Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Jeshi La Ulinzi na Usalama ni kwaajili ya wananchi. Kauli ya Jeshi kufanya usafi baada ya tangazo la maandamano ni mara ya pili sasa, hii ni kwaajili kuwapa hofu wananchi katika kuandamana.
Tunajua Maandamano yanamadhara yake makubwa lakini Jeshi la Ulinzi na Usalama tunaomba msimame kulinda wananchi ili madhara hayo yasijitokeze.
Maandamano ni haki ya kikatiba lakini Tunashindwa kuona kwa upana madhara yanayoweza kujitokeza ni makubwa lakini kama ulinzi na usalama ukizingatiwa na Jeshi letu Jema, basi naamini mambo hayaenda tofauti na kuleta madhara.
Tunajua Maandamano yanamadhara yake makubwa lakini Jeshi la Ulinzi na Usalama tunaomba msimame kulinda wananchi ili madhara hayo yasijitokeze.
Maandamano ni haki ya kikatiba lakini Tunashindwa kuona kwa upana madhara yanayoweza kujitokeza ni makubwa lakini kama ulinzi na usalama ukizingatiwa na Jeshi letu Jema, basi naamini mambo hayaenda tofauti na kuleta madhara.