Mzee wa ngano
Senior Member
- May 3, 2012
- 184
- 55
Mimi ni mgeni kabisa hapa kunako jf. Kinachonisumbua ni terminology zinazotumika humu jamvini. Utakuta mwanzo wa mada mara iandikwe 'sticky' mara 'topic' mara 'moved'. maneno haya yana tofauti gani?. Halaf hua naona humo katikati ya maelezo kuna wakati mnaandika MENTION= ikifuatiwa na namba nyingi nyingi. Mnamaanisha nini jamani?.