Dongo La Kiemba
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 1,830
- 1,265
jf ndo inaendesha nchi...
@lusungo nimekuelewa tupambane kwa pamoja!
Tuna kazi sana kama Taifa. Umesoma nilichofafanua kwny posts zangu za awali?
ndio ujue kimenuka hadi Invisible kaamua kuingia mtaani!! loh!
ndio nimesoma mkuu.. kwa lugha nyepesi ninachojaribu kusema ni kwamba hizo page ulizoweka kama ndio zilikuwa zimenyofolewa na kwa maelezo yaliyomo sioni madhara yake hata zikifafanuliwa vipi. zaidi zaidi zinawalinda hao bad guys. sasa kama hizo ndo nondo zenyewe mpaka zimenyofolewa sidhani kama zilizobaki zitakuwa na madhara.. hili ni bao la kisigino tayari...
leo hataki mchezo maneno ya kakobe lazima yatimie
leo hataki mchezo maneno ya kakobe lazima yatimie
Mdugu yangu, @Invisible anatuma ujumbe kwa wahusika kuwamzigo mzima upo kama ulivyotengenezwa. Sarakasi za mitaani hazitafanikiwa,wakiingia theatre mzigo uletwe kama ulivyo.ndio nimesoma mkuu.. kwa lugha nyepesi ninachojaribu kusema ni kwamba hizo page ulizoweka kama ndio zilikuwa zimenyofolewa na kwa maelezo yaliyomo sioni madhara yake hata zikifafanuliwa vipi. zaidi zaidi zinawalinda hao bad guys. sasa kama hizo ndo nondo zenyewe mpaka zimenyofolewa sidhani kama zilizobaki zitakuwa na madhara.. hili ni bao la kisigino tayari...
Ha ha ha siku moja nilimtania waziri Fulani aliyeanguka kuwa unayakumbuka maneno alokuambia. Kakobe juu ya ule mgogoro wenu pale kanisani??? alichonijibu..........
yule baba namheshimu Sana.