Kama ni demokrasia ya hivyo na hatuhitaji,hao wenye Nchi zilizo na Demokrasia ya ukweli bado linapofika swala la Kiongozi kuonyesha leadership unamuona anasimama mahali pake.Hapa kwetu hii ni style ya uchonganishi tu,huchukui maamuzi unakimbia majukumu unaacha watu wanaparurana ili tu usionekane mmbaya kwa kila upande.
Duh Mungu wangu mbona BOT wamechafua hali ya hewa? Nani kabaki sasa kwa kuwa malipo yalikuwa na baraka za mwenye nchi?
Hii escrow imekuwa kokoro, imemwingiza kila mtu. Naona BOT wamejitetea lakini katika kujitetea kwao Kunawafanya wao watoke lakini mkuu wa nchi anaingia mzima mzima.
sawa kabisa,sasa rudia walichosema bot kuhusu capasity charge,utaona kuwa waliweka masharti kuwa ili watoe pesa sharti mojawapo tanesco na iptl wafanye recalculation ya capasity charge wakubaliane ndo pesa itokeKivipi mkuu. BOT wameeleza vyema kabisa na kwa maelezo yao mimi nakubaliana na hitimisho lao kwamba walitekeleza majukumu yao kwa weledi mkubwa. Katika hayo maelezo wameweka wazi ya kwamba mkubwa wa nchi alitoa baraka baada ya BOT kushauri kwamba viongozi wa kitaifa wajulishwe kuhusu malipo hayo. Huoni kwamba mkuu hapa anaingia?
Mpaka sasa kitendawili kimoja kimeteguliwa, Ikulu ilihusika katika uhamishaji wa fedha kutoka BOT kwenda IPTL kulingana na maagizo ya Raisi yaliyotolewa kwa PST tarehe 13 November 2013. Na hizi ni rasharasha tu mvua za vuli bado...msishangae akina FaizaFoxy wakizidi kukosa usingizi; tunavyokaribia mfupa nyama inazidi kuwa tamu. Fedha bado zimechimbiwa hapa hapa ardhini kwetu, hazijavuka mpaka na viti walivyovikalia wezi
you are about to be very disa ppointed
Itafute wewe hukumu, unaniuliza mimi? Kikwete kashauri "Maamuzi ya Mahakama kuu yatekelezwe kama alivyoshauri AG".
Kuna fedha zimetajwa hapo zitolewe kama ulivyoandika mwanzo?
Nini usichokielewa hapo ewe punguani?
BOT walikuwa agent tu. Kwa maelezo yao mimi naona wako sawa. Wamedadavua mengi na walikuwa more proactivesawa kabisa,sasa rudia walichosema bot kuhusu capasity charge,utaona kuwa waliweka masharti kuwa ili watoe pesa sharti mojawapo tanesco na iptl wafanye recalculation ya capasity charge wakubaliane ndo pesa itoke
Mpaka sasa kitendawili kimoja kimeteguliwa, Ikulu ilihusika katika uhamishaji wa fedha kutoka BOT kwenda IPTL kulingana na maagizo ya Raisi yaliyotolewa kwa PST tarehe 13 November 2013. Na hizi ni rasharasha tu mvua za vuli bado...msishangae akina FaizaFoxy wakizidi kukosa usingizi; tunavyokaribia mfupa nyama inazidi kuwa tamu. Fedha bado zimechimbiwa hapa hapa ardhini kwetu, hazijavuka mpaka na viti walivyovikalia wezi wetu vinazidi kuwa vya moto. Hongera JF!
Leo hadi uote korodani. Asubuhi nlikwambia mmekwiba kodi yetu bila ya kuzishirikisha mamlaka husika, ujaifanya mjuaji. Subiri, lazima ukeketwe kama mwenzako aliyekeketwa huko kwa obama
Prof.A.Tibaijuka 1.617 bil
Wewe ndio uliyekosa hoja. Niliwaambia nyie ni wezi. Na nikakushikia chini kwenye suala tu la kodi sikuingia kwingine, ukajifanya wee ndo unajua sana tax evasion na avoidance. Hovyoooooo....na lazima mnye wiki hii.Umekosa hoja unaanza kuhororoja na kubwabwaja .
halafu huyu si ndo mmiliki wa gazeti la jamhuri,mbona kama anaongea ugoro?Itafute wewe hukumu, unaniuliza mimi? Kikwete kashauri "Maamuzi ya Mahakama kuu yatekelezwe kama alivyoshauri AG".
Kuna fedha zimetajwa hapo zitolewe kama ulivyoandika mwanzo?
Nini usichokielewa hapo ewe punguani?
Ndo maana viinimacho vimekuwa vingi.....Sasa mbona kama na ofisi kuu nchini imo....
Wewe ndio uliyekosa hoja. Niliwaambia nyie ni wezi. Na nikakushikia chini kwenye suala tu la kodi sikuingia kwingine, ukajifanya wee ndo unajua sana tax evasion na avoidance. Hovyoooooo....na lazima mnye wiki hii.
halafu huyu si ndo mmiliki wa gazeti la jamhuri,mbona kama anaongea ugoro?