Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Kumbe hata JF kuna matomaso mtu anasema nilikuwa siamini!mchango elfu 20 unaona utadhulumiwa!?njoo uone pin za JF
Miafrika ndo ilivyo
Kumbe hata JF kuna matomaso mtu anasema nilikuwa siamini!mchango elfu 20 unaona utadhulumiwa!?njoo uone pin za JF
Won't you attend?..
Nitakuja na Mgambo wa jiji kuvuruga huu mkusanyiko. Taifa liko tete na gas ya mtwara watu wengine wanapart....ama CC ni jobless corner
Rejao na Nicas Mtei nyie wote hamjatoa,sasa sijui mnapeana matumaini ya wapi!
Na nyote nawajua sasa Ole mzamie,nawapa LIFE BAN.
amu kabisa aingie ukumbini saa 11 jua lote la dar hili loooo ngoma mda wa mnuso hapo ndo naingia
Khe khe khe mi ntakua nahudumia huku nifuatilia kila linarojiri.Mweeeeee....::saa hiyo umetupia zako kitu cha Mac.....ikifika saa 2 kimeyoyoma......wahi bana......si utakiweka kwenye pochi unakuwa una repea repea tu.......
Hahahah...lazima niwe ndani nyumba!! Nikishtukiwa nikiwa ndani haina mbaya, chamuhimu nipate access ya kuingia.
no my dia i wont
Kuna ka cello kadogo tumetenga kwa ajili ya watu kama nyieHahahah...lazima niwe ndani nyumba!! Nikishtukiwa nikiwa ndani haina mbaya, chamuhimu nipate access ya kuingia.
Hebu nimegee dress code, nisije nikaumbuka humo!!
Nicas Mtei kachangia kupitia ile id nyingine. au huijui?. mia
Mshaanza.
Nendeni PM.
Hahahah...lazima niwe ndani nyumba!! Nikishtukiwa nikiwa ndani haina mbaya, chamuhimu nipate access ya kuingia.
Hebu nimegee dress code, nisije nikaumbuka humo!!
Hamjambo bandugu wote...nawasalimu katika jina la White Party!!!