Jeshi latanda Mjini Songea

Jeshi latanda Mjini Songea

Nilishasema mapema ni mbinu za ccm kuwatisha wananchi, kwa mfano wameigiza kama kuna maandamano, wakaanza kuwatawanya kwa kupiga risasi za moto hewani. sasa cha kujiuliza kazi ya kutawanya maandamano katikati ya mji ni ya wanajeshi? ila watu ni waoga nimeshuhudia watu wakiacha beer mezani na kutoka mbio kwenye bar za mtini na kalali pub
 
uwanja wa majimaji maana yake inajulikana++++ ama kweli mashujaa wameisha- toka wapigane ww1 ndo basi tena, unaleta post kuwa kuna askari!!? sisi tukwambie nn! TOKA NJE KAPIGANE' WANAUME HUFIA NJE!?
 
uwanja wa majimaji maana yake inajulikana++++ ama kweli mashujaa wameisha- toka wapigane ww1 ndo basi tena, unaleta post kuwa kuna askari!!? sisi tukwambie nn! TOKA NJE KAPIGA

NE' WANAUME HUFIA NJE!?


Tangulia sisi tukufuate mkuu..
 
Naam, nimerudi mjini.

Nimejaribu kuuliza uliza watu wangu wa karibu hapa wananiambia kuwa jamaa wanafanya mazoezi ya kawaida. Mabomu yaliyopigwa NMB inasemekana wala sio vurugu, ila ni wenzao (waliokuwa wamevalia kiraia) wanafanya kama wanaandamana huku wamebeba mabango wakiimba (tunatakaa, haki zetuuu) huku wakiwarushia mawe, then hawa wenzao waliovalia sare za jeshi wenye silaha wakafanya kama wanatuliza ghasia sasa kwa kupiga risasi chini, kama kuwaonya wasisogee (lakini kiuhalisia hawa sio waandamanaji bali ni wanajeshi wenzao waliovalia kiraia) na ilikuwa na kama kuonesha namna ambavyo jeshi/polisi wanavyotakiwa kupambana na raia wasio na silaha. Nasema ni kama mazoezi maana kuna hadi wenzao wanachukua video za tukio na mita chache kutoka hapo NMB kuna Bar maarufu inaitwa Yapenda Mtini walipofika eneo hili hawa 'waandamanaji' wawili kati yao wakajiangusha as if wamezirai ikaja ambulance yao kuwabeba. Sasa kuna waliowadodosa kati ya wanajeshi wanaowajua wakawaambia ni mazoezi tu maana muda mrefu wamekuwa mbali sana na raia hapa.
Lakini sasa ambacho sijaelewa ni kwamba kwenye mageti ya kuingilia taasisi kubwa kubwa kama za kiserikali ama za kijamii kuna wanajeshi wanawazuia watu kuingia mfano geti la kuingia Chuo cha Uuguzi, Homso, Kanisa la Lutheran n.k sijajua pengine ambako sijapapita.

BTW; nafikiri kama kuna maelezo tafauti na haya tutajulishwa tu na wenye taarifa tofauti ama kupitia vyombo vya habari.

Adios Amigo.
 
Ni mazoezi ya kujiandaa na vurugu za Ukawa kwenye uchaguzi maana Mbowe amesema lazima kinuke October.
 
Mkwara wa nguvu kuelekea October 25th, 2015.
 
Barabara ya kwenda mtwara ni ipi? Wacheni fix. Barabara kuu zinazoingia ni; Kuelekea mbinga(ikichukuliwa pale luhuwiko). Kuelekea njombe(ichukulie bombambili); Kuelekea tunduru(ichukulie Regional block); na kuelekea mitomoni(ichukulie lizaboni). deonova
Ndugu kwani. barabara ya Tunduru haitokei Mtwara?mbona hapa dar tunayo inayoitwa ya morogoro ila inapita maeneo mengi kabla ya kufika Moro.
 
Last edited by a moderator:
Taarifa ambazo nimezipata sasa hivi ni kwamba hayo ni mazoezi ya kawaida ya JW ikizingatiwa kuwa tunakaribia kabisa miezi ya kampeni ns uchaguzi hapo Octoba. Najuzwa kuwa kuna kundi la watu ambao wa ni JW waliigiza kama raia wanao andamana na ndipo wakavamiwa na JW wenzao walio full combat na silaha za kivita kwa lengo la kuwadhibiti wandaamanaji. Kwa bahati mbaya pia inasadikika kuna mama lishe mmoja alipata msituko na alizimia na akakumbizwa hospitali ya mkoa.
My Take: Kama hayo tunayo ambiwa yakawa ni ya kweli ni kwa nini JW lifanye mazoezi ya silaha za kivita maeneo ya mjini na kibaya zaidi pasipo kutoa taarifa za awali kwa wananchi?

Vita au tafrani yoyote huwa aina taarifa wala haichagui mjini au kijijini,sijawahi kusikia maandamano yaliyofanywa kijijini,hata yakianzia kijijini yataishia mjini,mi naona ni sahihi walivyofanya ili kujenga uhalisia wa wanachokifanya na kupima kwa pande zote utayari wetu.
 
Huwa mnasema Nchi haitakalika (MBOWE), sasa hayo manyunyu tu mlishakuwa na hofu ahhahhhah??? Usiogope kijana tuko kwenye mazoezi ya kawaida

Kwani walioishikia akili yako hawaja kurudishia?
 
Back
Top Bottom