Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
Last edited by a moderator:
Wazee wa prison break hatutishwi kabsaaa!! Kuzaimia muhimu!!Kuna ka cello kadogo tumetenga kwa ajili ya watu kama nyie
Ooooh!...hiyo imetulia ile mbaya!
Naombeni mi mchango wangu uwe ni kuwagawia kila mtu hayo mavazi. Ninayo ya kutosha hapa!!
Kaizer naimagine ukiwa ndani ya green n yellow utavyotoka...lol
Shikamoo B
Ooops!! Balimi huku kwetu ni bidhaa adimu!! nitakupatia kitu cha green; heinken, whindhook, ndovu, castle na tusker light!!yap sare yangu itaendana pia na mgawo wa Balimi Lager....ila nitaomba ziwe mtindo wa kombati
Khe khe khe we jidanganye! Sie wafanyakazi wa hapa ndo tunajua inavyofanya kaziWazee wa prison break hatutishwi kabsaaa!! Kuzaimia muhimu!!
Mshaanza.
Nendeni PM.
Mimi na wewe...Umenitosa mazima
Ooooh!...hiyo imetulia ile mbaya!
Naombeni mi mchango wangu uwe ni kuwagawia kila mtu hayo mavazi. Ninayo ya kutosha hapa!!
Kaizer naimagine ukiwa ndani ya green n yellow utavyotoka...lol
We Rejao wewe. Ole wako uje na hiyo minguo yako ya kifisadi nitakufukuzaje!?
Leo ni mwendo wa kombati nyeupe tu kwa kwenda mbele!
Ndo mpango mzima vaa tuShikamoo baba.. Naruhusiwa kuvaa kimini??
We Rejao wewe. Ole wako uje na hiyo minguo yako ya kifisadi nitakufukuzaje!?
Leo ni mwendo wa kombati nyeupe tu kwa kwenda mbele!
Shikamoo baba.. Naruhusiwa kuvaa kimini??
Ooooh!...hiyo imetulia ile mbaya!
Naombeni mi mchango wangu uwe ni kuwagawia kila mtu hayo mavazi. Ninayo ya kutosha hapa!!
Kaizer naimagine ukiwa ndani ya green n yellow utavyotoka...lol
Dear Madame B ningependa kumfahamu/kuwafahamu mgeni/wageni rasmi!
Hapo ndipo unapopotea njia. Huo ujauzito alio nao ulimpa wewe baba yake? Hebu muulize vizuriMarahaba mtoto mzuri, mwanangu mpendwa Zion Daughter.
Umeruhusiwa kwa leo tu! Lakini make sure hukai karibu na Asprin na Rejao kama atafanikiwa kumshawishi kwa rushwa Madame B!