Jeshi msipotambua umuhimu wenu, mtatumika vibaya kwa maslahi ya wanasiasa na wala siyo kwa maslahi ya Taifa

Burkinabe

JF-Expert Member
Feb 12, 2023
1,893
3,200
Hili suala la jeshi kuamriwa kufanya usafi kila vyama vya upinzani vinapotangaza maandamano halikubaliki.

Wote tunalia hali ngumu ya maisha ikiwemo wanajeshi pamoja na familia zao na viongozi wa serikali wako kimya, halafu wanapotakiwa kufanya kitu walau hata kwa shinikizo la maandamano, wanakimbilia Kuomba wanajeshi wetu wakafagie barabara na kuokota makopo! Kweli jamani?!! Hapana. Hii haikubliki kabisa.

Wanajeshi tumikieni maslahi ya nchi na wananchi wake na wala siyo viongozi wa hovyo wanaotusababishia hali ngumu kutokana na matumizi yao ya anasa huku raia tunaumia.

Jitambueni nyinyi ni watu wa muhimu sana kwa nchi na mnapaswa kuheshimiwa na siyo kutumika.
 
Mkuu wa mkoa ana watendaji wengi sana chini yake. Na halmashauri ya jiji na manispaa za mkoa wa Dar es Salaam zina watendaji wengi. Lakini pia jiji la Dar lina wakazi wengi kuliko jiji lolote.

Kama Chalamila ana akili timamu, na ana dhamira njema ya kufanya usafi, kwanini asiwaamuru watendaji wake wa serikali, halmashauri na wakazi wa Dar es Salaam (ambao kimsingi ndio wanaowajibika kwake) wakafanye huo usafi?

Yaani wakazi wa jiji watupe makopo mitaani, warushwe vinyesi kwenye mifuko ya plastic, wazibishe mifereji, halafu wa kwenda kuzibua na kuokota mifuko yenye vinyesi wawe JWTZ? Hii ni dharau kubwa kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania. Labda Chalamila amekusudia kuwaambia wanajeshi kuwa hawana kazi, hivyo ameamua kuwapa kazi dhalili ili wamajeshi wajifikirishe.

Kanuni ya usafi na mazingira inasema, polluter pays. Sasa uchafu asababishe mwingine, gharama akaibebe mwanajeshi?

The 'polluter pays' principle is the commonly accepted practice that those who produce pollution should bear the costs of managing it to prevent damage to human health or the environment.
 
Hili suala la jeshi kuamriwa kufanya usafi kila vyama vya upinzani vinapotangaza maandamano halikubaliki.

Wote tunalia hali ngumu ya maisha ikiwemo wanajeshi pamoja na familia zao na viongozi wa serikali wako kimya, halafu wanapotakiwa kufanya kitu walau hata kwa shinikizo la maandamano, wanakimbilia Kuomba wanajeshi wetu wakafagie barabara na kuokota makopo! Kweli jamani?!! Hapana. Hii haikubliki kabisa.

Wanajeshi tumikieni maslahi ya nchi na wananchi wake na wala siyo viongozi wa hovyo wanaotusababishia hali ngumu kutokana na matumizi yao ya anasa huku raia tunaumia.

Jitambueni nyinyi ni watu wa muhimu sana kwa nchi na mnapaswa kuheshimiwa na siyo kutumika.
Hana uhakika na cheo chake
 
Mkuu wa mkoa ana watendaji wengi sana chini yake. Na halmashauri ya jiji na manispaa za mkoa wa Dar es Salaam zina watendaji wengi. Lakini pia jiji la Dar lina wakazi wengi kuliko jiji lolote.

Kama Chalamila ana akili timamu, na ana dhamira njema ya kufanya usafi, kwanini asiwaamuru watendaji wake wa serikali, halmashauri na wakazi wa Dar es Salaam (ambao kimsingi ndio wanaowajibika kwake) wakafanye huo usafi?

Yaani wakazi wa jiji watupe makopo mitaani, warushwe vinyesi kwenye mifuko ya plastic, wazibishe mifereji, halafu wa kwenda kuzibua na kuokota mifuko yenye vinyesi wawe JWTZ? Hii ni dharau kubwa kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania. Labda Chalamila amekusudia kuwaambia wanajeshi kuwa hawana kazi, hivyo ameamua kuwapa kazi dhalili ili wamajeshi wajifikirishe.

Kanuni ya usafi na mazingira inasema, polluter pays. Sasa uchafu asababishe mwingine, gharama akaibebe mwanajeshi?

The 'polluter pays' principle is the commonly accepted practice that those who produce pollution should bear the costs of managing it to prevent damage to human health or the environment.
Au ashirikiane na Magereza apewe Wafungwa.
 
