Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,185
- 13,760
Demokrasia, demokrasia, demokrasia!
Hakuna awamu unayoweza kuongea yako ya moyoni kama hii, yawe ya ukweli yawe ya uongo. Kumbuka hilo.
Kama ni demokrasia ya hivyo na hatuhitaji,hao wenye Nchi zilizo na Demokrasia ya ukweli bado linapofika swala la Kiongozi kuonyesha leadership unamuona anasimama mahali pake.Hapa kwetu hii ni style ya uchonganishi tu,huchukui maamuzi unakimbia majukumu unaacha watu wanaparurana ili tu usionekane mmbaya kwa kila upande.