Hercule Poirot
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 1,770
- 1,555
Kwa tulichopewa tunaweza kufikir katika mstari huo
Vinginevyo tusubiri ripoti kamili
Vinginevyo tusubiri ripoti kamili
Werema kumwita kafulila tumbili hiyo sio ishu ya kitaifa.ishu ni je kuna wizi,nani kaiba na kaiba vipi then awajibike.
Kijana, kasema hizi ndio zilizonyofolewa, ni nini usichokielewa hapo?
Ripoti ipo, wala hilo silikatai, ila nnachosema mbona hii iliyowekwa hapa sioni wizi wowote? Na hii ndiyo ilisemekana imenyofolewa kwa kuwa ina mambo makubwa ndani yake?
Kumbe na wewe ni al shabaab lazima ushughulikiwe kuanzia sasa
Nimeelewa sana tena sana, nisome vizuri; ikiwa hizo ndio "zilizonyofolewa" na hazina chochote cha maana itakuwa hizo zilizosambazwa?
Fikiri.
Nimekuelewa Mkuu...! Lkn tukumbuke hawa watu Wana nguvu sn ya kifedha kiasi wanaweza kuwapa fedha Ma mods ata Hizi thread za hili skendo zikawa zinafutwa tu..!
I smell something fishy.. hata invisible page unazotoa sioni uzito wake. zaidi zaidi jina la ex-cdf... mengi ni kama justification inayoweza kucontradict na yale tuliyokwisha lishwa humu jf na kuyaamini. kwa sisi wananchi wa kawaida lugha tunayoielewa ni je pesa ya kodi zetu imeliwa kifisadi? yes... na nani? shi ngapi? tafuta hizo page ndo tunazitaka man. kama hamna page za hivyo naona hata hiyo ripoti haina maana..
Invisible
Hajakosea chochote ila ametoa tahadhari tu kuwa wanachofanya au kama wamedhamiria kukifanya waache ripoti ipo kwa watu,waache bunge lifanye yake.
You Kori Bastard...!!!
Invisible brought here only pages 14 of 59 & 24 of 59....!!! of which those are NOT LAST 3 PAGES....
Meaning, the last 3 pages are 57, 58 & 59.....!!!!
Invissible kasema wazi.., hata hizo pages 14 & 24 hazipo....!!!!
Ila HOT last 3 PAGES ZENYE C.A.G NAMES za mafisadi na maamuzi ya CAG ndio MOSTLY NEEDED...
So acha kutumika kinyume na maumbile
Wakuu mbona pesa zilizoibwa ni nyingi .321 alafu majina na kiasi kilichogawiaa ni kidogo.? Pesa nyingine akina nani wame chukua. Maenye majina atupe tafadhali
You Kori Bastard...!!!
Invisible brought here only pages 14 of 59 & 24 of 59....!!! of which those are NOT LAST 3 PAGES....
Meaning, the last 3 pages are 57, 58 & 59.....!!!!
Invissible kasema wazi.., hata hizo pages 14 & 24 hazipo....!!!!
Ila HOT last 3 PAGES ZENYE C.A.G NAMES za mafisadi na maamuzi ya CAG ndio MOSTLY NEEDED...
So acha kutumika kinyume na maumbile