yupo tayari kuwafungulia?
Swali la mwisho;Jf iko kwa maslahi ya nani?

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Asante sana. Suala la ban ya members linahusu Moderators zaidi hivo nadhani linaweza kupelekwa tu jukwaa la complains congrats and advices na likajibiwa. Kwa vile sio kila siku tunapata nafasi ya kumuuliza Maxence strategic questions of management and leadership within JF, bora uulize masuali ambayo hatuwezi kupata majibu toka kwa moderators. Kumbuka tuna masuali 10 tu.
Hilo la maslahi ya JF nalifikisha kama lilivo na nadhani litachaguliwa katika masuali kumi ya kumuuliza mkuu Maxence.
 
safi sana ila kiingereza cha nini sasa???aargh

Poleee... Hapa JF tunaruhusiwa kutumia Kingereza, kiswahili na ikiwa ni jukwaa la lugha hata kifaransa kimeruhusiwa lately. Nadhani hakuna kilicho haribika kwa vile message imefika mkuu.
 
Thats a very good thing to do. Congratulations Max and the whole team. Ni kitu cha kufurahisha sana kuona hii social network tuliyoanza nao kitambo imeweza ku stand the test of time and still be THIS STRONG and continue to be stronger.
Nakumbuka palikua na Darhotwire, Young African zote zikiwa zimeanzishwa kabla ya JF lakini ziko wapi!!!??

May I please make the following remark:-

The success of any social network relies on the members, I dare say more than the owner and moderators as significant as there work might be. There are certain key members that, in their unity (an unconsciously formed union it might be) have managed to pull many others and made this the most interesting and exciting forum in EAST AFRICA. I believe the secret to JF success lies in the characters and contributions of many of it's members though I am not trying to demean the extraordinary work done by the moderators in any way.

Having said this, I also believe that the death of JF will also be as a result of it's members as well. This demise will be brought by the following ways:-

1. Having an over crowding of I.D.I.O.T.S. Since it is very unfortunate that we can not filter who is able to join and comment in the forum, we have ended up being bombarded by nincompoops with ignoramus comments. This has discouraged the rate of "intelligent" people joining the forum as compared to THE OTHERS.
Indeed if it wasn't for the likes of ..........(there are many and mentioning a few might discourage the rest 🙂 ) with there intelligent and thought provoking topics, posts,arguments and debates JF would have been HISTORY.

In addition these imbecilic comments and topics have the potential of making the forum appear LESS SERIOUS in the future.
I am sure we have seen people say things like "Imekua kama FB sasa" au "embu mwone huyu anafikiri hapa FB", hii yote inaonyesha ni upande gani JF inataka kuangukia.
Max, I wasn't there with you when you decided to start this network, neither can I claim an ounce of credit or direct contribution to this great achievement of yours, but what I can dare say is that I have an inclination of what I believe you had in mind when starting this, (How presumptious eh!!!) or at least what I would like to see in JF.

Now, if you, like me, believe that we have the above narrated threat be kind enough to consider my proposal. Can we give more key members in particular forums the ability to VOTE for or against the posting of a particular topic or post. i.e. instead of this matter being left solely to the moderators, certain members can be given VOTING POWER and a members credit or discredit for that matter can be achieved by the number of meaningful comments and topics he/she has contributed in certain forums.
This involvement of members will sure revitalize and positively contribute to the growth and credibility of our forum!

There are more details to this idea of mine and I am sure people will have many questions, however if you agree on the principle of the matter, halla, and we can continue the exchange.

Oh I was supposed to ask a question. Ok. So Max what do you think of the principle of the idea, we at JF are champions of Democracy shouldn't we be practicing it here, Power through the ballot box???


All in all GOOD WORK GUYS, HASTA LA VICTORIA SIEMPRE, JF 4 LIFE!!!! WHERE WE DARE TALK OPENLY!!
Asante sana mkuu, maoni yako yamefika na nadhani mkuu Maxence anaweza kujibu haya pale atakapo kua nasi on Friday the 17th.
 
Naona Russian umegonga kingleza cha kum impress boss. Zamani tulikuwa tunaita mabomba...

