JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

Tusibaki kinyonge JF ili tuje kuwa sehemu ya historia.. Mitandao mingine imeshakiwasha na kampeni inaenda vema sana...

Challenge yetu ni kufikisha replies 3000 by Jumatatu na comments zake ni
NO REFORMS NO ELECTION
N.RN.E
NoReNoE
Ama picha
Ama mchoro
Ama style yoyote ya maneno lakini ujumbe ukiwa mmoja tuu.. No reforms no election..!
Hata chawa akijaribu kuharibu uzi jibu lake liwe moja tu.. NO REFORMS NO ELECTION

Ombi kwa Moderator: tunaomba muelee na kuutunza huu uzi🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
NO REFORMS, NO ELECTION
 
Tusibaki kinyonge JF ili tuje kuwa sehemu ya historia.. Mitandao mingine imeshakiwasha na kampeni inaenda vema sana...

Challenge yetu ni kufikisha replies 3000 by Jumatatu na comments zake ni
NO REFORMS NO ELECTION
N.RN.E
NoReNoE
Ama picha
Ama mchoro
Ama style yoyote ya maneno lakini ujumbe ukiwa mmoja tuu.. No reforms no election..!
Hata chawa akijaribu kuharibu uzi jibu lake liwe moja tu.. NO REFORMS NO ELECTION

Ombi kwa Moderator: tunaomba muelee na kuutunza huu uzi🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Haina impact kumsusia fisi bucha la nyama hii ni sawa na kujipiga risasi mguuni walisusa cuf uchaguzi zanzibar na ukaendelea huwezi toka kwenye chama kudhoofika enzi za Magufuli chadema ilisambaratishwa baada ya kutumia uchaguzi huu kujijenga na kurudisha imani kwa wananchi ni kupata wabunge wakuweza kuwasemea wao wameenda kwenye kususia uchaguzi very poor strategy ndio maana yale maandamano waliandamana viongozi tu chama kimekufa kinahitaji kuhuishwa kitaifa.
 
Haina impact kumsusia fisi bucha la nyama hii ni sawa na kujipiga risasi mguuni walisusa cuf uchaguzi zanzibar na ukaendelea huwezi toka kwenye chama kudhoofika enzi za Magufuli chadema ilisambaratishwa baada ya kutumia uchaguzi huu kujijenga na kurudisha imani kwa wananchi ni kupata wabunge wakuweza kuwasemea wao wameenda kwenye kususia uchaguzi very poor strategy ndio maana yale maandamano waliandamana viongozi tu chama kimekufa kinahitaji kuhuishwa kitaifa.
file_00000000a19c61f7a8a31c72919aef6b.png
 
Tusibaki kinyonge JF ili tuje kuwa sehemu ya historia.. Mitandao mingine imeshakiwasha na kampeni inaenda vema sana...

Challenge yetu ni kufikisha replies 3000 by Jumatatu na comments zake ni
NO REFORMS NO ELECTION
N.RN.E
NoReNoE
Ama picha
Ama mchoro
Ama style yoyote ya maneno lakini ujumbe ukiwa mmoja tuu.. No reforms no election..!
Hata chawa akijaribu kuharibu uzi jibu lake liwe moja tu.. NO REFORMS NO ELECTION

Ombi kwa Moderator: tunaomba muelee na kuutunza huu uzi🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
No Reform No election. Free Tundu Lissu, Free Mdude Nyagali, Free Deusdedith Soka.
 
Tusibaki kinyonge JF ili tuje kuwa sehemu ya historia.. Mitandao mingine imeshakiwasha na kampeni inaenda vema sana...

Challenge yetu ni kufikisha replies 3000 by Jumatatu na comments zake ni
NO REFORMS NO ELECTION
N.RN.E
NoReNoE
Ama picha
Ama mchoro
Ama style yoyote ya maneno lakini ujumbe ukiwa mmoja tuu.. No reforms no election..!
Hata chawa akijaribu kuharibu uzi jibu lake liwe moja tu.. NO REFORMS NO ELECTION

Ombi kwa Moderator: tunaomba muelee na kuutunza huu uzi🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Kimewaka mitandaoni,sasa hatua ya mwisho kitawaka mitaani na ole wake atakae ingilia atajua nini maana ya mlipuko na hasira ya kupotelewa na kutekwa kwa ndugu zetu kisa kuna wapumbavu fulani wamekumbatia uhuru wetu na kila tukijaribu kuchange uongozi wanaiba kura kibabe sasa muda unakuja ambao wote tutakuwa wababe ndio patanoga na kuchangamka hiyo inaitwa hakuna kuonewa Wala kupigwa rungu na wezi,hatutakubali mwizi atuibie na atupige ndani mwetu.Mnao watetea wezi,wahuni,mafisadi,watekaji,na wauaji naona muda sio mwingi mtaisoma namba.
 
Back
Top Bottom