JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

Kivipi mkuu. BOT wameeleza vyema kabisa na kwa maelezo yao mimi nakubaliana na hitimisho lao kwamba walitekeleza majukumu yao kwa weledi mkubwa. Katika hayo maelezo wameweka wazi ya kwamba mkubwa wa nchi alitoa baraka baada ya BOT kushauri kwamba viongozi wa kitaifa wajulishwe kuhusu malipo hayo. Huoni kwamba mkuu hapa anaingia?
Mkuu wa nchi yumo. Amepewa vyombo vyote vya dola, hana excuse ya kusema kashauriwa vibaya. Mkuu wa nchi, Rais yumo katika Escrow
 
Uliipata pata, ukaingia mitini.
Unadhani kila mtu analipwa buku 7 akae humu kutetea mafisadi kama wewe? Usikimbie kwenye hoja, nyie ni wezi, na tutakukeketeni wote. Ndo maana mlitaka kumuua Mr. Mkono, kisa kaisimamia kesi mpaka kimeeleweka. Wezi wakubwa nyie
 
zamani manyerere jackson nikijua ni very bright kumbe..
mwandishi mzima anadonoa sehemu za sentensi na kuweka hapa ili kutaka kuprove kitu ambacho hakipo,kha...!!

Haya wewe bright una la maana unalochangia hapa zaidi ya kuhoroja tu!
 
Ukweli mchungu Rais wetu na mifumo ya usalama wa nchi ni dhaifu. TISS ilibidi wajue hili mapema. Tutambiwa Rais alishauriwa vibaya, case closed.

Mkuu nasikia enzi za Mkapa TISS na PCCB waliwahi kutoa ripoti zinazofanana kuhusu IPTL,zote zikiitahadharisha serikali miaka ile mapeema kabisa hata kabla hatujafika huku.Sijui ni kweli?!
 
Unadhani kila mtu analipwa buku 7 akae humu kutetea mafisadi kama wewe? Usikimbie kwenye hoja, nyie ni wezi, na tutakukeketeni wote. Ndo maana mlitaka kumuua Mr. Mkono, kisa kaisimamia kesi mpaka kimeeleweka. Wezi wakubwa nyie

Onesha hao wezi wako wapi, unabwabwaja bila ushahidi?
 
Point ya mtoa mada ni kuwafaamisha wahusika kuwa endapo ripoti ya kuwasilishwa bungeni itakuwa imechakachuliwa, wafahamu kuwa 'original copy' tayari ipo mikononi mwa watu. Pamoja na kwamba hizo page mbili hapo juu zipo mtaani tayari, lakini zinatoka kwenye 'original report', sio iliyochakachuliwa. Kwa hiyo kama itawasilishwa bungeni iliyochakachuliwa, ndipo mzigo original utakapowekwa hewani. Kwa sasa bunge liachwe lifanye kazi yake.

Kwa upande mwingine yaweza kutafsiriwa Invisible anatia mkwara tu. Hakuna proof kwa aliyokuwa nayo yeye ndio original.
 
mtu huwezi tu hata kujiuliza,,mbona hakuna nyaraka ikidai kua pesa hazikuwa za iptl? mpaka dakika hii?
 
Onesha hao wezi wako wapi, unabwabwaja bila ushahidi?
Eti unajifanya taahira. Umepata menopause akilini eeh. Mnalo mwaka huu, hakuna hela ya kampeni hapa. Mkauze makochi mhonge watu tshirt.
 
Itafute wewe hukumu, unaniuliza mimi? Kikwete kashauri "Maamuzi ya Mahakama kuu yatekelezwe kama alivyoshauri AG".

Kuna fedha zimetajwa hapo zitolewe kama ulivyoandika mwanzo?

Nini usichokielewa hapo ewe punguani?

Huo upunguani umetokea wapi tena? Ukimjibu kistaarabu utapungukiwa na nini wewe.Ndio maana unajibiwa hovyo na wachangiaji kumbe shari unaitafuta mwenyewe.
 
mtu huwezi tu hata kujiuliza,,mbona hakuna nyaraka ikidai kua pesa hazikuwa za iptl? mpaka dakika hii?

Bahati mbaya mgao umekupita kushoto,jitahidi hivyo hivyo huenda ukatupiwa japo makombo!
 
Huo upunguani umetokea wapi tena? Ukimjibu kistaarabu utapungukiwa na nini wewe.Ndio maana unajibiwa hovyo na wachangiaji kumbe shari unaitafuta mwenyewe.

