Jeshi la wananchi Egypt lampindua Rais Morsi

Jeshi la wananchi Egypt lampindua Rais Morsi

jeshi la misri leo
limeweka maslahi ya nchi na wananchi wa misri mbele na kuichukua nchi
mikononi mwao.
ninachojaribu kuangalia ni jinsi gani majeshi ya misri yalivyoweza
kuweka maslahi ya wanasiasa na vyama vyao
pembeni na kutii sauti ya wananchi waliokuwa wakilalamikia utawala mbaya
wa Rais Morsi ukilinganisha na hapa kwetu ambapo jeshi limeamua
kuchagua kulinda maslahi ya wanasiasa badala ya kuweka mbele maslahi ya
nchi na wananchi
ambao wamekuwa wakilalamikia utawala mbaya wa ccm ambao umekuwa ukisaini
mikataba mibaya ambayo hainufaishi wananchi. naomba jeshi la wananchi
lijifunze kupima na kuweka mbele maslahi ya wananchi badala ya
wanasiasa.
AMBACHO ni kweli ni kuwa viongozi wengi wa Kiafrika ni wajinga kuhusu dhana ya vyama vingi. Ni wajinga kabisa kiasi cha kuHAMISHIA MASLAHI YA KITAIFA KUWA MASLAHI YA CHAMA. Inafika wakati Taifa linakuwa hatarini kuteketea.
Tanzania kwa Sasa ni JWTZ kwa sasa yenye angalau vionjo vya kitaifa. Taasisi nyingine zote totaly compromised. Kunusuru Taifa JWTZ IJIPIME!!!
 
Na pia jeshi halijatwaa madaraka hapa (though wapo watao argue kwamba behind the scenes they are calling the shots).

Hii siyo military coup kama zilivyo zingine. Kama ni coup basi ni coup ya aina yake hii - ambayo wananchi kwa msaada au kwa kushirikiana na jeshi lao wamemuondoa rais wao.

Looks more like a revolution to me than a military coup.

NN, hii ni military coup kwa classic definition kabisa. Sema ilipangwa vizuri kiasi kwamba haikulazimisha jeshi kubakia madarakani. Kwanini ni hivyo:

a. Jeshi limemlazimisha na kumuondoa Rais aliyeko madarakani kwa nguvu baada ya kumpa ultimatum. Kumbuka wananchi wale zaidi ya kukaa tahrir hawakuwa na nguvu yoyote ya kueffect matakwa yao.
b. Jeshi halikumuondoa tu Rais Madarakani lakini limefanya kile ambacho coup zote duniani huwa zinafanya - kusimamisha Katiba. Only the Military can do that na wakati wowote jeshi linafanya hivyo kinachotokea ni mapinduzi ya kijeshi. Chombo pekee kinachoweza kusimamisha Katiba ni Jeshi. Unafikiri wananchi wangeenda mahakamani kudai kuwa Katiba haifai ifutwe inawezekana?
c. Kitendo cha jeshi kuamua nani aongoze nchi kipindi cha mpito ni alama nyingine ya mapinduzi ya kijeshi. Jeshi limeamua lenyewe kuwa Jaji Mkuu atawale kwa muda na kwa namna gani; lingeweza kabisa kuchukua madaraka yenyewe lakini kwa vile - kama unavyosema- linazingatia matakwa ya wananchi basi limeweka (halijarudisha) madaraka mikononi mwa raia lakini lenyewe likiwa full in control; siyo kwa siri. Misri sasa hivi iko chini ya jeshi. Maamuzi yote ambayo viongozi wa kisiasa watachukua ni lazima yapate baraka za Jeshi.

Hivyo ni mapinduzi ya kijeshi ambayo yamerestore the people's revolution of 2011.
 
The Egypian presiden has been ousted in a military coup and is now under house arrest. Source CNN
 
unajua maana ya mapinduz ya kijeshi.utakomaa wakat jeshi limechukua nchi tayari na jamaa amekatazwa kusafiri nje yeye na wenzake kuna mashtaka asuburi kufunguliwa. ilo ndio jeshi la wananchi
Nilifikiri kuna baadhi ya wanajeshi watamtii.
 
