Hufai kwa lolote labda kukaa chooni tu.Ua la nini tena? ua lilibanduliwa miaka 36 iliyopita.
Mimi sijaolewa na wala sitaolewa, kumbuka hilo. Mimi nimeoana na Gozi langu.
Hufai kwa lolote labda kukaa chooni tu.Ua la nini tena? ua lilibanduliwa miaka 36 iliyopita.
Mimi sijaolewa na wala sitaolewa, kumbuka hilo. Mimi nimeoana na Gozi langu.
Hufai kwa lolote labda kukaa chooni tu.
ha ha ha,watu humu wamepaniki
mbaya.
Kuna raha zaidi ya hiyo?[/QUOTE
Yeah njoo uwekwe sawa.
Kurasa zilizowekwa humu sio zilizotajwa.Kurasa zilizonyofolewa ni 54- 59
Si bure utakuwa mgonjwa wa akili wewe.Umesoma post namba moja alichonukuliwa Rais au kazi kushabikia ujinga tu? Kama umesoma, hebu weka hiyo nukuu hapa halafu ujione ulivyo punguani.
Ungejibu?
Everything goes to Ofisi ya Mwanasheria Mkuu!
Soma vizuri post namba moja halafu nioneshe ni wapi Rais kasema zitolewe pesa?
Wacha kuwa punguani.
Hapa JF zimekuwa zikiwekwa nyaraka za siri nzito nzito sembuse hii report ambayo nasikia hata Chief Kiumbe anayo na huko Dodoma imetapakaa.
Mkuu Invisible tutendee haki kwa kuiweka humu report yote ili nasi tuone hicho kilichomo. Manake kwenye hizo page sioni kitu chenye mashiko