Wewe achana na mimi jibu hoja.
 
Eti unajifanya taahira. Umepata menopause akilini eeh. Mnalo mwaka huu, hakuna hela ya kampeni hapa. Mkauze makochi mhonge watu tshirt.

Naona sasa unabwabwaja na kuhororoja umeshindwa kuonessha Singa Singa kaiba nini.
 
Naona sasa unabwabwaja na kuhororoja umeshindwa kuonessha Singa Singa kaiba nini.
Wee ni mpuuzi, unajitekenya na kucheka mwenyewe. Nani kamgusia singa singa? Mie nipo na nyie wezi, nyie ndo maadui zetu wakubwa. Huyo singasinga ni daraja tu mmemtumia. Wala sihangaiki naye. Wezi nyie wote kuanzia profesa tezi
 
Mkuu nasikia enzi za Mkapa TISS na PCCB waliwahi kutoa ripoti zinazofanana kuhusu IPTL,zote zikiitahadharisha serikali miaka ile mapeema kabisa hata kabla hatujafika huku.Sijui ni kweli?!

Ngoja kwanza usiende mbali, kabla ya kudanganywa au kama unataka kudanganya weka filter kwenye ubongo wako halafu digest hili......

Wakati wa Mkapa mkurugenzi wa Usalama wa Taifa alikuwa Apson Mwang'onda ambaye sasa ndio Mwenyekiti wa kamati ya kuhakikisha Fisadi Lowasa anarudi kwenye uraji ili waifirisi nchi.

Connect dots kama mtu huyu alikuwa na utukufu huo kama mpaka leo hana huruma na Watanzania anakesha kuhakikisha jambazi lingine kutoka Ccm linakuja kufirisi nchi.
 
Bahati mbaya mgao umekupita kushoto,jitahidi hivyo hivyo huenda ukatupiwa japo makombo!
we mwanamke wewe,mimi nna fedha,mi sio wa kuja kulialia hapa jf kama wewe,kulalamika humu daily.usijali lakini ntamwomba ff akutafutie angalau uhousegail kule otawa
 
Mkuu wa nchi yumo. Amepewa vyombo vyote vya dola, hana excuse ya kusema kashauriwa vibaya. Mkuu wa nchi, Rais yumo katika Escrow


Tena alikuwa na ushauri 'mzuri sana' wakati wa mgomo wa wafanyakazi kuwa, nanukuu: "Akili za kuambiwa changanya na za kwako". Leo vipi raisi atajitetea kwa kuafuata ya kuambiwa? Lazima alichanganya na za kwake akaona ya kuambiwa ni sahihi. Au ushauri ule ulikuwa kwa ajili ya wafanyakazi tu yeye haumhusu?
Kweli ukishangaa ya Firauni ...
 
Wee ni mpuuzi, unajitekenya na kucheka mwenyewe. Nani kamgusia singa singa? Mie nipo na nyie wezi, nyie ndo maadui zetu wakubwa. Huyo singasinga ni daraja tu mmemtumia. Wala sihangaiki naye. Wezi nyie wote kuanzia profesa tezi

Mkuu nakushauri achana naye huyo Ajuza anasumbuliwa na stress na Menopause pia tunapaswa kuwavumilia wajane maana amechanganyikiwa huyo.

Ifanyie udukuzi ID yake 24 hrs iko active na inapost pumba tupu.

Angalia first page ya thread hii imeanza saa ngapi na sasa ni saa ngapi kila page ukifungua yeye utamkuta anajambajamba tu hata robot huwa linapumzika huyu mwenzetu sijui anatumia injini ya trekta?
 
Demokrasia, demokrasia, demokrasia!

Hakuna awamu unayoweza kuongea yako ya moyoni kama hii, yawe ya ukweli yawe ya uongo. Kumbuka hilo.


Very interesting view, last time i checked democracy was rule of the people by the people. Nathan salsa utakubali kuwa serial hii bali na ku under perform kwa mbali sana ikilinganishwa na iliyopita knew masala ya maendeleo, imei over perform kea mbali sang iliyopita kea wifi na ufisadi.

nadhani hapa utaanza kumlaumu nyerere tena kwa ufisadi huu.
 
hii kitu kumbe ni politic,kumezuka tabia humu ya watu wachache kuwafanya wengine hawawezi kuchanbua mambo na kulogic.
THI Is an Insult to our intelligence
 
Back
Top Bottom