JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

Mpaka kieleweke
20250607_192424.jpg
 
Tusibaki kinyonge JF ili tuje kuwa sehemu ya historia.. Mitandao mingine imeshakiwasha na kampeni inaenda vema sana...

Challenge yetu ni kufikisha replies 3000 by Jumatatu na comments zake ni
NO REFORMS NO ELECTION
N.RN.E
NoReNoE
Ama picha
Ama mchoro
Ama style yoyote ya maneno lakini ujumbe ukiwa mmoja tuu.. No reforms no election..!
Hata chawa akijaribu kuharibu uzi jibu lake liwe moja tu.. NO REFORMS NO ELECTION

Ombi kwa Moderator: tunaomba muulee na kuutunza huu uzi🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
View attachment 3359751
NRNE
 
Mimi muasi napinga hiyo na Reform no Election, reforms za kweli Anza na nafsi yako mwenyewe Kisha familia .

Kisha zianze kwenye Elimu na kurekebisha bongo za Watanzania ambao focous zao mambo ya ngono , umbea ,miziki na Simba na Yanga .

Uchaguzi sio solutions ya matatizo yote ya nchi hii kama watu ndio walewale katika Jamii hii hii , wabongo wengi Mafisadi ndio hivyo hawajapata mianya ya kupata nafasi na vitengo.
NRNE
 
hii nonsense ni useless field na ground mmebaki kutafutana wenyewe kwa wenyewe tu humu humu jukwaani 🤣

wew binafsi umecreate fake IDs ngapi mpaka sasa, achilia mbali zombie wengine kwani kwaajili hiyo gentleman?

eti 3k🤣
sasa 3k ndio mtafanya nini wapi kwa mfano gentleman?🐒
NRNE
 
Back
Top Bottom