Watu humu hawafahamu siasa za kikomunisti na kijamaa.

Let make it simple nchi yetu ni nchi ya kijamaa (ukomunisti uchwara ) kwa mujibu wa katiba pasipo kujali unafuatwa kivitendo kikamilifu au laah!

Ukijua haya huwezi shangaa yanayo endelea kati ya CCM na majeshi yote.

Ukijaribu kutazama usemacho kina ukweli ndani yake, lakini kwa jeshi linalojitambua sio rahisi kupewa amri na kiongozi wa aina ya RC. Na alichofanya huyo RC ni kuexpose ukweli halisi wa mbeleko ya ccm.
 
Huwezi kuta jeshi la Kenya, USA, Israel n.k linatumika kisiasa na kijinga namna hii
Kama USA wako very strict.
Wangekuwa kama hawa wetu, Trump angekuwa madarakani hadi kesho (japo binafsi pia huwa namkubali sana Trump).
Hawa wa kwetu wanaongozwa zaidi na akili za tumboni za kulinda ugali wao na familia zao na wala siyo kuangalia maslahi ya nchi.
 
Hili suala la jeshi kuamriwa kufanya usafi kila vyama vya upinzani vinapotangaza maandamano halikubaliki.

Wote tunalia hali ngumu ya maisha ikiwemo wanajeshi pamoja na familia zao na viongozi wa serikali wako kimya, halafu wanapotakiwa kufanya kitu walau hata kwa shinikizo la maandamano, wanakimbilia Kuomba wanajeshi wetu wakafagie barabara na kuokota makopo! Kweli jamani?!! Hapana. Hii haikubliki kabisa.

Wanajeshi tumikieni maslahi ya nchi na wananchi wake na wala siyo viongozi wa hovyo wanaotusababishia hali ngumu kutokana na matumizi yao ya anasa huku raia tunaumia.

Jitambueni nyinyi ni watu wa muhimu sana kwa nchi na mnapaswa kuheshimiwa na siyo kutumika.
Naunga mkono Hoja. Huo ndo ukweli. Zamani ukikutana na Mwanajeshi yeyote akiwa kwenye sare yake unakuwa na "Adabu fulani hv" halafu wanajeshi enzi hizo hawakujichanganya kivile na raia.
Sasa wanajeshi wamezoeleka hadi tunathubutu bila aibu kuwapa hata kazi za House girls. Hiyo sio sawa.
Swali: 1. Kwani kilitengwa/kuliwekwa budget Tzs kiasi gani ya Usafi wa mazingira Jiji, Manispaa na Halmashauri bajeti ya 2022/2023 au 2023/2024?
2. Hilo suala la Usafi wa Mazingira kweli lipo directly chini ya Mkuu wa Mkoa? Ingependeza sana Mkuu wa Mkoa asiingilie sana moja kwa moja shughuli(Activities) za Wakurugenzi - asubiri aombwe au ikilazimu awatake hao Wakurugenzi (Awawajibishe) kutekeleza kazi hiyo ndani ya muda maalum e.g. siku 7 -14 au atakavyo ona yy mwenyewe
3. Serikali(Wizara ya Afya) inasemaje kuhusu hatua hii? i.e. Huo uchafu utakaopatikana utapelekwa kutupwa (Disposal) kivipi - magari au kuchomwa moto n.k. kwa gharama ipi au ya nani? (Kama ni kwa gharama za Mkuu wa Mkoa, hiyo ni sawa).
Ushauri: Chonde-Chonde; Tuache kuwatumia Wanajeshi kwani Wanajeshi wapo kwa kazi maalum ya Usalama wa nchi, Raia na malizao sio kuzoa taka zilizozalishwa na mimi au wewe akiwemo na huyo Mkuu wa Mkoa.
Wanajeshi wanaweza kutumika tu pale inapokuwa ni Dharura (Emergency)au Maafa(Janga) inayohusisha Kuokoa Uhai wa Raia ila sio kama hili ambalo limekaa Kisiasa zaidi na kiUpigaji. Hata hivyo Wanajeshi wanao Utaratibu kwamba hupokea AMRI kutoka kwa Uongozi wao ngazi ya juu e.g. CDF, IGP n.k. na Sio kwa Mkuu wa Mkoa which is a Political post.
Samahani kwa yule nitakayekuwa nimemkwaza.
 
Hili suala la jeshi kuamriwa kufanya usafi kila vyama vya upinzani vinapotangaza maandamano halikubaliki.

Wote tunalia hali ngumu ya maisha ikiwemo wanajeshi pamoja na familia zao na viongozi wa serikali wako kimya, halafu wanapotakiwa kufanya kitu walau hata kwa shinikizo la maandamano, wanakimbilia Kuomba wanajeshi wetu wakafagie barabara na kuokota makopo! Kweli jamani?!! Hapana. Hii haikubliki kabisa.