Muda huo utakosa baadhi ya nguvukazi za taifa zitakazokuwa zinajenga taifa. Najua umeangalia data zenu huko na kujua Prime time humu JF ni ipi!
 
Nami nipende kutoa shukrani zangu za dhati kwa Max, Mike na timu nzima ya JF.

Japo nipo JF kwa takribani miaka minne sasa ni mara ya kwanza nashuhudia tukipata nafasi ya kumuuliza Max maswali ya hapo kwa papo.
Swali langu ni moja tu: Japokua JF inakua siku hata siku, na tunaona wanachama wapya wakijiunga kila leo, Je ni nini basi kilichofanya Jamiiforums ya leo kutokutoa habari motomoto kama ilivyokua wakati wa Jamboforums( Tukikumbua zile Ijumaa za Mwanakijiji na Vi inzi vyake) kwa maana ya nyaraka na habari za ndani sana zilizopelekea JF kutikisa kila kuta za nchi?


Je kuna mkono uliozuia hili? ama kwa kuwa ile risk ya habari kama zile inabebwa na watu wachache lakini wanaofaidika ni wengi hivyo kupelekea wale wachache kukata tamaa? .Ni hayo tu kwa sasa ila siku nikibahatika kukutana na Max nitamuuliza mengi zaidi
 
Pongezi nyingi kwa Max and the entire JF crew.

We are missing the old good days of JamboForums where JF used to be more of 'WIKILEAKS' kind of, and over the years, I have observed JF undergoing complete 'metamophorsis' into some form of a SOCIAL MEDIA.

My question is; waht was the original vision of JF founders Vs the current direction having taken into account to address socio-political dynamics in the region. I presume there have been major deviations.
 
big boss, I'm here now.
Worry out, Roulette yuko makini, nikishindwa kuwepo atafanya utaratibu.

Good idea
first sijaona Kinga'sti akirespond na hii thread
why? tusije fika siku hiyo halafu hayupo?

Pili swali langu kwa uongozi wa JF....ni kuhusu member wa zamani William le Mutuz...

What really happened between JF na William?

je walimfukuza?alijitoa?why?
 
Roulette, nashukuru kwa uteuzi huu ambao ni rare. Na haswa kwa kuniamini (inabidi nisilipulize sasa, aaghh!)

all, nawashukuru kwa maswali yenu ya utangulizi. Please keep them coming. Binafsi I'm so proud of jf na Maxence personally kwa sababu ya umakini na ni mtu anaeshaurika na kufanyia kazi maoni na maono pia. Can't wait for this day, Mungu atupe uzima
 
Last edited by a moderator:
Max, Mike and the all crew..natanguliza hongera maanake kazi kubwa mlofanya haina kipimo na Mungu awazidishie kila la kheri mfikie mafanikio makubwa zaidi ya haya yaliyopo..

Binafsi sioni tatizo, guyz you have done it!..endeleeni kuweka utaratibu mzuri wa kupokea watu kule baraza la wazee wa busara!..viwanja vingine kama vinavyojieleza, SIASA zitakuwa siasa za migogoro kila siku zote na hamuwezi kuzuia kila kitu kila mtu..
- Kazi njema
 
Swali langu kubwa kabla ya kutoa pongezi kwa Maxence Melo ni nini matarajio na malengo ya uwepo wa JF kwa sasa na baadae haswa ikichanganywa na kukuwa kwa teknolojia ya mawasiliano ambapo JF inavuma hadi vijijini
Tutarajie kipi kwa hali ya sasa na ya baadae kutoka Jf ambacho kitawafanya watumiaji wake waendelee kuipenda na kuisupport JF
Je malengo ambayo wakati anaianzisha JF yametimia, yatatimia,au yamefikiwa na nini matarajio au maboresho ambayo anategemea kuyafanya kuiweka JF juu zaidi ya hapa ilipo
Baada ya hayo nampa pongezi sana Maxence Melo kwa kuwa na wazo hili la kuanzisha JF ambapo kimekuwa kisima cha kuchota na kupata habari mbalimbali na utaalam ambao kwa namna moja au nyingine unamsaidia mtu mmoja mmoja au watu wengi kwa pamoja
 
Last edited by a moderator:
Dah ninamaswali mengi sana ila na wewe Madame ya kupasa uwe kwa pembeni kwani nauhakika watu watataka kujua zaidi juu yako japo naona maswali yatakuwa kwenye chekecho hivyo itakuwa nikazi kubwa kumaliza kihu ya wachangiaji!!Kwa yote mimi naanzia hapa kumpa shukurani za dhati kwakuweza kuanzisha chombo hiki!!mbali na hiyo kuweza kusimamia mawazo yake!niwengi wanaanzisha lakini kwakosa kusimamia mawazo yao wameshindwa kufika mbali!!
 
