Hongera JF
Hoja:
Kwa kawaida ili 'Brand' iendelee kuwa brand ni lazima kuwepo na ubunifu kila mara.
Jf kama brand ni lazima iwe tayari kukabiliana na ushindani au wizi wa brand unaoweza kufanyiwa maboresho na kuipiku.
Yahoo ilidumaa na kubweteka leo Google inaongoza. Pamoja na Google kuongoza haijawahi kusimama au kubweteka katika ubunifu.
Swali:
a)Baada ya kufanikiwa katika internet,kuwa na wafuasi katika majukwaa na vionjo tofuati, je, JF inampango gani wa kuendelea katika eneo la Audio (mathalani FM station, au Internet radio) au kushirikiana na wadau wengine waliotanuka na kupata access za visual za vitu kama 'streamline' za michezo na habari japo kwa muda mfupi kwa kuanzia.
b)Kutokana na A hapo juu, je, jf haioni kuwa huwa ndio mwanzo wa kuifikia jamii kwa ukaribu zaidi na kuwa chanzo kizuri cha mapato katika muundo wa biashara.
Ahsante