Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 10,629
- 23,203
nina wivu,,shida yako nigombane na uyo dada sio๐ซ๐ซ๐ซMi npo najifunza dini ili wajomba zako wakose sababu ya kunikazia
nina wivu,,shida yako nigombane na uyo dada sio๐ซ๐ซ๐ซMi npo najifunza dini ili wajomba zako wakose sababu ya kunikazia
Ushashiba zako๐Nainjoi bruh.View attachment 3083031
Huyo sio mgomvi ana utu na utulivunina wivu,,shida yako nigombane na uyo dada sio๐ซ๐ซ๐ซ
Wajomba sahiz wamepoa nipo kwangu naamka na kulala muda naotaka ๐๐Mi npo najifunza dini ili wajomba zako wakose sababu ya kunikazia
Yeah,Ushashiba zako๐
Mm sasa ni hatariHuyo sio mgomvi ana utu na utulivu
Hata kama utakua free entity Kuna Ile tu kuheshimu taratibu zao na kutoa taarifa hata kama hawatazuia ChochoteWajomba sahiz wamepoa nipo kwangu naamka na kulala muda naotaka ๐๐
Hawanipangii maisha kma zamani
Ijumaaa Leo kabeba PEP, ndomu, chaja na card ya benki hapo kurudi geto jtatu jioniYeah,
Hamisi ana demu Leo Mana simuoni kabisa.
Hamisi msiri Sana.๐Ijumaaa Leo kabeba PEP, ndomu, chaja na card ya benki hapo kurudi geto jtatu jioni
๐Ngoja jtatu anakuja na comments za kibabe kataa ndoaHamisi msiri Sana.๐
Umehamia huku tenaa!?Kosugi shda ako yule mchina mwenye uzi wake aje kutusuta๐๐
Huku yr anachaji simu Kisha anachaji na rungu.๐Ngoja jtatu anakuja na comments za kibabe kataa ndoa
๐๐๐dadeqHuku yr anachaji simu Kisha anachaji na rungu.
imebid nkuvute huku bwan loooh ๐Umehamia huku tenaa!?
๐๐๐
Lishaisha waliobaki ni masalo masalo tuu hata hamna kazi kabisa l...watu wapo serious humu acha tuu ๐๐๐๐๐๐Mshapata Hao wachumba mm ndo nakuja muda huu Balo lishaisha mnipe kadi Sasa๐๐
Kabisa wamebeba wote wameacha masalo ๐๐Lishaisha waliobaki ni masalo masalo tuu hata hamna kazi kabisa l...watu wapo serious humu acha tuu ๐๐๐๐๐๐
Eeeeh wameacha masalo sasa hapo ni kuamua kuacha kusubiri kesho asubhi au kubeba masalo ukanukishe mchuzi ๐๐๐๐๐๐๐๐Kabisa wamebeba wote wameacha masalo ๐๐
Nimecheka ๐๐๐Eeeeh wameacha masalo sasa hapo ni kuamua kuacha kusubiri kesho asubhi au kubeba masalo ukanukishe mchuzi ๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐ Wewe bila kuchat namna hii sizani kama utaelewa an............Nimecheka ๐๐๐