Roulette, hongera kwa kuja na mada nzuri na ya tofauti. yale niliyokuwa nayo kichwani kuhusu JF yameshaulizwa na wenzangu hapo juu, mimi swali langu ni moja tu HIVI KUNAKUA NA UTARATIBU GANI WA KUWAPATA MODERATORS? Na kuhusu jinsi hawa MODS wanavyofanya kazi ningeomba kujuzwa maana nina uhakika hawajaajiliwa na JF wanafanya kwa moyo wa kujitolea sasa inapokuja suala la vitendea kazi kama Computer na Internet uongozi wa JF huwa unawa support? Ningeomba mkuu Max aliweke sawa hili swali maana huku mtaani JF inahusishwa na CHADEMA na mzee Mwanakijiji
 
Nami nipende kutoa shukrani zangu za dhati kwa Max, Mike na timu nzima ya JF.

Japo nipo JF kwa takribani miaka minne sasa ni mara ya kwanza nashuhudia tukipata nafasi ya kumuuliza Max maswali ya hapo kwa papo.
Swali langu ni moja tu: Japokua JF inakua siku hata siku, na tunaona wanachama wapya wakijiunga kila leo, Je ni nini basi kilichofanya Jamiiforums ya leo kutokutoa habari motomoto kama ilivyokua wakati wa Jamboforums( Tukikumbua zile Ijumaa za Mwanakijiji na Vi inzi vyake) kwa maana ya nyaraka na habari za ndani sana zilizopelekea JF kutikisa kila kuta za nchi?


Je kuna mkono uliozuia hili? ama kwa kuwa ile risk ya habari kama zile inabebwa na watu wachache lakini wanaofaidika ni wengi hivyo kupelekea wale wachache kukata tamaa? .Ni hayo tu kwa sasa ila siku nikibahatika kukutana na Max nitamuuliza mengi zaidi

Pongezi nyingi kwa Max and the entire JF crew.

We are missing the old good days of JamboForums where JF used to be more of 'WIKILEAKS' kind of, and over the years, I have observed JF undergoing complete 'metamophorsis' into some form of a SOCIAL MEDIA.

My question is; waht was the original vision of JF founders Vs the current direction having taken into account to address socio-political dynamics in the region. I presume there have been major deviations.



Asante sana kwa pongezi ndugu, bila shaka zimemfikia Maxence na team nzima. Suali lako ni nzuri sana maana wengi wanasema Jamii Forums ya leo sio sawa na ile ya zamani. Labda Maxence ataweza kuthibitisha hili na kutupa mtazamo wake. Asante sana, na karibu siku hiyo.
 
Naona Russian umegonga kingleza cha kum impress boss. Zamani tulikuwa tunaita mabomba...

Muda huo utakosa baadhi ya nguvukazi za taifa zitakazokuwa zinajenga taifa. Najua umeangalia data zenu huko na kujua Prime time humu JF ni ipi!

Mkuu, hapa nipo kikazi zaidi, na boss ndie anaalikwa interview, lazima niwe makini. Lugha zote mbili na-struggle ila niliona bora hata kingereza kuliko kiswahili kibovu maana kiswahili nitakua sina excuse ila kingereza naweza kusema ni lugha ya kuazima. hahaha

Kuhusu timing, kuna baadhi ya watu wanapata access internet siku za wiki tena saa za kazi peke yake. Last time tuliendesha mjadala weekend na wengi waliomba safari hii tuweke office time. In any case, we will gather all questions during the week na majibu yatatolewa Ijumaa ila hata weekend yatakua accessible.
 