Morsi kumbe legelege kiasi kile...haya sasa arudi kulea wajukuu urais ndo basi tena
 
jeshi la misri limesema jaji mkuu ndiye atakua kiongozi wa muda na si mohammed el baradei
 
Mubarak aliresign au aliondolewa kimapinduzi na jeshi?

Yeye mwenye alipindua sasa aliresign nini? Aliondolewa na maandamano na jeshi likachukuwa nchi.
 
NN, hii ni military coup kwa classic definition kabisa. Sema ilipangwa vizuri kiasi kwamba haikulazimisha jeshi kubakia madarakani. Kwanini ni hivyo:

a. Jeshi limemlazimisha na kumuondoa Rais aliyeko madarakani kwa nguvu baada ya kumpa ultimatum. Kumbuka wananchi wale zaidi ya kukaa tahrir hawakuwa na nguvu yoyote ya kueffect matakwa yao.

Lakini pia tukumbuke kuwa kama siyo wale wananchi kuweka kambi Tahris Square, jeshi lisingekuwa na sababu yoyote ya kumpindua Morsi.

b. Jeshi halikumuondoa tu Rais Madarakani lakini limefanya kile ambacho coup zote duniani huwa zinafanya - kusimamisha Katiba. Only the Military can do that na wakati wowote jeshi linafanya hivyo kinachotokea ni mapinduzi ya kijeshi. Chombo pekee kinachoweza kusimamisha Katiba ni Jeshi. Unafikiri wananchi wangeenda mahakamani kudai kuwa Katiba haifai ifutwe inawezekana?

c. Kitendo cha jeshi kuamua nani aongoze nchi kipindi cha mpito ni alama nyingine ya mapinduzi ya kijeshi. Jeshi limeamua lenyewe kuwa Jaji Mkuu atawale kwa muda na kwa namna gani; lingeweza kabisa kuchukua madaraka yenyewe lakini kwa vile - kama unavyosema- linazingatia matakwa ya wananchi basi limeweka (halijarudisha) madaraka mikononi mwa raia lakini lenyewe likiwa full in control; siyo kwa siri. Misri sasa hivi iko chini ya jeshi. Maamuzi yote ambayo viongozi wa kisiasa watachukua ni lazima yapate baraka za Jeshi. Hivyo ni mapinduzi ya kijeshi ambayo yamerestore the people's revolution of 2011.

Maybe, tunaona a new form of coup whereby the army work in partnership with the civilians to overthrow a democratically elected government.
 
NN, hii ni military coup kwa classic definition kabisa. Sema ilipangwa vizuri kiasi kwamba haikulazimisha jeshi kubakia madarakani. Kwanini ni hivyo:

a. Jeshi limemlazimisha na kumuondoa Rais aliyeko madarakani kwa nguvu baada ya kumpa ultimatum. Kumbuka wananchi wale zaidi ya kukaa tahrir hawakuwa na nguvu yoyote ya kueffect matakwa yao.
b. Jeshi halikumuondoa tu Rais Madarakani lakini limefanya kile ambacho coup zote duniani huwa zinafanya - kusimamisha Katiba. Only the Military can do that na wakati wowote jeshi linafanya hivyo kinachotokea ni mapinduzi ya kijeshi. Chombo pekee kinachoweza kusimamisha Katiba ni Jeshi. Unafikiri wananchi wangeenda mahakamani kudai kuwa Katiba haifai ifutwe inawezekana?
c. Kitendo cha jeshi kuamua nani aongoze nchi kipindi cha mpito ni alama nyingine ya mapinduzi ya kijeshi. Jeshi limeamua lenyewe kuwa Jaji Mkuu atawale kwa muda na kwa namna gani; lingeweza kabisa kuchukua madaraka yenyewe lakini kwa vile - kama unavyosema- linazingatia matakwa ya wananchi basi limeweka (halijarudisha) madaraka mikononi mwa raia lakini lenyewe likiwa full in control; siyo kwa siri. Misri sasa hivi iko chini ya jeshi. Maamuzi yote ambayo viongozi wa kisiasa watachukua ni lazima yapate baraka za Jeshi.