Wanajeshi tumikieni maslahi ya nchi na wananchi wake na wala siyo viongozi wa hovyo wanaotusababishia hali ngumu kutokana na matumizi yao ya anasa huku raia tunaumia.

Jitambueni nyinyi ni watu wa muhimu sana kwa nchi na mnapaswa kuheshimiwa na siyo kutumika.
Uliwaza kama Mimi
Jana usiku nilijikuta nawaza ulicho kiandika na nikapata hoja lukuki😔😊
#Big time JWTZ sio manyumbu

Cc. Police Tanzania
 
Umeelezea vzr sana.
Hili suala liko kisiasa zaidi
Naunga mkono Hoja. Huo ndo ukweli. Zamani ukikutana na Mwanajeshi yeyote akiwa kwenye sare yake unakuwa na "Adabu fulani hv" halafu wanajeshi enzi hizo hawakujichanganya kivile na raia.
Sasa wanajeshi wamezoeleka hadi tunathubutu bila aibu kuwapa hata kazi za House girls. Hiyo sio sawa.
Swali: 1. Kwani kilitengwa/kuliwekwa budget Tzs kiasi gani ya Usafi wa mazingira Jiji, Manispaa na Halmashauri bajeti ya 2022/2023 au 2023/2024?
2. Hilo suala la Usafi wa Mazingira kweli lipo directly chini ya Mkuu wa Mkoa? Ingependeza sana Mkuu wa Mkoa asiingilie sana moja kwa moja shughuli(Activities) za Wakurugenzi - asubiri aombwe au ikilazimu awatake hao Wakurugenzi (Awawajibishe) kutekeleza kazi hiyo ndani ya muda maalum e.g. siku 7 -14 au atakavyo ona yy mwenyewe
3. Serikali(Wizara ya Afya) inasemaje kuhusu hatua hii? i.e. Huo uchafu utakaopatikana utapelekwa kutupwa (Disposal) kivipi - magari au kuchomwa moto n.k. kwa gharama ipi au ya nani? (Kama ni kwa gharama za Mkuu wa Mkoa, hiyo ni sawa).
Ushauri: Chonde-Chonde; Tuache kuwatumia Wanajeshi kwani Wanajeshi wapo kwa kazi maalum ya Usalama wa nchi, Raia na malizao sio kuzoa taka zilizozalishwa na mimi au wewe akiwemo na huyo Mkuu wa Mkoa.
Wanajeshi wanaweza kutumika tu pale inapokuwa ni Dharura (Emergency)au Maafa(Janga) inayohusisha Kuokoa Uhai wa Raia ila sio kama hili ambalo limekaa Kisiasa zaidi na kiUpigaji. Hata hivyo Wanajeshi wanao Utaratibu kwamba hupokea AMRI kutoka kwa Uongozi wao ngazi ya juu e.g. CDF, IGP n.k. na Sio kwa Mkuu wa Mkoa which is a Political post.
Samahani kwa yule nitakayekuwa nimemkwaza.
Pamoja sana
Naunga mkono hoja.
 
Ingekuwa wafungwa, sawa.
Lakini wanajeshi jamani!
Hata kama hawana kazi, tusiwadhalilishe kiasi hicho
Kweli kabisa mkuu.
Wanajeshi wana kazi siku zote -asikudanganye mtu. Kila kukicha salama tutambue uwepo wao. Kama hakuna vita au Vurugu; huo huwa ni wakati wa kazi za maandalizi e.g. mazoezi, mafunzo ya mbinu mpya na silaha mpya zinazoendana na wakati n.k. ie. Wanajeshi hawapumziki kama tunavyowadhania eti tunawaona wanaranda-randa mitaani. Ukiwaona mitaani ujue nayo hiyo ni mojawapo ya shughuli za ki-Upelezi.
Kwa kweli Mkuu wa Mkoa inafaa afanye mabadiliko atumie nguvu kazi nyingine sio Wanajeshi. Jeshi lipewe na liachiwe HESHIMA yake.
 
Tunawaamini wanajeshi wetu, bila shaka hawatotuangusha.
JWTZ ni jeshi lenye sifa na weredi.
Wamekuwa wakituwakilisha vyema siku zote.
Aamin. Hilo ndo la msingi sana. Huyo RC kwa kweli amepitiliza (overdue)na amediriki kuchukua mamlaka ya Wakuu wa Jeshi na hiyo kitaalam inaitwa Insubordination na anaweza kushtakiwa Kisheria kwa kujaribu kutaka kunyakuwa Mamlaka isiyo yake.
 
Back
Top Bottom