Max, Mike and the all crew..natanguliza hongera maanake kazi kubwa mlofanya haina kipimo na Mungu awazidishie kila la kheri mfikie mafanikio makubwa zaidi ya haya yaliyopo..

Binafsi sioni tatizo, guyz you have done it!..endeleeni kuweka utaratibu mzuri wa kupokea watu kule baraza la wazee wa busara!..viwanja vingine kama vinavyojieleza, SIASA zitakuwa siasa za migogoro kila siku zote na hamuwezi kuzuia kila kitu kila mtu..
- Kazi njema
Asante sana mkuu kwa pongezi, nadhani limewafikia Maxence, Mike na team nzima la Jamii Forum. Pia ushahuri wako umefika, tutajaribu kuzingatia hilo. tunashukuru sana kwa mchango.
 
Swali langu kubwa kabla ya kutoa pongezi kwa Maxence Melo ni nini matarajio na malengo ya uwepo wa JF kwa sasa na baadae haswa ikichanganywa na kukuwa kwa teknolojia ya mawasiliano ambapo JF inavuma hadi vijijini
Tutarajie kipi kwa hali ya sasa na ya baadae kutoka Jf ambacho kitawafanya watumiaji wake waendelee kuipenda na kuisupport JF
Je malengo ambayo wakati anaianzisha JF yametimia, yatatimia,au yamefikiwa na nini matarajio au maboresho ambayo anategemea kuyafanya kuiweka JF juu zaidi ya hapa ilipo
Baada ya hayo nampa pongezi sana Maxence Melo kwa kuwa na wazo hili la kuanzisha JF ambapo kimekuwa kisima cha kuchota na kupata habari mbalimbali na utaalam ambao kwa namna moja au nyingine unamsaidia mtu mmoja mmoja au watu wengi kwa pamoja

Mkuu, we ni mjanja, sikuwezi. umeuliza two in one: unataka kujua kama malengo yametimia na pia unataka kujua kuna strategy gani in store ya kuwafikia watanzania wa vijjini. Noted mkuu.
 
Dah ninamaswali mengi sana ila na wewe Madame ya kupasa uwe kwa pembeni kwani nauhakika watu watataka kujua zaidi juu yako japo naona maswali yatakuwa kwenye chekecho hivyo itakuwa nikazi kubwa kumaliza kihu ya wachangiaji!!Kwa yote mimi naanzia hapa kumpa shukurani za dhati kwakuweza kuanzisha chombo hiki!!mbali na hiyo kuweza kusimamia mawazo yake!niwengi wanaanzisha lakini kwakosa kusimamia mawazo yao wameshindwa kufika mbali!!
Nashukuru kwa maoni, kuhusu masuali yanayo nihusu kwani nani kakataza kuniuliza? tumieni njia ya PM, na kama nitaweza kujibu nitajibu, kama siwezi nitatoa sababu. Hapa tunauliza strategic and managerial questions zaidi, ambazo mimi kama Mod naweza kua sina jibu kwa baadhi ya suali hizo. Ni fursa ya kipekee kwa wengi wetu ambao labda hatuwajui Mike wala Max in person.
 
Roulette, hongera kwa kuja na mada nzuri na ya tofauti. yale niliyokuwa nayo kichwani kuhusu JF yameshaulizwa na wenzangu hapo juu, mimi swali langu ni moja tu HIVI KUNAKUA NA UTARATIBU GANI WA KUWAPATA MODERATORS? Na kuhusu jinsi hawa MODS wanavyofanya kazi ningeomba kujuzwa maana nina uhakika hawajaajiliwa na JF wanafanya kwa moyo wa kujitolea sasa inapokuja suala la vitendea kazi kama Computer na Internet uongozi wa JF huwa unawa support? Ningeomba mkuu Max aliweke sawa hili swali maana huku mtaani JF inahusishwa na CHADEMA na mzee Mwanakijiji

Asante sana kwa pongezi, na kwa busara yako ya kutorudia masuali ambayo yamesha ulizwa na great thinkers wenzetu. Hili suala la vigezo vya kuwachagua moderators, pamoja na namna yao ya kutenda kazi limesha ulizwa huko nyuma, nadhani ni wakati muafaka wa kupata jibu.
 
Back
Top Bottom