Hivyo ni mapinduzi ya kijeshi ambayo yamerestore the people's revolution of 2011.

Naweza kusahihishwa, lakini mimi nimeliweka jeshi la Misri kwenye kundi la majeshi machache sana barani Afrika ambayo kazi yake kweli ni kulinda nchi. Bado lilikuwa na uezo wa kuchukua mamlaka kamili na kuhamia ikulu, kama ambavyo tuliona kwa baadhi ya nchi nyingine za kiafrika. Na hawa wanaochukua hivi huwa hawachelewi kukaa madarakani miaka kumi wakidai bado nchi haziko tayari kujiongoza!
 
Wameanza kwa kuikamata kwanza tv ya taifa ili waitumie kuutangazia umma wa wamisri juu ya utekelezaji wa maamuzi yao ya kuchukua uongozi wa nchi baada ya raisi morsi kujifanya kichwa ngumu. Kuichukua "white house" ya misri ni suala jepesi sana wala halitawahitaji kufikiria mara mbili.

mheshimiwa Maranya, hii signature yako imenifundisha jambo la maana siku hii ya leo. Surely Honesty is a very expensive GIFT. Do not expect it from cheap people. Hongera!
:clap2:
 
Hiyo ina maana kuwa sovereignty belongs to the people, not to some politicians.

It is the people who are sovereign, not the rulers.

The people can do whatever they want to do with their "sovereignty.

It is theirs na kama wakitumia sovereignty yao vibaya it is up to them.

Tatizo ni kwamba sie wabongo aren't used to this.

Tunaona maajabu sana maana tumewapa watawala kila kitu na kubakia mikono mitupu.
Sovereinity ya namna hiyo sidhani kama inaweza kuleta maendeleo..!! mtu hata hajakaa vizuri madarakani, wanamuondoa.. walitegemea awajazie mamilioni ya fedha ndani ya wiki moja..!! wale jamaa ni wagumu kuwatawala bado akili zao zina ufirauni kidogo..
Misri inahitaji kiongozi mwenye udikteta ndani yake, ukiwaachia free wale watu, wanakupanda hadi juu ya kichwa. Nafuu ya bongo yetu uchaguzi ukiisha kila mmoja anashika nafasi yake kutafuta maendeleo...
 
Muslim brotherhood na ring leader wao morsi ni vichaa walifikiri ikulu ni sehemu ya kwenda kukariri aya ikulu ni kuleta mandeleo kwa wananchi.

LET THE BEARDED FOOLS GO TO HELL NOW

Mkuu unaendana na jina lako mwenyewe mi nilifikiri wame kuchaguliwa.
 
Bila msaada wa intelligence na funding toka saudia arabia na united arab emirate wasingefanikiwa kamwe.habari ya mjini ni kuwa mapinduzi hayo yamefanywa makusudi ili kuikomoa marekani.
King Abdullah wa saudi hakupendezwa na kitendo cha marekani kumsaliti rafiki yake sana mubarak na wakaacha kumsaidia na hatimae akapinduliwa mfalume wa saud alikasirika sana hadi kumfikia kumpigia obama simu na kumpa maneno makali kuwa usaliti wa marekani ulichangia kuanguka kwa mubaraka ,akawa ameweka kinyogo.baada ya marekani kufanikiwa kuiwezesha muslim brotherhood kushika madaraka .ndo likaundwa zengwe la kumpindua rais morsi kwa style ileile kama alivyoondolewa mubarak.
Inasemekana jeshi la misri waliambiwa kama marekani watafuta msaada wao wa dola billin 1.5 kwa jeshi la misri wao saudia na UAE wataziba pengo hilo.
Wakati huohuo Qatar ambao ndo paymaster wa muslim brotherhood nao wamejikuta wako njia panda wasijue wafanye nini,huku marekani nao wakiwa makini kutoyalaani wala kuyapongeza mapinduzi hayo.
Zaidi in deeply .debka.com
 
Back
Top Bottom