Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,548
- 2,180
Hahahaha hana report Faiza nakwambia
mkuu Hossam, mbona orodha ya wezi ipo wazi au huifahamu? wezi ni hawa hapa:
1. Werema
2. Pinder
3. Muhongo
4. Maswi
5. Masele
6. Tibaijuka
7. Mkurugenzi wa TRA
8. Singersinger.
mtamuua bure kijana wa watu,hana ripoti
Vumilia tu "sindano" hii inawaingia taratibu! Na mwenye tezi dume "litachelewa" kupona!
mkuu Hossam, mbona orodha ya wezi ipo wazi au huifahamu? wezi ni hawa hapa:
1. Werema
2. Pinder
3. Muhongo
4. Maswi
5. Masele
6. Tibaijuka
7. Mkurugenzi wa TRA
8. Singersinger.
subiri tu......itaisha next week!Hamna nyimbo mpya? Hii imesha flop.
Haraka ya nini wakati ngoma inasomwa bungeni keshokutwa tar 26?
Kumbe mhongo kapiga parefu $2m?
Gavana naye 3m, Chapa mamba sijamjua bado dadavua kidogo!
Hana anataka tu wamtafute; Kubenea aikose yeye ndiye awe nayo nyoooo.......Wewe ni muongo sana,sehemu ya report ilionyofolewa ni ya majina ya watu walio pewa mgawo
wananchi msidanganyike,kama una report kamili iweke hapa tuione
subiri tu......itaisha next week!
Kwani hizi pg mbili zinatusaidia nini wakati zipo mtaani? Angeweka pg tatu za mwisho ndio tungeona anataka kutusaidia na hatumiki na hao wanaosambaza
Tunasubiri.
Kama wewe ni mgeni hapa JF huwezi elewa nilichoandika na niliyemlenga.
Jifunze how to read between the line taratibu tu na wewe utaelewa.
Mimi ni mkristo tena mkatoliki kama ulikuwa hujui.
Na wewe unakuwa mtu wa kuingizwa mkenge kirahisi.utajuaje ripoti imechomolewa kabla ya kusomwa?je ikisomwa yote si utajishushia hadhi?ungeacha wanyofoe halafu umwage ndio ungeonekana shujaa