JF Dar-Wing, White Party-TIMETABLE

JF Dar-Wing, White Party-TIMETABLE

Hapo ndipo unapopotea njia. Huo ujauzito alio nao ulimpa wewe baba yake? Hebu muulize vizuri

Mwanangu Zion Daughter unaona majibu ya hili lizee Asprin? Ujana wake sijui limeumalizia wapi sasa linataka kuja kufia kwako? Piga chini faster likafie mbele. Mjukuu nitamlea mwenyewe, alaaaa...
 
Last edited by a moderator:
Huku kwetu Tanesco washakata...na pamba za shughuli bado hajipitishwa pasi...pheeeeww##@%&$$$ Tanesco!!!
 
Nimesha anza kuandaa mazingira vizuri, sie wa hudumu wa hapa tumepewa jukumu la kuwafurahisha
 
Hapo ndipo unapopotea njia. Huo ujauzito alio nao ulimpa wewe baba yake? Hebu muulize vizuri
What? Nadhani hapa DNA zinahusika sana



Mwanangu Zion Daughter unaona majibu ya hili lizee Asprin? Ujana wake sijui limeumalizia wapi sasa linataka kuja kufia kwako? Piga chini faster likafie mbele. Mjukuu nitamlea mwenyewe, alaaaa...
Yani hata mmi nimechoka..Ana wake wanne na mimi eti niwe wa tano? akuuu..nimekataa..SIDANGANYIKI!!
 
Kwa walioenda Jumuia leo wamesoma Injili ya Luka 4:14 na kuendelea.
...Watu wote waliokuwemo kwenye Sinagogi wakamkazia macho, akawaambia "Maandiko haya leo yametimia masikioni mwenu"...
Nachukua nafasi hii pia kusema Ahadi na mpango uliosimamiwa na Madame B LEO HII UMETIMIA MACHONI PETU.
Hongera sana kwenu nyote mlioshiriki kuwezesha jambo hili.
Ni matumaini yangu kuwa kila tukio la ratiba litaenda kwa jinsi lilivyopangwa, na shughuli nzima ya urafiki itakuwa njema sana.
Kila la heri wapendwa, sisi wa A-town tuna wawakilishi wetu wawili hapo, hivyo tuko pamoja.
 
Last edited by a moderator:
Kwa walioenda Jumuia leo wamesoma Injili ya Luka 4:14 na kuendelea.
...Watu wote waliokuwemo kwenye Sinagogi wakamkazia macho, akawaambia "Maandiko haya leo yametimia masikioni mwenu"...
Nachukua nafasi hii pia kusema Ahadi na mpango uliosimamiwa na Madame B LEO HII UMETIMIA MACHONI PETU.
Hongera sana kwenu nyote mlioshiriki kuwezesha jambo hili.
Ni matumaini yangu kuwa kila tukio la ratiba litaenda kwa jinsi lilivyopangwa, na shughuli nzima ya urafiki itakuwa njema sana.
Kila la heri wapendwa, sisi wa A-town tuna wawakilishi wetu wawili hapo, hivyo tuko pamoja.

Okei......kama tumewakilishwa sawa kabisa.....nilipata wasiwasi ......
 
Last edited by a moderator:
Kwa walioenda Jumuia leo wamesoma Injili ya Luka 4:14 na kuendelea.
...Watu wote waliokuwemo kwenye Sinagogi wakamkazia macho, akawaambia "Maandiko haya leo yametimia masikioni mwenu"...
Nachukua nafasi hii pia kusema Ahadi na mpango uliosimamiwa na Madame B LEO HII UMETIMIA MACHONI PETU.
Hongera sana kwenu nyote mlioshiriki kuwezesha jambo hili.
Ni matumaini yangu kuwa kila tukio la ratiba litaenda kwa jinsi lilivyopangwa, na shughuli nzima ya urafiki itakuwa njema sana.
Kila la heri wapendwa, sisi wa A-town tuna wawakilishi wetu wawili hapo, hivyo tuko pamoja.
Hakika hili ni jambo jema, Pale Jumuiya inapokuwa mbele ya Konyagi. Kweli tukeshe tukiomba maana Yesu yu karibu kurudi.

Ahimidiwe Bwana Mungu wa Majeshi.
 
Okei......kama tumewakilishwa sawa kabisa.....nilipata wasiwasi ......
Nadhani Filipo hajaipitia hii thread, na naamini kabisa kuwa marejesho ni mtu wa kutimiza ahadi zake.

Popote ulipo marejesho, napenda kukufahamisha leo ntavaa makubazi ili uweze kuona saizi ya kidole changu gumba cha mguuni, kama ulivyoniomba, kama ulivyoniahidi na kama tulivyokubaliana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom