Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,838
- 37,523
Habari zenu Madada na Makaka wa JF Dar-Wing......
kama tulivyokwisha ongea na Maxence Melo Kuhusu Kuiboresha Dar-wing yetu siku ile kule Kwenye White Party, Nadhani utekelezaji wake ndio Kipindi hiki.
kila mtu alisikia na tulikubaliana wote kufikia yale Malengo tuliyojiwekea.
Ila mpaka sasa tuko kimya wapendwa, nini tatizo?
CC: Mtambuzi, KakaKiiza, watu8, Vin Diesel, Ruttashobolwa, kipaji halisi, figganigga, noahism, Bujibuji, bacha Jiwe Linaloishi Mwita Maranya, Asprin, Chachu Ombara, Mjeda, amu, Remmy, Zion Daughter, Paloma, gfsonwin, Jesca, lara 1, mwaJ, cacico, Mamndenyi, snowhite, ..........................
Ina Maana Wanaume Dar-Wing mmetuzidi sisi wanawake...........Haiwezekani!!!!!!
Karibuni Kwa Maoni ama Mapendekezo :amen::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::amen:
CC: Da AshaDii na Wengineoooooo
kama tulivyokwisha ongea na Maxence Melo Kuhusu Kuiboresha Dar-wing yetu siku ile kule Kwenye White Party, Nadhani utekelezaji wake ndio Kipindi hiki.
kila mtu alisikia na tulikubaliana wote kufikia yale Malengo tuliyojiwekea.
Ila mpaka sasa tuko kimya wapendwa, nini tatizo?
CC: Mtambuzi, KakaKiiza, watu8, Vin Diesel, Ruttashobolwa, kipaji halisi, figganigga, noahism, Bujibuji, bacha Jiwe Linaloishi Mwita Maranya, Asprin, Chachu Ombara, Mjeda, amu, Remmy, Zion Daughter, Paloma, gfsonwin, Jesca, lara 1, mwaJ, cacico, Mamndenyi, snowhite, ..........................
Ina Maana Wanaume Dar-Wing mmetuzidi sisi wanawake...........Haiwezekani!!!!!!
Karibuni Kwa Maoni ama Mapendekezo :amen::frusty::frusty::frusty::frusty::frusty::amen:
CC: Da AshaDii na Wengineoooooo