Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,220
- 113,542
Mimi ningependa kujua haya mawili:
1) Farida yuko wapi siku hizi?
2) Ni vigezo gani vinatumiwa kuchagua mods?
1) Farida yuko wapi siku hizi?
2) Ni vigezo gani vinatumiwa kuchagua mods?
Mimi ningependa kujua haya mawili:
1) Farida yuko wapi siku hizi?
2) Ni vigezo gani vinatumiwa kuchagua mods?
Mimi ningependa kujua haya mawili:
1) Farida yuko wapi siku hizi?
2) Ni vigezo gani vinatumiwa kuchagua mods?
Mnapango wa kuwa na jamiiforumsTV hapo baadae..?
Roulette Maxence Melo, Mike McKee, Invisible mnazungumzia vipi ile allegation aliyotoa Le mutuz "willy malecela " kuhusu umilikiwa JF , je ni nini kimetokea, Je mmeshamfuta humu kama alivyoomba ..? naomba ulizungumzie hili maana tumepata one side of story ...
Shukran
JF DAIMA!
Hongera JF
Hoja:
Kwa kawaida ili 'Brand' iendelee kuwa brand ni lazima kuwepo na ubunifu kila mara.
Jf kama brand ni lazima iwe tayari kukabiliana na ushindani au wizi wa brand unaoweza kufanyiwa maboresho na kuipiku.
Yahoo ilidumaa na kubweteka leo Google inaongoza. Pamoja na Google kuongoza haijawahi kusimama au kubweteka katika ubunifu.
Swali:
a)Baada ya kufanikiwa katika internet,kuwa na wafuasi katika majukwaa na vionjo tofuati, je, JF inampango gani wa kuendelea katika eneo la Audio (mathalani FM station, au Internet radio) au kushirikiana na wadau wengine waliotanuka na kupata access za visual za vitu kama 'streamline' za michezo na habari japo kwa muda mfupi kwa kuanzia.
b)Kutokana na A hapo juu, je, jf haioni kuwa huwa ndio mwanzo wa kuifikia jamii kwa ukaribu zaidi na kuwa chanzo kizuri cha mapato katika muundo wa biashara.
Ahsante
Dah ninamaswali mengi sana ila na wewe Madame ya kupasa uwe kwa pembeni kwani nauhakika watu watataka kujua zaidi juu yako japo naona maswali yatakuwa kwenye chekecho hivyo itakuwa nikazi kubwa kumaliza kihu ya wachangiaji!!Kwa yote mimi naanzia hapa kumpa shukurani za dhati kwakuweza kuanzisha chombo hiki!!mbali na hiyo kuweza kusimamia mawazo yake!niwengi wanaanzisha lakini kwakosa kusimamia mawazo yao wameshindwa kufika mbali!!
Safi Sana Ila Wakuu kuna kitu nimekuwa kila nikiuliza sijibiwi ni Kuhusu livechat zamani ilipokuwa jamboforums kulikuwa na vivutio vingi sana kama music haswa zilipendwa,livechat,games,Radio n.k sasa hii Jamii forums imeondoa vyote sijaelewa imeenda mbele au imerudi nyuma!!
sometime unapokuwa umekuwa bored na forum ukizungukia kwenye vivutio vingine ndani ya jf inaweka akili sawa kabla hujarejea kwenye mdahalo...
Ila nawapongeza sana Wadau wote wa JF....
La Mwisho Matangazo ya Pombe hata Ndani ya Mwezi Mtukufu kiasi yanawaletea Wadau wengine Shida kuchangia...
Kina Faizafoxy angefunguliwa kwani huleta changamoto sana
Mimi ningependa kujua haya mawili:
1) Farida yuko wapi siku hizi?
2) Ni vigezo gani vinatumiwa kuchagua mods?
On Fridaythe 17th, at 11:00 AM east African Time (Saa tano asubuhi kamili saa za Africa Mashariki) we invite Jamii Forum Founder and owner, Maxence Melo, to respond to some of these questions. The interview will be conducted by a long time JF member, whom we believe has the necessary impartiality and perspicacity to ask Maxence pertinent questions that will enlighten our lanterns.
Update: As we ask questions, please let's make sure that we do not repeat questions he answered during his interview with Bongo Celebrity (the interview can be found here)
Our membership is 87,000 (and still counting). Where do we go from here? What should we expect?Hakuna suali loa moja kwa moja mkuu, unaweza kuweka suali lako hapa na masuali kumi "most pertinent" yatachaguliwa.